Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,015
- 2,645
Utakuwa mzuri bila shaka
Ndo athari za kuwa na mahusiano na mabinti wazuri huwa hawadumu kwenye mahusiano yao na hata ndoa kisa " sipendi kujishusha na muda wowote akiachika anapata bwana mwingine.
Wewe subiri kila mtoto na baba'ke ndo nyota yako
ukijizoeza hivyo itakuwa ndo tabia yako hadi uzeeni
kwa tabia hiyo hutaiweza ndoa hapo baadae kwa maana ndoa ni cake inayoliwa na kufaidiwa na wavumilivu na wenye kujishusha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo athari za kuwa na mahusiano na mabinti wazuri huwa hawadumu kwenye mahusiano yao na hata ndoa kisa " sipendi kujishusha na muda wowote akiachika anapata bwana mwingine.
Wewe subiri kila mtoto na baba'ke ndo nyota yako
ukijizoeza hivyo itakuwa ndo tabia yako hadi uzeeni
kwa tabia hiyo hutaiweza ndoa hapo baadae kwa maana ndoa ni cake inayoliwa na kufaidiwa na wavumilivu na wenye kujishusha
Sent using Jamii Forums mobile app