Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
Eheeee...... ukiniita hivyo najisikia raha zaidi ya unavyonikiss, hivi ulidamka saa ngapi manake nimestuka niko peke yangu kitandani.Ni kaka tu soulmate taratibu sweet
Eheeee...... ukiniita hivyo najisikia raha zaidi ya unavyonikiss, hivi ulidamka saa ngapi manake nimestuka niko peke yangu kitandani.Ni kaka tu soulmate taratibu sweet
Wamenifanyia operesheni ya busha bana! wamenishauri nitumie internet masaa 3 tu kwa wiki.Aise Kloro ulikuwa wapi muda wote umepotea tuone utaalam wako wa kiss humu bana
ulimwacha babu mpaka amejimilikisha
Khaa! Umesahau ulivyokuwa umening'ang'ania? Au ulizani unanyonya juice ya miwa?I see you from a distance, jana ulimkiss nani mbona lips zimevimba
Fellow tablet huo ni wivu au unataka kujua. Wasimamizi wetu walikuwa Mbu na MJ1. Kama huamini muulize AshaDii shem wangu.........Nani kabariki hii soulmates ya gaga na fellow tablet?
Wamenifanyia operesheni ya busha bana! wamenishauri nitumie internet masaa 3 tu kwa wiki.
Fellow tablet huo ni wivu au unataka kujua. Wasimamizi wetu walikuwa Mbu na MJ1. Kama huamini muulize AshaDii shem wangu.........
Ni Uporoto bana! na hivi napost bado yuko rumande! ameomba dua zenu wanaJF.Afu sio wewe nilisikia umefumaniwa na mke wa mtu huko kwenye kampeni Igunga
Hahahaa anakusikia ujue hapa, nimemuwekea kufuli la solex bana, sasa ule ubwaubwa ulikuwa unagawa mbona hauna nyama?Watu wanaandika utazani internet hawalipii? khaaa! za igunga mpaka sasa salama ila gesti zimekuwa tabu sana. Watu wanaaga wanakwenda kampeni kumbe wanaishia gesti. Kama una mume wako kakuaga ameenda Igunga gaga imekula kwako aisee!
Ni Uporoto bana! na hivi napost bado yuko rumande! ameomba dua zenu wanaJF.
Mwambie kabisa tayari tushapata location ya SRM, tuna baraka zote toka kwa pawKhaa! Umesahau ulivyokuwa umening'ang'ania? Au ulizani unanyonya juice ya miwa?
Fellow tablet huo ni wivu au unataka kujua. Wasimamizi wetu walikuwa Mbu na MJ1. Kama huamini muulize AshaDii shem wangu.........
Da li sridi limetembea aisee!
Sikutaka kukusumbua maana yale makiss yalikuwa si ya kitoto, nimeshukuru tu kumbe hutemi mimate kweny kissingEheeee...... ukiniita hivyo najisikia raha zaidi ya unavyonikiss, hivi ulidamka saa ngapi manake nimestuka niko peke yangu kitandani.
Aisee acha tu! Ngoja nifanye mchakato wa kupata wa kukiss humu!Mkuu mpaka linataka kuvunja record
Watu na malove davi na kiss
Mie bana huwa sipendi kuonge sana, hebu msome sweetie hapa chini ......Lawyer ambae amepewa mamlaka na JF kubariki soulmates couple ni mimi tu. Mbu na MJ1 wenyewe hawajamaliza ada zao hapa ofisini.
acha niwasiliane na Paw yaani mmevunja sheria muhim sana ya JF
kwa Taarifa yako SRM = Sweet Romantic Moment kwa hisana ya soulmates.......... na hapa JF ziko mbili tu zinazomilikiwa na ODM na Mbu.Mwambie kabisa tayari tushapata location ya SRM, tuna baraka zote toka kwa paw
Hivi mimate si ni sehemu ya juice ya kiss? Si wanasemaga mapenzi ni uchafu? Kesho ntakuachia mimate kikombe kimoja kwa friji ili ukinimisi ufungue friji na kujipatia SRM ya zarura (Sitachanganya na makohozi kama siku ile, nimeshapona TB usijali LOLZ)Sikutaka kukusumbua maana yale makiss yalikuwa si ya kitoto, nimeshukuru tu kumbe hutemi mimate kweny kissing
Hahahaa anakusikia ujue hapa, nimemuwekea kufuli la solex bana, sasa ule ubwaubwa ulikuwa unagawa mbona hauna nyama?
Tugawie basi yale magunia ya mchele yaliyobaki kwenye ile tenda yako ya kusupply wali na pilau kwenye kampeni maana nasikia ndo yamekufanya ufungue mradi wa kuuza mchele mtaani
...
....mmmnnnhhh?!....si usubiri basi mtoto azaliwe bana....tunaandaa cards za baby shower.Lawyer ambae amepewa mamlaka na JF kubariki soulmates couple ni mimi tu. Mbu na MJ1 wenyewe hawajamaliza ada zao hapa ofisini.
acha niwasiliane na Paw yaani mmevunja sheria muhim sana ya JF
Kamanda si tuliibariki soulmate yako na faizafoxy wewe? imekuwaje?Aisee acha tu! Ngoja nifanye mchakato wa kupata wa kukiss humu!
Dah! Mkuu Mbu umetisha! inaonesha hasira za goonerz zote ulizielekeza kwenye uzazi wa mpangilio. Tuombe Mungu kababy ketu kasije kakachukua tabia za PAW.
tusemeni amen