He will be back to confessNamshangaa yupo kimya na nahisi kakimbia.... lol
Aisee mkuu acha tu a lot of people are complaining not only you and menipo aisee net leo inanisumbua..
Haa haa haaa.... hii kiss inabidi mtu anayoitowa awe amerilax na anayepatiwa ajue kabisa hii ni kwa ajili yake (yaani inanoga kuliko). mnaweza mkawa mnafanya shughuli mbali mbali huyu anadeki huyu anapanga vitu mezani nk na mmoja wenu akaja kwa utaratiibu, unyenyekevu na ukitaka upate alama 100% muombe mwenzio naomba kukukiss we weeee achaaaa hiyo huwa haiitaji vidole vitembee just have a deep kiss three minutes then back to your work lazima baada ya ten minutes unarudia tena na safarii hii kiss and hug aaahh unaona kabisaa jinsi kilele cha ubora kinashuka taratiiib..... najitahidi kwa kweli!Ashadii itabidi nijaribu hiyo kiss mpaka kilele haijawahi nikuta, ina maaana mimi ni rigid au?
labda wakati anani kiss awe ana keep his fingers walking hahahaaa
He will be back to confess
Haa haa haaa.... hii kiss inabidi mtu anayoitowa awe amerilax na anayepatiwa ajue kabisa hii ni kwa ajili yake (yaani inanoga kuliko). mnaweza mkawa mnafanya shughuli mbali mbali huyu anadeki huyu anapanga vitu mezani nk na mmoja wenu akaja kwa utaratiibu, unyenyekevu na ukitaka upate alama 100% muombe mwenzio naomba kukukiss we weeee achaaaa hiyo huwa haiitaji vidole vitembee just have a deep kiss three minutes then back to your work lazima baada ya ten minutes unarudia tena na safarii hii kiss and hug aaahh unaona kabisaa jinsi kilele cha ubora kinashuka taratiiib..... najitahidi kwa kweli!
bora wewe aisee. Staki tena kisses nisije nikafa bure.
ha haaaa hivi ni ku confess?au kusimulia hivi??/
ha haaaaaa.....umenikumbusha mbaali saana
unajua kuna mtu leo ni mke wa mtu na mama wa watoto kadhaa
ananikumbuka for the kiss i gave her........still today...lol
Boss!!!!! Don't tell me you did the needful (or should I say the un-needful!)
no
not at all
kilichofanya nikumbuke ni kuwa sikufikiri
that kiss was anything special...high school sweetheart.....
so nikikumbushiwa leo najiuliza what was that?
Lol!!! Hivi stolen kisses si inaweza kumbushia enzi hizoha haaaa hivi ni ku confess?au kusimulia hivi??/
ha haaaaaa.....umenikumbusha mbaali saana
unajua kuna mtu leo ni mke wa mtu na mama wa watoto kadhaa
ananikumbuka for the kiss i gave her........still today...lol
Lol!!! Hivi stolen kisses si inaweza kumbushia enzi hizo
Me too eagerly waiting-patiently waiting-
Hahaha!!! Boss si unaona AshaDii amesubiria weee mwishowe naona kakata tamaa ameenda kulala mimi hapa nitakesha hadi asubuhi lolhaa haaa nyie watu mnaujua ule wimbo wa waiting in vain ?lol
Hahaha!!! Boss si unaona AshaDii amesubiria weee mwishowe naona kakata tamaa ameenda kulala mimi hapa nitakesha hadi asubuhi lol