Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,956
- 10,050
Mbona Dr. Slaa haonyeshi ukomavu wa kisiasa. Nanusa harusi mbaya ndani ya CHADEMA! Huenda viongozi wengine CDM walikubaliana kumtambua JK lakini Dr. Slaa hakukubali na hataki kukubaliana na wengi ndio maana hataki kukutana na JK ili kuonyesha kwamba hamtambui. Dr. Slaa wenzio wamemtambua na wameishaenda Ikulu (mwingine mara mbili) basi nawe kubaliana na wenzio umtambue tu JK.
Hii itaonyesha uungwana badala ya kumkwepa mtu mzima mwenzio, hii inaonyesha kukosa ukomavu kisiasa na hali ya kuwa na vinyongo visivyoisha! Watu wanasema katika siasa hakuna uadui wa kudumu.
Hii itaonyesha uungwana badala ya kumkwepa mtu mzima mwenzio, hii inaonyesha kukosa ukomavu kisiasa na hali ya kuwa na vinyongo visivyoisha! Watu wanasema katika siasa hakuna uadui wa kudumu.