Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
Mi nakusoma tu, action baadaye.........!Wanaume wachace sana wanathamani mmbo ya kukiss, labda awe wa ki western sanasana, hawa wetu tunaokutana nao kwenye kiti moto mhhh
yaani kiss sio saana
Mi nakusoma tu, action baadaye.........!Wanaume wachace sana wanathamani mmbo ya kukiss, labda awe wa ki western sanasana, hawa wetu tunaokutana nao kwenye kiti moto mhhh
yaani kiss sio saana
Asipokuja nairudishja ile kitu inayokupa nightmares! Afu nakunyang'anya access ya kusoma posts zangu....... unaiona hiyo makitu peke yake.......Shem mbona hio adhabu kali saana?? Punguza bana... Khaa!! (alafu nimemwita ili aone yoote haya na muyamalize)
Siri ikiwa all your mind and concetration iwe hapo...
Kwani we agemate, hii kissing inayozungumziwa si ndo mwanzo wa muendelezo wa hiyo makitu?...........hasa kwenye hiyo red hapo siyo? I will be damned if am wrong.... where is my Shem....? Clarifications tafazali, kama unahofia waweza nielezea kwenye mtaa wa pili kule lol
ha ha ha.... Mie nahisi labda ulimchimba beat.... Maana nilitaka saana nijue her share of Kisses na zipi za msisimua.....lol... Hebu mbembeleze basi atuambie hapa....lol
Wanaume wachace sana wanathamani mmbo ya kukiss, labda awe wa ki western sanasana, hawa wetu tunaokutana nao kwenye kiti moto mhhh
yaani kiss sio saana
C'mo shem..... hapa tunajadili kisses, right? Now stop off topics lolShem ODM acha kunitega.... hio etc kwa MTM mbona Mama Matesha tells me how good you are!! lol
Hahahaha.... dogo langu siku ya arusi likampiga wife wake tongue kiss, kuja kutaharuki baba mkwe wake kishatoka ukumbini saa nyiiiiiiingi!Tatizo la wanaume wa kiafrika they can easily be turned on. Huwezi kumpa tongue kiss adharani unaweza kuzua balaa. Wa kwangu even some touchings have to be done while in right places, otherwise....
Asipokuja nairudishja ile kitu inayokupa nightmares! Afu nakunyang'anya access ya kusoma posts zangu....... unaiona hiyo makitu peke yake.......
...halafu nimekuona umeeiendea deep na kuinyofoa hadi ile post ya romantic retreat, yaani wewe...lol...
...dahhh?!,...ha hahahhahhahaha! ...jamiiforums where we dare to talk openly, nice one gaga na ashadii, twangeni mawe leo mpaka paeleweke hapa weekend hii!
Hahahaha :"Whenever you are confronted with ODM. Conquer him with love."Heee!! ODM vipi wewe.... yaani hasira ya Soulmate iishie kwangu?? adhabu 3 kosa moja?? Sio haki ujue.... and you always protect me..... Dah!
Tatizo la wanaume wa kiafrika they can easily be turned on. Huwezi kumpa tongue kiss adharani unaweza kuzua balaa. Wa kwangu even some touchings have to be done while in right places, otherwise....
C'mo shem..... hapa tunajadili kisses, right? Now stop off topics lol
Hahahaha :"Whenever you are confronted with ODM. Conquer him with love."
Hivi kwa nn wanaume huwa hawaonei umuhimu sana wa kukiss?
mie naweza kumbuka kissing kuliko sex yenyewe, why?
Kwani we agemate, hii kissing inayozungumziwa si ndo mwanzo wa muendelezo wa hiyo makitu?...........hasa kwenye hiyo red hapo siyo? I will be damned if am wrong.... where is my Shem....? Clarifications tafazali, kama unahofia waweza nielezea kwenye mtaa wa pili kule lol
yaani nyie wadada mkiamuaga mna mambo!! haya nendeni taratibu basi .. siku hizi MMU, under 18 wamejaa kibao humu!!