“If Only I could have this KISS Forever…..” TGIF!!!

“If Only I could have this KISS Forever…..” TGIF!!!

nipo mpenzi ... nakusomaga juu kwa juu tu ... mkoloni anakamata sana muda wangu siku chache hizi ... na jioni ndo hivyo tena mambo ya parental guidance kwenye TV zetu ... msalimie Gaga ukimuona!
Shem naomba ufafanuzi wa hizi salamu hapa, kabla sijatenda dhambi.
 
Msikose kuhudhuria course za KISSING pale British Council kuanzia Jumatatu....ada ni your LIPS, muda ni kuanzia saa 12 jioni hadi 6 usiku.

Wahi nafasi ni chache. Ukiona ujumbe huu mwambie na mwenzako


Nimepata Members....

CHAURO
MTM
SINZIGA
TEAMO
ODM
BLACK BERRY.....
KATAVI

wengine bado kidogo... (the above wanajua saana, wanakuja kubadilishana ujuzi)
 
Tatizo la wanaume wa kiafrika they can easily be turned on. Huwezi kumpa tongue kiss adharani unaweza kuzua balaa. Wa kwangu even some touchings have to be done while in right places, otherwise....

Sio wote bana
Nilihudhuria harusi moja tena mimi nikiwa mpambe wa moja ya harusi zilizofungwa siku hiyo
Mhubiri alitoa mahubiri na kasema wazi bana ukishahalalishwa njoo nae hata kanisani mmeshikana mikono na ukifika kwenye kiti mpe kiss kwanza ndo mkao maana umehalalishwa
Ni vile tuu kuna aibu na nini ila ndo hali halisi
Maana baada ya kufunga ndoa si mnaambiwa u can kiss
Sasa kwa nini siku ile ukubali kukiss na siku nyingine uogope

Hapo kwenye bold; ni kanisa gani linasema you can kiss the bride hapa bongo? Have never seen or heard about this.

Huko kwenye masherehe nakubali kwani we are trying to westernize; ila kanisan nimehidhuria harusi kibao sijawahi kuona.

Na suala si kuogopa ila wanaume wa kibongo mna xxx sana (naogopa watoto). Hivyo ni hatari kukisiwa adharani.

Na hiyo kiss alozungumzia mchungaji itakuwa ni ile quick kiss si zile kiss zetu bana. Kushikana mikono si issue nazungumzia KUSHIKANA.

nafikiri Mods nao wangeweka kipengele cha umri kwa wanaoingia MMU maana mada nyiongine za huku ni nzito sana

Mr.Rocky hivi ni kweli hujamuelewa nyumba kubwa au una twist & turns tu? lol...
nyumba kubwa...hivi inawezekana ee? ---a kiss--- tayari baba mwenye nyumba anausahau uzazi wa mpango?
lakini hakuna mbaya iwapo lengo ni kuamsha hisia....lol....kuna watu wana mfadhaiko balaaa...hahhahah....

 
Tatizo la wanaume wa kiafrika they can easily be turned on. Huwezi kumpa tongue kiss adharani unaweza kuzua balaa. Wa kwangu even some touchings have to be done while in right places, otherwise....
Mzee mzima moto bati chini sio? Hongereni sana maana wengine shurti tuimbiwe simama dede,nikupe mkate......
 
hahahahaaaa .... ADI una vituko sana!! so far bado iko vizuri sana ... am really impressed!! ucjali best, nitarudi baadae kuongeza ujuzi ...


Hahahaa you will note that I never forget a Promise....lol... Tafadhali bana badae leta maujuzi hapa!!
 
Nimepata Members....

CHAURO
MTM
SINZIGA
TEAMO
ODM
BLACK BERRY.....
KATAVI

wengine bado kidogo... (the above wanajua saana, wanakuja kubadilishana ujuzi)
Shem hiyo name calling hapo unajua adhabu yake?
 
nafikiri Mods nao wangeweka kipengele cha umri kwa wanaoingia MMU maana mada nyiongine za huku ni nzito sana

Hapa itakuwa ngumu ku-control suala la umri maana sasa hata kule jukwaa la wakubwa wanatia maguu.......
 
ADI, ungenitaja kama mwalimu hapa nadhani tangazo lingeuza zaidi.
wanafunzi,msiogope,bunduki imeshikiliwa na polisi hadi uchaguzi wa igunga upite
naendelea kujiorient na wanafunzi,nijue weaknesses zao na strength ili niweze ku-address opportunities na threats,lol (SWOT)
Nimepata Members....

CHAURO
MTM
SINZIGA
TEAMO
ODM
BLACK BERRY.....
KATAVI

wengine bado kidogo... (the above wanajua saana, wanakuja kubadilishana ujuzi)
 
Mbu nishapata ujumbe mkuu
Dah sikusoma between the line bana
Dah huu uzee huu ni balaa
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
ADI, ungenitaja kama mwalimu hapa nadhani tangazo lingeuza zaidi.
wanafunzi,msiogope,bunduki imeshikiliwa na polisi hadi uchaguzi wa igunga upite
naendelea kujiorient na wanafunzi,nijue weaknesses zao na strength ili niweze ku-address opportunities na threats,lol (SWOT)
Shem hebu nikumbushe ulinambia huyu mtu nimwiteje? Nimekoma kung'ata ulimi kutype jinale.
 
Hapa itakuwa ngumu ku-control suala la umri maana sasa hata kule jukwaa la wakubwa wanatia maguu.......

tatizo mkuu si wanatumia black beryy na wana net za bure so ni kulog in tu kweney mitandao na kusoma mambo kama haya
 
Back
Top Bottom