Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,029
- 132,786
- Thread starter
- #221
Yaani waandishi wa habari banaa hii yote ni kwa ajili wauze gazeti tu yaani kilichoandikwa hapa na nilichoona Ifakara ni vitu viwili tofauti Dk Slaa alipangwa kukaa jukwaa jingine na Kikwete jukwaa jingine sasa watu walikuwa wanataka kwamba Slaa anyanyuke ndio akamsalimie JK yaani mimi sijaona mantiki yoyote kwenye hili suala zaidi ya watu kulifanya kubwa ili wauze magazeti yaani ukiwa haupo kwenye eneo la tukio waandishi wa habari wanaandika vitu vya ajabu na uwongo tu ili wauze magazeti.
Yaani mtu umepangwa kukaa jukwaa la kushoto kama ilivyokuwa kwa Dr Slaa halafu Kikwete ndio kakaa jukwaa kuu ambapo alikuwa pamoja na Mbowe, Zitto, Makinda, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Job Ndugai na wengineo sasa mtu unataka kuniambia Dr Slaa atoke jukwaa la kushoto ili tu akamsalimie JK jukwaa kuu naona ndio mawazo ya watu yalivyo ikumbukwe pia kiprotokali pia ilikuwa imepangwa hivyo tulipokutana na Slaa, Pasco alimuuliza Dr Slaa kuhusiana na hili na akamjibu vizuri jinsi utaraatibu ulivyokuwa...ila naelewa ni kwa ajili ya kuuza magazeti ndio maana waandishi wa habari lazima waandike hivyo..
The Finest, you are obsolutely right, Dr. Slaa alipangiwa upande tofauti na alipopangiwa JK nakiri niliposema kiti cha nyuma I meant upande mwingine!.
Nilipoongea na Dr pale pale msibani ni kweli alieleza kupangwa sehemu tofauti hivyo haikuwa busara yeye kutoka huko alikopangwa kuja pale JK alikopangiwa.
Neno kiti cha nyuma was supposed to mean upande tofauti. Hata hivyo the main theme still stands kuwa hawakusalimiana ila sio delibarate wasisalimiane bali imetokea tuucoincidentaly hawakusaliniana!.