jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,381
- 25,476
JK angekuwa na faida zaidi kwasababu angeamini kuwa sasa aliyegombea urais kamtambua na maybe nchi itatawalika.Jmushi ni nani angefaidika kisiasa kati ya Slaa na Kikwete kama wawili hao wangedalimiana on camera? Na ingekuwa faida gani?
Kwa mtu mwenye caliber ya rais, kupiga picha inawezea kuwa mojawapo ya jambo lenye kubeba ujumbe, ie hatua nzuri "symbolically."