Pasco,
..there is another opportunity ktk msiba wa Sumari.
..nashauri JK ashinde msibani siku mzima, na alale matanga kabisa, halafu tuone Slaa atakimbilia wapi.
Kura za wanyonge alizozichakachua JK zitamtafuna milele.
Naitafuta ile thread yangu ya chadema wakubali yaisheInvisible, asante kwa taarifa hii.Wanajf wenzangu, ile much anticipated photo ya wakisalimiana, nilioitafuta kwa udi na uvumba, hatimaye nimeiona!. Roho yangu imetulia, tuliyoyasema kule nyuma hatimaye yametimia! Thread ya kutimia iko mbioni kupanda. wale wote mlionitukana sana pale mwanzo nilipoeleza Chadema Yakubali Yaishe!, Yamtambua Rasmi JK!. Mlio hai niombeni msamaha, waliotamgulia nimeshawasamehe!
hhahahahaaa! Na kwanini dr.slaa ahudhurie mazishi ya sumari? Mbona sijamuona mkama msibani? Au alikuwepo?