The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
Boss mbona umeniwekea dawa ya kusinzia kwenye kinywaji changumen are brave...
lets see....lol
Boss mbona umeniwekea dawa ya kusinzia kwenye kinywaji changumen are brave...
lets see....lol
Boss mbona umeniwekea dawa ya kusinzia kwenye kinywaji changu
..rhaaaaaaaaaa. tunga sentensi kaka.hahaahhhaOhoooo!!! Lalala
Ndio kibongobongo hvyo, ndo maana hata wakati wa kufungua music eti wakwe wanatoka, huwa sioni logic kabisa, hii imenifanya nikimwandalia harusi mtu music anafungua mwanzo kabisa wa sherehe ili wazazi wote wawepo, unaonaje hii soulmate wanguHahahaha.... dogo langu siku ya arusi likampiga wife wake tongue kiss, kuja kutaharuki baba mkwe wake kishatoka ukumbini saa nyiiiiiiingi!
loooo kama soulmate ninae, haya nimepunguza kama si kuachaNakumbuka kama nlishawahi kukukanya: Punguza umbea kama umeshindwa kuacha lol
Ni kaka tu soulmate taratibu sweetShem naomba ufafanuzi wa hizi salamu hapa, kabla sijatenda dhambi.
Kweli kabisa, ukisubiria mtu akupe raha unaweza subiri miaka yoteAlways huwa nasema kuwa raha itengeneneze na iendeleze
hata kama kuna maumivu jipe nafasi na jipe muda to seek the lost happiness by any cost
maisha mafupi kw anini ujipe tabu ya kukasirika na kukunja kunja sura
Jipe muda na tafuta mtu w akukupa kiss ambayo itakuondolea machungu yako yote hata kama umegombana na mtku kuna kiss unaweza pata ikaondoa hasira zote
heheh ankal bana! hili lisredi wewe unazani nani anaweza akalisoma mwanzo mpaka mwisho? nimesoma page 2 za mwanzo tu.Klorokwin hapo chini haumalizi kusoma tu au unavizia makiss ya kwenye thread najua tokea umeenda Igunga kwenye shughuli ya ugawaji chakula makiss yamekuwa haba sana
Mie jana niliishia page ya 15 tangu asubuhi nasoma ndio nimemaliza sasa hivi, looo spead ilikuwa kali sana, ehe za igunga?heheh ankal bana! hili lisredi wewe unazani nani anaweza akalisoma mwanzo mpaka mwisho? nimesoma page 2 za mwanzo tu.
Am here soulmate........ still watching!Mie jana niliishia page ya 15 tangu asubuhi nasoma ndio nimemaliza sasa hivi, looo spead ilikuwa kali sana, ehe za igunga?
I see you from a distance, jana ulimkiss nani mbona lips zimevimbaAm here soulmate........ still watching!
Watu wanaandika utazani internet hawalipii? khaaa! za igunga mpaka sasa salama ila gesti zimekuwa tabu sana. Watu wanaaga wanakwenda kampeni kumbe wanaishia gesti. Kama una mume wako kakuaga ameenda Igunga gaga imekula kwako aisee!Mie jana niliishia page ya 15 tangu asubuhi nasoma ndio nimemaliza sasa hivi, looo spead ilikuwa kali sana, ehe za igunga?
Nani kabariki hii soulmates ya gaga na fellow tablet?Am here soulmate........ still watching!
Kweli kabisa, ukisubiria mtu akupe raha unaweza subiri miaka yote
nice one Mr Rocky
Nani kabariki hii soulmates ya gaga na fellow tablet?