Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Safi sana SLAA rais wa wananchi..ccm waache wauane wenyewe na polonium zao huko.sio lazima kushikana shikana mikono
Kuna mzee wa visasi kuliko Kikwete? Kamuulize Liumba.
Poop tard...If you didn't you wouldn't have bothered answering, you little turd.
kwa hivyo baada ya kuambiwa Hivyo akaondoka au kaondoshwa? maziko si yalikuwa ya Chadema, Jk ananguvu gani ktk msiba ule/
Dr Slaa anaamini Dr Kikwete hakushinda kiuhalali uchaguzi mkuu uliopita.
Wanabodi
Kwa wale tuliofika Ifakara tumeushuhudia umati na divesity ya vyama iliothibitisha Regia hakuwa proponent wa politics za hostilities ndio maana alimpigia kampeni Diwani wa CUF na yeye aliungwa mkono na wapinzani.
Kitendo cha JK kushiriki kwenye msiba huu kwa nguvu alioshiriki nayo, siamini ndio alimpenda Regia kihivyo kiasi cha kwenda Tabata na baadae akahudhuria maziko mpaka makaburini!.
Kwahiyo una maana rais siyo JK?hapo hakumtaja Jk, KAMTAJA Rais
Watu tumeenda kuzika kwa upendo kumbe we umeenda kwa ajili ya kupiga picha JK na Slaa wakisalimiana? Stupid kabisa!Mimi nilihudhuria maziko na nikategesha camera yangu ili nipige picha moja tuu, one and only JK akisalimiana na Dr. Slaa!
hahhaha, Cheo kikubwa hicho sio katibu Mkuu, ni Rais wa Chadema na watz wote
wakisalimiana sukari na petroli bei itashuka??
this post is a mere gossip
Watu tumeenda kuzika kwa upendo kumbe we umeenda kwa ajili ya kupiga picha JK na Slaa wakisalimiana? Stupid kabisa!
dk slaa akiwa rais, inaonyesha wapinzani wake wengi watakuwa Uhamishoni
Slaa mzee wa visasi, chuki na fitna..
Imehusiana vipi na nini?, wapi hapo?Imehusiana vipi hapo?