“If Only I could have this KISS Forever…..” TGIF!!!

“If Only I could have this KISS Forever…..” TGIF!!!

Shemeji klorokwini tuwie radhi bana, tulichelewa si unajua tena mambo ya SRMs tulikuwa bado tunafeel memories. Haya nitumie invoice, Mr ameniachia maVISA cards nisawazishe! Usijezuia uhalalishaji wa hii kapo.

ODM na Gaga kuweni wapole paw kwa Klorokwin anatii mamlaka mjue
 
Hivi mimate si ni sehemu ya juice ya kiss? Si wanasemaga mapenzi ni uchafu? Kesho ntakuachia mimate kikombe kimoja kwa friji ili ukinimisi ufungue friji na kujipatia SRM ya zarura (Sitachanganya na makohozi kama siku ile, nimeshapona TB usijali LOLZ)
sweetie, unaharibu starehe yote ya jana sasa, mi nataka uendelee kama jana mimate siitaki kabisa, hiyo waachie ashadii na kaizer
 
Shemeji klorokwini tuwie radhi bana, tulichelewa si unajua tena mambo ya SRMs tulikuwa bado tunafeel memories. Haya nitumie invoice, Mr ameniachia maVISA cards nisawazishe! Usijezuia uhalalishaji wa hii kapo.

ODM na Gaga kuweni wapole paw kwa Klorokwin anatii mamlaka mjue
Ye angoje aingie S...... nae utamwona atakavokuwa mpole
 
Ye angoje aingie S...... nae utamwona atakavokuwa mpole
Hahhahahahaha paw na nani sasa? Si unajua tena dada SRM inategemea na wahusika pia?! Mandhari nzuri, vitanda vizuri, upepo mwanana na candle lights pekee havitoshi bila kuwa na wahusika wachangamfu, walio alive ili vicheko vitawale, utani na vinogesho vingine??!

Wengine, the feeling is still going on ingawa tushajirudia kwenye real life ya kibanda cha mkaa na mgao wa umeme ati!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Unafanya mchezo upelekwe kule kote kwenye SRM halafu isitunge???

...you've said it all kwakweli,...hahhh!


Hahhahahahaha paw na nani sasa? Si unajua tena dada SRM inategemea na wahusika pia?! Mandhari nzuri, vitanda vizuri, upepo mwanana na candle lights pekee havitoshi bila kuwa na wahusika wachangamfu, walio alive ili vicheko vitawale, utani na vinogesho vingine??!

Wengine, the feeling is still going on ingawa tushajirudia kwenye real life ya kibanda cha mkaa na mgao wa umeme ati!!

dahhhh,...
wild_romance.jpg
...acha tu,....machozi yananijia nikikumbukia...


Lol..............................unataka kusema He is a sharp shooter? lol
Mbu umenunua kesi hapa shauri yako hahahahaahahah. Watu wataanzatafuta jina la mtoto kungali alfajiri

...eehhh? kwa maandiko tu weshafanya ultrasound?

...ubarikiwe ashadii kwa unyuzi huu...the 1st kiss wengine imetufungulia milango ya peponi
hapa hapa duniani wallah.... the 1st kiss that will last a life time...
 
ulifanikiwa? manake waiting in vain for ur lov,trough summer and winter sio mchezo
Hahaha!!! Boss si unaona AshaDii amesubiria weee mwishowe naona kakata tamaa ameenda kulala mimi hapa nitakesha hadi asubuhi lol
 
sipati picha kama una ladha ya klorokwini mateni! mhhh,kweli hiari yashinda utumwa!
Hapa kijijini wananiita Lonado De Kaprio kwa utaalam wa idara hii ya denda. Yaani nikimkiss waifu wako basi hakyanani lazima neksti day akudai talaka.
Watu tuna vipaji mpaka tunajiogopa! khaaa!
 
I like this part''But your very 1st kiss changed all this, somethg only u could do.''

i believe in you,by joe.
 
I am so looking forward to tomorrow.... If you know what I mean.....lol:eyebrows:
 
Back
Top Bottom