I think am in love with the wrong person

I think am in love with the wrong person

Tatizo lako dharau af unajiona babu kubwa. Hata mie ningekupiga chini kwan kitu gani bhana wanawake wenye adabu wapo kibao af wa ukweli sana!
 
hiyo yote ni kukosa kazi,mngekua bussy na kazi huo muda wa kujibishana upuuzi msingeupata.
 
Hollywopd peke ao nikasema no,ni no. Na move on na mwingine tukikutana tunapiga za kisela


Yaan we kiumbe natamani sana nikuone uso kwa uso maana kila nikikutafakari nashindwa kuupata uhalisia wako.

Ila Asante kwa watu kama nyie.
 
Am not a kid! But why uniambie hivo,maybe una sababu unaweza kuniambia
Mwandiko wako unaonesha hivyo ukijumlisha na unachofanya na huyo mpenzio,
A grown up woman daima huwa ni mrekebishaji wa mahusiano na anafight for her hapiness..
Sasa unahitaji mtu halafu unamfukuza tena?
Bold your thoughts.

love thé love or hâte thé love.....
 
Mwandiko wako unaonesha hivyo ukijumlisha na unachofanya na huyo mpenzio,
A grown up woman daima huwa ni mrekebishaji wa mahusiano na anafight for her hapiness..
Sasa unahitaji mtu halafu unamfukuza tena?
Bold your thoughts.

love thé love or hâte thé love.....
Tunajifunza kutokana na makosa,i know nimekosea inabidi nikubaliane na yote! Nashukuru kwa ushauri wako
 
Dooh!hiko ulichonacho ni kiburi na ujeuri. ..kwa mwendo huo hauta tulia na mmoja
 
Za usiku.
Naomba nisiwachoshe sana,kuna kaka tuseme nilikuwa kwenye mahusiano nae kama kuelekea miezi 3 i think coz am not sure na miezi precisely ni mingapi.Kiukweli ninampenda i can't deny my feeelings kwake though kuna muda uwa namjibu vile navosijikia mimi kumjibu cha kusikitisha i can say ni kwamba huyu kaka haniamini kabisa ananiona mimi ni mtu wa mambo mengi na muongo hata nikimuambia ukweli vipi hawezi kuniamini na mimi pia namuona ni mtu wa kupenda wasichana ingawa sijawahi kumuona nao ila hisia zangu zinaniambia hivo.

Mpaka nakuja kuandika hapa ni kwamba leo nimegombana nae tena kiasi cha kufikia tumeamua kuachana mbaya zaidi tunatumiana texts ambazo hazifurahishi na mimi imefikia stage nimeanza kumtumia message ambazo kwa kweli nikiziangalia naumia mwenyewe maana namjibu vibaya sana na kumdanganya zaidi ili anione sijali hata nilivoachana nae na yeye ananijibu vibaya pia kuonesha kama hanijali na hata tukiachana hataumia.

Nilichogundua ni kwamba nampenda ila sitaweza kumwambia hata iweje maana sipendi kujishusha hasa kwa mwanaume anione mimi nampenda sana mwisho wa siku aje kuniumiza ila nikifikiria kwa upande wa pili nawaza nitakuwa na wanaume wangapi maana kila mtu akinikera kidogo tu ninaamua kumuacha,nimejikuta hata nikiachana na mtu uwa sijutii kabisa nachukulia kawaida

Naombeni msaada wenu katika hili jambo
I can't regret coz I'm in love with a right person Me too come to testify it
 
Back
Top Bottom