Ifakara: Dr. Slaa Hakusalimiana na JK! Kwanini?

Ifakara: Dr. Slaa Hakusalimiana na JK! Kwanini?

Absolutely! Nakuambia hata kesho kwenye msiba huu wa Sumari, Dr. Slaa akienda na kumpa pole Rais Kikwete - genuinely kumpa pole - haitachukuliwa kuwa ni pole! itakuwa:

Hatimaye Slaa asalimu amri!
Slaa amtafuta Kikwete, ampa mkono
Hatimaye Dr. Slaa akubali kushindwa!
Slaa amwambia Kikwete 'wewe Rais'
Ikulu:"Slaa ampa pole Dr. Rais Kikwete"
Slaa apiga picha na Kikwete; aonekana na aibu


Kwenye maelezo ya picha

"Pichani Kulia aliyekuwa mgombea wa urais wa CDM Dr. Wilbrod Slaa akimpa mkono wa pole Rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Jakaya Mrisho Kikwete"
"Kikwete akisalimiana na mgombea aliyemshindwa kwenye uchaguzi mkuu Dr. Slaa wa CDM"
"Hatimaye Slaa aacha kumsusia Kikwete"

Its all about legitimacy. Ukitaka kuondoa hiili ni Kikwete amtafute Slaa na kuonana naye nje ya camera na ving'ora na vimulimuli!
MKJJ, i knew this was gonna happen mara tu baada ya Pasco kuja na ile thread kuwa JK atayaongoza mazishi ya Regia.

Na ni kweli yametokea kuwa there was more politics on the stuff, yani mazishi ilikuwa just a cover so to speak.


Lakini ni picha nk ndo vilikuwa vikiisubiriwa.
 
MKJJ, haya mambo yange weza kuepukwa toka ile sijui ni juzi ama jana badala ya kuipiga hii thread dana dana zisizo na msingi, toka lini hakuna watu wenye kuweza kuhandle situations humu hadi mupeleke watu sijui chit chat and all that?

Mjadala ulikuwa na possibilities za kuwa mjadala mzuri tu kama inavyoelekea kuwa hivi sasa.
 
Samahani watu wa protokali:
Hivi hicho kiti kilicho kati ya Mh. Mbowe na Mh. Zitto yaweza kuwa alitengewa nani?
kiti cha dr slaa.jpg
 
Absolutely! Nakuambia hata kesho kwenye msiba huu wa Sumari, Dr. Slaa akienda na kumpa pole Rais Kikwete - genuinely kumpa pole - haitachukuliwa kuwa ni pole! itakuwa:

Hatimaye Slaa asalimu amri!
Slaa amtafuta Kikwete, ampa mkono
Hatimaye Dr. Slaa akubali kushindwa!
Slaa amwambia Kikwete 'wewe Rais'
Ikulu:"Slaa ampa pole Dr. Rais Kikwete"
Slaa apiga picha na Kikwete; aonekana na aibu


Kwenye maelezo ya picha

"Pichani Kulia aliyekuwa mgombea wa urais wa CDM Dr. Wilbrod Slaa akimpa mkono wa pole Rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Jakaya Mrisho Kikwete"
"Kikwete akisalimiana na mgombea aliyemshindwa kwenye uchaguzi mkuu Dr. Slaa wa CDM"
"Hatimaye Slaa aacha kumsusia Kikwete"

Its all about legitimacy. Ukitaka kuondoa hiili ni Kikwete amtafute Slaa na kuonana naye nje ya camera na ving'ora na vimulimuli!

Kwa mujibu wa maelezo yako unamaanisha ni kweli Dr Slaa anamkwepa Dr JK kwasababu hizo ulizo zitaja?
 
Ukirejea maelezo ya Dr. Slaa mjadala ulitakiwa ufungwe na tuendelee na mambo mengine ya muhimu kwa Taifa Letu. Kinacho endelea baada ya hapa ni kukuza tofauti zetu za binafsi na kiitikadi!
 
Birigita ni kweli nilikwenda Ifakara sio kuhudhuria maziko wala sikuguswa na msiba ule bali nilikwenda kwa kazi maalum tuu ya kupiga picha JK akisalimiana na Dr!. Tena ni ofisi iligharimia kwa kutoa usafiri, chakula, na malazi, pia nilisaini masurufu na maduhuli na mwisho wa siku picha nikaikosa!.

Baada ya jibu hili la kiume, nilitegemea mjadala utafungwa mara moja.
 
Hii ndio politics, tatizo sio kusalimiana, Regia kasindikizwa mbele ya haki tusonge mbele na mapambano ya kuikomboa nchi. Suala la JK kuhudhuria msiba ati kuzima machungu ya katiba kwa CDM huenda lina ukweli tusilipuuze. Jana mbunge CCM kafariki basi na huko tushiriki kwa wingi kama kwa CHADEMA.
 
Mnaodhani "chuki" ya Kikwete Kwa Dr Slaa ilianzia au inatokana na uchaguzi mkuu wa 2010 mnajidanganya. Chuki hii ilianzia MwembeYanga kwenye orodha ya mafisadi 11. Kama CCM ingekuwa ni ile ya enzi za Mwalimu, orodha ile ilikuwa inamkosesha Urais JMK milele. JMK hajui kusamehe wala kusahau. Ukifuatilia kwa makini JMK ndie hataki kuonana na Dr Slaa.
 
nimefurahi kusikia DK slaa anasema kamuogopa Rais, na kapangiwa akae nyuma kabisa na asikaribie kabisa kaburi la Mbunge wake, baada ya kuondoka JK Ndio kaenda kuweka Mchanga

huyu dr slaa ako na infreority complex
 
Back
Top Bottom