“If Only I could have this KISS Forever…..” TGIF!!!

“If Only I could have this KISS Forever…..” TGIF!!!

[Soulmate taratibu, utaanza kutoa siri zetu ujue....

Ayaaaaaaaaaaa! Ushaanza kunianika kwenye mvua........Kha![/QUOTE]
Soulmate nasikuongelei ww ni yule mama wa jirani alinisimulia ya kwake
 
yaani nyie wadada mkiamuaga mna mambo!! haya nendeni taratibu basi .. siku hizi MMU, under 18 wamejaa kibao humu!!


Madabwada it been too long bana.... Umepotelea wapi for sijakuona kabisa!! How are you?? alafu kweli bana hio ya under 18 kidogo tulisahau....
 
Huyo wa under 18 anafanya nini humu muda huu asiende shule kusoma


Rocky ndio yale tulizungumzia mambo ya malezi... wazazi wana nunulia BB mtoto ili aone fahari... na mtoto wa dot com aweze tumia BB ashindwe net?
 
Tatizo la wanaume wa kiafrika they can easily be turned on. Huwezi kumpa tongue kiss adharani unaweza kuzua balaa. Wa kwangu even some touchings have to be done while in right places, otherwise....

Sio wote bana
Nilihudhuria harusi moja tena mimi nikiwa mpambe wa moja ya harusi zilizofungwa siku hiyo
Mhubiri alitoa mahubiri na kasema wazi bana ukishahalalishwa njoo nae hata kanisani mmeshikana mikono na ukifika kwenye kiti mpe kiss kwanza ndo mkao maana umehalalishwa
Ni vile tuu kuna aibu na nini ila ndo hali halisi
Maana baada ya kufunga ndoa si mnaambiwa u can kiss
Sasa kwa nini siku ile ukubali kukiss na siku nyingine uogope
 
Rocky ndio yale tulizungumzia mambo ya malezi... wazazi wana nunulia BB mtoto ili aone fahari... na mtoto wa dot com aweze tumia BB ashindwe net?

Ndo hapo sasa
Kama kuna under 18 humu pole zake sana akiona hii topic afunge macho awe kama haioni kabisa
 
Hapo kwenye bold; ni kanisa gani linasema you can kiss the bride hapa bongo? Have never seen or heard about this.

Huko kwenye masherehe nakubali kwani we are trying to westernize; ila kanisan nimehidhuria harusi kibao sijawahi kuona.

Na suala si kuogopa ila wanaume wa kibongo mna xxx sana (naogopa watoto). Hivyo ni hatari kukisiwa adharani.

Na hiyo kiss alozungumzia mchungaji itakuwa ni ile quick kiss si zile kiss zetu bana. Kushikana mikono si issue nazungumzia KUSHIKANA.

Sio wote bana
Nilihudhuria harusi moja tena mimi nikiwa mpambe wa moja ya harusi zilizofungwa siku hiyo
Mhubiri alitoa mahubiri na kasema wazi bana ukishahalalishwa njoo nae hata kanisani mmeshikana mikono na ukifika kwenye kiti mpe kiss kwanza ndo mkao maana umehalalishwa
Ni vile tuu kuna aibu na nini ila ndo hali halisi
Maana baada ya kufunga ndoa si mnaambiwa u can kiss
Sasa kwa nini siku ile ukubali kukiss na siku nyingine uogope
 
Ndo hapo sasa Kama kuna under 18 humu pole zake sana akiona hii topic afunge macho awe kama haioni kabisa


Wakati ndo wanapenda....lol.. Unacheza na Kissing na related activities nini??
 
Hapo kwenye bold; ni kanisa gani linasema you can kiss the bride hapa bongo? Have never seen or heard about this.

Huko kwenye masherehe nakubali kwani we are trying to westernize; ila kanisan nimehidhuria harusi kibao sijawahi kuona.

Na suala si kuogopa ila wanaume wa kibongo mna xxx sana (naogopa watoto). Hivyo ni hatari kukisiwa adharani.
Umepiga madongo sana wanaume
Ila hilo la kukiss kweli sio sana wanalisema ila wengi baada ya kuvalishana pete na wakati wa kiapo wengi wanakiss japo sio tounge kiss
Hudhuria mafundisho ya ndoa kanisa kuu hapa arusha usikie mafundisho au mahubiri ya mchungaji kiongozi wa pale
 
Ashadii kuna watu wameanza kuchakachua......................... hamjui wengine ndo tunajifunza hapa hayo makissssss
 
Madabwada it been too long bana.... Umepotelea wapi for sijakuona kabisa!! How are you?? alafu kweli bana hio ya under 18 kidogo tulisahau....

nipo mpenzi ... nakusomaga juu kwa juu tu ... mkoloni anakamata sana muda wangu siku chache hizi ... na jioni ndo hivyo tena mambo ya parental guidance kwenye TV zetu ... msalimie Gaga ukimuona!
 
Ashadii kuna watu wameanza kuchakachua......................... hamjui wengine ndo tunajifunza hapa hayo makissssss


Chauro Mpenzi... nilijisahau.... Hao watu nahakikisha HAWARUDII....lol...
 
nipo mpenzi ... nakusomaga juu kwa juu tu ... mkoloni anakama sana muda wangu siku chache hizi ... na jioni ndo hivyo tena mambo ya parental guidance kwenye TV zetu ... msalimie Gaga ukimuona!


Once in a while uwe unagusa kama leo hivi walau members tujue kua
you are well and Good (vipi lile jicho la tatu linasemaje?? kazi inaenda vizuri??)
Gaga nitamsalimu... Usijali, BUT naomba usiondoke bila kuongeza ujuzi hapa....
 
Once in a while uwe unagusa kama leo hivi walau members tujue kua
you are well and Good (vipi lile jicho la tatu linasemaje?? kazi inaenda vizuri??)
Gaga nitamsalimu... Usijali, BUT naomba usiondoke bila kuongeza ujuzi hapa....

hahahahaaaa .... ADI una vituko sana!! so far bado iko vizuri sana ... am really impressed!! ucjali best, nitarudi baadae kuongeza ujuzi ...
 
Back
Top Bottom