Ifakara: Dr. Slaa Hakusalimiana na JK! Kwanini?

Ifakara: Dr. Slaa Hakusalimiana na JK! Kwanini?

Kikwete akubali kua kwenye kinyanganyiro cha kuwania uraisi alishindwa na aliiba kura, ataamke hadharani ndipo Dr. atakaanaye jukwaa moja.

mi sioni kama ni point ya msingi. Hata msiban? Tuweke u cdm pemben. Mi kwa kweli hicho ki2 cjakihafiki, kama yeye hamtambui, mbona viongozi wenzake wanamtambua. J2 2meckia mbowe alikwenda ikulu kuonana na jk. Dr. Slaa kwa hili la kumkwepa jk msiban co jema!
 
Hapa inaonekana haieleweki kisa ni nini! Kwa ninavyofahamu mimi JK ana majini aliyopewa na Sheikh Yahaya hivyo Dr. Slaa ameshtukia kwani huenda majini hayo yakamzuru na kusababisha kifo ambacho hakitakuwa na ushaidi wa kisayansi.
 
Hizo ndio siasa za chuki na visasi. Hata kwenye misiba bado hatuweki tofauti zetu pembeni walau kwa muda wa mazishi tu...!
 
jk ndo anamkimbia DR bwana, kama vp si amtafute!
Henge, kati ya JK na Dr. nani kafiwa?. Nani alimfuata mwenzie kumpa pole pale Tabata?. Mgeni kafika kutoa pole, mfiwa katoka!.

Nani alijitoa na kwenda mpaka mazikoni kijijini?. Kosa la mtoa pole alitakiwa akifika mazikoni awatafute wafiwa awape pole au aende kwa mfiwa alipo atoe pole!. Yeye kwa vile ni mheshiniwa sana alipofika alikaa alipopangiwa akitegemea mfiwa ndio atoke alikokaa aende kubembelezea pole!.
 
Hapa inaonekana haieleweki kisa ni nini! Kwa ninavyofahamu mimi JK ana majini aliyopewa na Sheikh Yahaya hivyo Dr. Slaa ameshtukia kwani huenda majini hayo yakamzuru na kusababisha kifo ambacho hakitakuwa na ushaidi wa kisayansi.
Ww ndio kigagula mwenyewe eeenh?
 
Jana nilianzisha ikahamishiwa chit chat

mwananchi wanabidi waandike source ya hiyo habar. Mwishon mwa hiyo habar ilibidi waandike source. Jamii forum by pasco.
 
Henge, kati ya JK na Dr. nani kafiwa?. Nani alimfuata mwenzie kumpa pole pale Tabata?. Mgeni kafika kutoa pole, mfiwa katoka!.

Nani alijitoa na kwenda mpaka mazikoni kijijini?. Kosa la mtoa pole alitakiwa akifika mazikoni awatafute wafiwa awape pole au aende kwa mfiwa alipo atoe pole!. Yeye kwa vile ni mheshiniwa sana alipofika alikaa alipopangiwa akitegemea mfiwa ndio atoke alikokaa aende kubembelezea pole!.

Pasco,

Ile habari ktk gazeti la mwananchi uliwatumia wewe? kwa sababu naona ina vitu vile vile unavyoandika hapa.

Btw, kwanini raisi kikwete hakufika nyumbani Ifakara kwa kina Regia na uwanja wa kiungani na badala yake akaamua kwenda moja kwa moja makaburini?
 
Henge, kati ya JK na Dr. nani kafiwa?. Nani alimfuata mwenzie kumpa pole pale Tabata?. Mgeni kafika kutoa pole, mfiwa katoka!.

Nani alijitoa na kwenda mpaka mazikoni kijijini?. Kosa la mtoa pole alitakiwa akifika mazikoni awatafute wafiwa awape pole au aende kwa mfiwa alipo atoe pole!. Yeye kwa vile ni mheshiniwa sana alipofika alikaa alipopangiwa akitegemea mfiwa ndio atoke alikokaa aende kubembelezea pole!.

pasco!
 
Pasco ishakuwa Dr.Slaa alikujibu kuwa "alipangiwa jukwaa jengine" na sio "Alipangiwa siti za nyuma" tena!

Kweli kumekucha
 
Chadema ndo iliguswa sana na Msiba huu. Aliyekuja msibani kusalimia ni nani kati ya Jk na Dr? Jk alitakiwa akamsalimie Dr. Slaa alipokuwa. Mfiwa akamtafute msalimiaji hiyo nayo kali ya Mwaka!!
 
Geeeeeeez! tumefikia hatua ya kwenda msibani kuangalia nani kakaa wapi au nani kamsalimia nani? really?

Nilidhani tunaenda kuzika /kuhani
 
politics is a dirty game....kuchuniana wachuniane wao kugombana tugombane siye....anyway cha muhimu wote walifika kumpumzisha marehemu pahala pema..
 
Chadema ndo iliguswa sana na Msiba huu. Aliyekuja msibani kusalimia ni nani kati ya Jk na Dr? Jk alitakiwa akamsalimie Dr. Slaa alipokuwa. Mfiwa akamtafute msalimiaji hiyo nayo kali ya Mwaka!!

Unajuwa maana ya Rais?

Si mwenyeji angekuwepo kumpokea, unanchekesha, sema ana "mmicha" tu.
 
That's why you don't need to take him seriously!!

i have never ever.

yabidi mods watambue kuwa thread zenye mizahamizaha kama hizi yabidi zipelekwe kule kunakostahili. for me this thread ni material ya kule kwenye jokes au chit chat.

seriously.
 
Ni kitu gani kinawafanya watu wafikirie kuwa Kikwete anataka kukutana na Dr. Slaa? Amewahi kusema kuwa anataka kukutana naye lakini amekuwa akimkwepa? Hivi kweli Kikwete akitaka kukutana na mtu yeyote Tanzania hawezi? Hakuna ushahidi wowote kuwa Kikwete anataka kukutana na Dr. Slaa kwa sababu yoyote ile. Dr. Slaa ameshamtambua kuwa ni Rais, na alishawahi kusema hana tatizo la kukutana na Kikwete. Naamini kama Kikwete anataka kuonana na Slaa ampigie simu na kumwambia wakutane mahali ambapo patakuwa muafaka kwa wote wawili kama kweli anataka kukutana naye.

Nashangaa watu wameweka mzigo kwa Dr. Slaa! "ooh Slaa amkimbia/amkwepa/ampiga chenga JK" hivi mkiambiwa kuwa Kikwete amesema hataki kukutana na Dr. Slaa kwa sababu amemletea matatizo na nusura amnyang'anye urais. Halafu mkaambiwa kuwa ndio sababu ya Slaa kushindwa kwenda Ikulu, na ndio sababu ya Slaa kushindwa kukaa karibu na Kikwete, mtakataa? Mnaushahidi gani kuwa Kikwete anataka kukutana na Slaa maana kama ana hilo hitaji sana atume hata polisi wamkamate kwa nguvu mbona waliweza kumsoma Mbowe kwa ndege hadi Arusha?

Hii ni habari isiyo habari.
 
Back
Top Bottom