Ifakara: Dr. Slaa Hakusalimiana na JK! Kwanini?

Ifakara: Dr. Slaa Hakusalimiana na JK! Kwanini?

Anaekutendea ubaya, mlipe wema...haya maneno yapo kwenye vitabu vya dini..slaa anamtendea ubaya kikwete na kikwete anamlipa wema.mwisho wa siku dr slaa ataishia kupata aibu.mi namshauri dokta wetu wa ukweli asiwe na mimsimamo mikali kama hii.upinzani si uadui ni kupingana kwa hoja lakini udugu unabaki palepale
 
Njaa ni kitu haramu sana, ndo maana Escobar alijisemea:

There are two hundred million i.d.i..t..s, manipulated by a million intelligent men.
Everyone has a price, the important thing is to find out what it is.

Fanya kazi, watoto wapate kula yao.


Inawezekana wewe ni miongoni mwa wale abiria walioachwa?

Pole sana ndugu yangu, tupo mchanganyiko sasa, just to let you know, uki scroll all the way up you will realise lol
 
........Kwani salamu ni lazima?
hata mimi nawashangaa wa -tz, yaani DR. akisalimiana na kikwete ndiyo nini? watu wanapenda kuunga unga vitu iwe habari...

Kama alisalimiana na Mbowe ambaye ni Mwenyekiti, Akasalimiana na Naibu Katibu Mkuu na wabunge wengi mashuhuri akiwemo Lema, sasa kibaya ni kipi? yaani mimacho yote ilikuwa DR. amfuate kikwete ampe mkono then mpige picha muuze magazeti!! front page!! (DR. Slaa akubali yaishe!!!)

Magazeti yamelikuza hili, Mara DR. Kamkwepa Kikwete Ikulu, Mara DR. Kamkwepa Kikwete siku ya Kuapishwa, sasa tuone kama atamkwepa tena Ifakara!!! ha ha ha - Ongeleeni Umeme umepanda bei si DR. Kumpa mkono Kikwete.

Kama wadau wengi wamesema kuwa kama Kikwete ana nia ya kupeana mikono ya DR. bali anaweza kumwita Ikulu - au laa mbona hamkumuuliza Mkuu wa Kaya mwenyewe kwamba kwa nini hakumwita DR. wasalimiane alipofika tu pale msibani?
 
ndio,, namuunga mkono Dr. Slaa kwani haiwezekani leo mtu anakung`oa jino afu kesho anakuletea mswaki. haya ni matusi ya waziwazi,,,,,,,,,.ni unafiiki wakukuonyesha smile usoni kama kawaida yake ila moyoni anatamani hata akulipue ufie mbaleee
big up Dr.

😛oa😛oa😛oa😛oa😛oa😛oa😛oa😛oa
 
Nina swali: Viongozi kama Lema waliokuwa wamekaa upande wa dr.slaa walienda kupeana mkono na rais? Je kupeana mkono na rais kulikuwa na significance gani kwenye msiba hasa kwamba Mwenyekiti wa CDM alipeana mkoni na CDM walishakubali kumtambua JK kama Rais?. Kama Slaa na watu wengine wanaamini kua JK alipata urais mara ya pili kwa kutumia mbinde hawana haki ya kuonesha hivyo hata kama ni hadharani? Lakini ni kwa nini watu wa JK wanataka kupata legitimacy toka kwa Dr. Slaa? Kikwete ni rais ametangazwa hivyo na tume that settles it.
Nadhani kwasasa lets worry about pale alipopangiwa kukaa, kwasababu so far ndipo penye mikinzano.

Fact ni kwamba kama alipangiwa jukwaa la tofauti na siyo siti za nyuma kama alivyosema Pasco mara baada ya kumhoji, then mfano wako wa kutomsalimia Lema utakuwa applicable hapa.

Baada ya hapo then tunaweza kujiuliza what are the odds of them meeting vs those of a JF member get struck by a lighting!lol
 
Pasco usijishushe sana...........
kashajishusha tayari.............jana nilimwambia hivi ''unasikia rahaaaaa! sana kuongozana na Kikwete kwenda Ifakara''

Sasa mmeona wenyewe............
 
JMushi kalale, Pasco hata akija na majibu wewe utakuwa umeshaamka
 
Nina swali: Viongozi kama Lema waliokuwa wamekaa upande wa dr.slaa walienda kupeana mkono na rais? Je kupeana mkono na rais kulikuwa na significance gani kwenye msiba hasa kwamba Mwenyekiti wa CDM alipeana mkoni na CDM walishakubali kumtambua JK kama Rais?. Kama Slaa na watu wengine wanaamini kua JK alipata urais mara ya pili kwa kutumia mbinde hawana haki ya kuonesha hivyo hata kama ni hadharani? Lakini ni kwa nini watu wa JK wanataka kupata legitimacy toka kwa Dr. Slaa? Kikwete ni rais ametangazwa hivyo na tume that settles it.
MM,hoja hapa unaweza usiitambue kwa akili ya haraka haraka,ni kitu kinachohitaji kutumia muda na akili kdg.fahamu slaa ni kiongozi wa juu wa chama na katika siku za hivi karibuni yamejitokeza matukio makubwa ambayo ushiriki wa Dr Slaa ulipaswa kuonekana kwa wengi.hivyo hoja inayojitokeza hapa ni tabia ya dr slaa hasa ni ipi?ni mtu anayeshaurika?ni mtu flexible? suala la kwenda ikulu lilitoka kwenye chama ambacho yeye ni mtu wa pili kwa itifaki baada ya mwenyekiti.imekuwaje akaisaliti ile safari?kwa ni pale nyumbani kwa kina Rejia alimkwepa kikwete?kwa nini ikajirudia kumkwepa tena ifakara?wewe unaamini kwamba alipangwa kukaa huko nyuma?kwa itifaki ipi hadi slaa akae nyuma kiasi cha kuanza hadi kumalizika msiba wa Rejia VISIGA HADI IFAKARA SLAA ASIKUTANE NA KIKWETE?
 
hata mimi nawashangaa wa -tz, yaani DR. akisalimiana na kikwete ndiyo nini? watu wanapenda kuunga unga vitu iwe habari...

Kama alisalimiana na Mbowe ambaye ni Mwenyekiti, Akasalimiana na Naibu Katibu Mkuu na wabunge wengi mashuhuri akiwemo Lema, sasa kibaya ni kipi? yaani mimacho yote ilikuwa DR. amfuate kikwete ampe mkono then mpige picha muuze magazeti!! front page!!
Mkuu, usishangae.........hapo kwenye Bold, Dr. Slaa kusalimiana na Kikwete tayari ni habari kwenye magazeti - sasa elewa aina ya wanahabari tulionao. Wakiitwa makanjanja wanalalamika.
 
Nadhani kwasasa lets worry about pale alipopangiwa kukaa, kwasababu so far ndipo penye mikinzano.

Fact ni kwamba kama alipangiwa jukwaa la tofauti na siyo siti za nyuma kama alivyosema Pasco mara baada ya kumhoji, then mfano wako wa kutomsalimia Lema utakuwa applicable hapa.

Baada ya hapo then tunaweza kujiuliza what are the odds of them meeting vs those of a JF member get struck by a lighting!lol
Jmushi, nimeitafuta ile original post sikuipata. Hili la siti ya nyuma vs ya upande mwingine nimemjibu the finest!.
 
hata mimi nawashangaa wa -tz, yaani DR. akisalimiana na kikwete ndiyo nini? watu wanapenda kuunga unga vitu iwe habari...

Kama alisalimiana na Mbowe ambaye ni Mwenyekiti, Akasalimiana na Naibu Katibu Mkuu na wabunge wengi mashuhuri akiwemo Lema, sasa kibaya ni kipi? yaani mimacho yote ilikuwa DR. amfuate kikwete ampe mkono then mpige picha muuze magazeti!! front page!! (DR. Slaa akubali yaishe!!!)

Magazeti yamelikuza hili, Mara DR. Kamkwepa Kikwete Ikulu, Mara DR. Kamkwepa Kikwete siku ya Kuapishwa, sasa tuone kama atamkwepa tena Ifakara!!! ha ha ha - Ongeleeni Umeme umepanda bei si DR. Kumpa salaam kikwete.

Wadau wengine wamesema kama Kikwete ana nia ya kupeana mikono ya DR. si amwite Ikulu - au laa mbona hamkumuuliza Mkuu wa Kaya kwa nini hakumwita DR. wasalimiane alipofika tu pale msibani?
Kama wewe ni Mtanzania mtanzania utajua umuhimu wa kusalimiana labda uwe mtanzania mnyama.
 
Katibu mkuu wa Chadema Dr. Wilbroad P. Slaa kwa mara nyingine tena amesusia kukutana uso kwa uso na kusalimiana na Rais Kikwete.
Rais Kikwete na Dr. Slaa wote walihudhuria mazishi ya aliyekuwa mbunge wa viti maalum kupitia chadema marehemu Regia Mtema yaliyofanyika mjini Ifakara jana.

Watu wengi waritarajia kuwa hiyo ilikuwa nafasi muhimu na nzuri kwa mahasimu hao kukutana na kusalimiana kwa mara ya kwanza tangu uchaguzi wa 2010 ulipoisha.

Badala yake mambo yalikuwa kinyume na Dr. Slaa alishika msimamo wake wa kutosalimiana na JK kwani licha ya JK kuwepo katika meza kuu ambayo pia Dr. Slaa alitakiwa kuwepo, lakini Dr. Slaa alikaa sehemu ya nyuma mbali na meza kuu licha ya kiti chake kuwepo meza kuu kama protokali inavyotaka.
Kiti cha Dr. Slaa kilionekana wazi muda wote na hivyo ndoto ya wengi kuwa mahasimu hao wangekutana jana ikafifia.

Hii ni mara ya tatu kwa Dr. Slaa kukwepa kuonana uso kwa uso na JK.
Mara ya kwanza ilikuwa wakati kamati teule ya baraza kuu la chadema lilipokwenda kumwona Rais kwa ajili ya mazungomzo ya mchakato wa katiba mpya, ambapo Dr. Slaa licha ya kuwa alikuwa mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo lakini alikacha kwenda Ikulu kwa kisingizio kuwa alikuwa "akiuguza".

Mara ya pili ilitarajiwa mahasimu hao wakutane wakati wa kuaga mwili wa marehem Regia pale Tabata, lakini Dr. Slaa alifika katika viwanja hivyo baada ya JK kuondoka.

Mimi najiuliza na bado sijapata "jibu", ni kwa nini Dr. Slaa anamkwepa Rais Kikwete kila wakati?
Je hali hii itaendelea hadi lini?
Je siku watakapokutana hali itakuwaje?
 
Kikwete akubali kua kwenye kinyanganyiro cha kuwania uraisi alishindwa na aliiba kura, ataamke hadharani ndipo Dr. atakaanaye jukwaa moja.
 
jk ndo anamkimbia DR bwana, kama vp si amtafute!
 
Leo ikaanzishwa na watu watatu tofauti, zikaunganishwa na kuhanishiwa habari mchanganyiko na hatimaye zikapotezewa jumla!.
 
Jana nilianzisha ikahamishiwa chit chat

haina haja ya kuifuta,maana ni gazeti la mwananchi ndio wametoa ktk mitandao so hata ukifuta ni kazi bure

ila nakumbuka jana Psco ulianzisha kauchokozi juu ya hii issue na leo nimeiyona ndani ya mwananchi hahahaha

haya bana watu kweli mpo makini kuchunguza mambo
 
Back
Top Bottom