I think am in love with the wrong person

I think am in love with the wrong person

Kama tatizo lako umelijua,jitahidi mahusiano yajayo ubadilike
Ama kama unaweza kumrudia huyu unayempenda sasa hivi mrudie alafu ubadilike

Alafu seriously utaachana na wangapi mamaa..
Thank mumy nitajitahidi niweke mahusiano vizuri na huyu sitaki kuhangaika tena
 
Za usiku.
Naomba nisiwachoshe sana,kuna kaka tuseme nilikuwa kwenye mahusiano nae kama kuelekea miezi 3 i think coz am not sure na miezi precisely ni mingapi.Kiukweli ninampenda i can't deny my feeelings kwake though kuna muda uwa namjibu vile navosijikia mimi kumjibu cha kusikitisha i can say ni kwamba huyu kaka haniamini kabisa ananiona mimi ni mtu wa mambo mengi na muongo hata nikimuambia ukweli vipi hawezi kuniamini na mimi pia namuona ni mtu wa kupenda wasichana ingawa sijawahi kumuona nao ila hisia zangu zinaniambia hivo.

Mpaka nakuja kuandika hapa ni kwamba leo nimegombana nae tena kiasi cha kufikia tumeamua kuachana mbaya zaidi tunatumiana texts ambazo hazifurahishi na mimi imefikia stage nimeanza kumtumia message ambazo kwa kweli nikiziangalia naumia mwenyewe maana namjibu vibaya sana na kumdanganya zaidi ili anione sijali hata nilivoachana nae na yeye ananijibu vibaya pia kuonesha kama hanijali na hata tukiachana hataumia.

Nilichogundua ni kwamba nampenda ila sitaweza kumwambia hata iweje maana sipendi kujishusha hasa kwa mwanaume anione mimi nampenda sana mwisho wa siku aje kuniumiza ila nikifikiria kwa upande wa pili nawaza nitakuwa na wanaume wangapi maana kila mtu akinikera kidogo tu ninaamua kumuacha,nimejikuta hata nikiachana na mtu uwa sijutii kabisa nachukulia kawaida

Naombeni msaada wenu katika hili jambo
Mpo wengi wa aina yako, dawa ni kubadilisha msimamo. Mapenzi ni kama maua, yahitaji kumwagiliwa, na kuwekewa mbolea ndipo yakue na kuchanua. Kujishusha kunahitajika mno ktk tasnia ya mapenzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati wa uchumba ni wakati wa msichana kujiishushaaaa yani shukaaaa hata na yy hatakua na sbb ya kukukwaza ndo wkt mwanaume anapenda na mara nyingi hulinganisha ww na mtu mwingine so ukileta ngebe anakuona wa nini ndo kwanzaa asubui kisa cha kumwekea giza??? Anasepa. So ushauri acha kuleta kiburi
Asante sana kwa ushauri wako,nitaufanyia kazi
 
Yalaaaaa umenitoneshaaa! Tabia zako hazitofautian na aliyekuwa mchumba wangu ...alikuwa anafanya utoto mbaya zaid alikuwa ana approach 30.
Ushaur wangu:tulia;jiheshimu,mweshim mpenz wako,tumia akili yako vizur alikupa Mungu,kubali kutii na kujishusha,kuwa mwepesi kuomba msamaha na kuwa mwepes kusahau, haya kwa kifupi yanaweza kukusaidia,vinginevyo utaishia pabaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa ushauri wako nitaufanyia kazi
 
Za usiku.
Naomba nisiwachoshe sana,kuna kaka tuseme nilikuwa kwenye mahusiano nae kama kuelekea miezi 3 i think coz am not sure na miezi precisely ni mingapi.Kiukweli ninampenda i can't deny my feeelings kwake though kuna muda uwa namjibu vile navosijikia mimi kumjibu cha kusikitisha i can say ni kwamba huyu kaka haniamini kabisa ananiona mimi ni mtu wa mambo mengi na muongo hata nikimuambia ukweli vipi hawezi kuniamini na mimi pia namuona ni mtu wa kupenda wasichana ingawa sijawahi kumuona nao ila hisia zangu zinaniambia hivo.

Mpaka nakuja kuandika hapa ni kwamba leo nimegombana nae tena kiasi cha kufikia tumeamua kuachana mbaya zaidi tunatumiana texts ambazo hazifurahishi na mimi imefikia stage nimeanza kumtumia message ambazo kwa kweli nikiziangalia naumia mwenyewe maana namjibu vibaya sana na kumdanganya zaidi ili anione sijali hata nilivoachana nae na yeye ananijibu vibaya pia kuonesha kama hanijali na hata tukiachana hataumia.

Nilichogundua ni kwamba nampenda ila sitaweza kumwambia hata iweje maana sipendi kujishusha hasa kwa mwanaume anione mimi nampenda sana mwisho wa siku aje kuniumiza ila nikifikiria kwa upande wa pili nawaza nitakuwa na wanaume wangapi maana kila mtu akinikera kidogo tu ninaamua kumuacha,nimejikuta hata nikiachana na mtu uwa sijutii kabisa nachukulia kawaida

Naombeni msaada wenu katika hili jambo
Una Tatizo LA Uoga WA Mahusiano.
Linatokana na historia mbaya(Bad experience) iliowahi kukukuta ama kusikia wengine imewakuta.

Hili linakufanya hau-Enjoy mahusiano na Boyz.
Sio ajabu hata kwenye sita kwa sita Hau enjoy kiviiile.
Badilika namna unavyofikiri.
Fikra zako ndio adui yako.
Sikuzote Mwanaume ni zaidi yako. Hata kama hana Pesa wala kazi.Weka hii akilini. Kujishusha ni 'Pi"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una Tatizo LA Uoga WA Mahusiano.
Linatokana na historia mbaya(Bad experience) iliowahi kukukuta ama kusikia wengine imewakuta.

Hili linakufanya hau-Enjoy mahusiano na Boyz.
Sio ajabu hata kwenye sita kwa sita Hau enjoy kiviiile.
Badilika namna unavyofikiri.
Fikra zako ndio adui yako.
Sikuzote Mwanaume ni zaidi yako. Hata kama hana Pesa wala kazi.Weka hii akilini. Kujishusha ni 'Pi"

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa sana
 
Mapenzi ya Angelo na ynah,wafilipino wanatuongopea na kutuingiza chaka sana. wao mwisho wa siku wanarudiana,bongo mwisho wa siku unasikia nderemo na vifijo.
Waache waoane.
 
Kwanza umeshatoa suluhu halafu unataka tukushauri!!?
Me nataka nikushauri,ujiepushe na chuki kwa sababu athari zake ni kubwa kuliko unavyodhani.

Kwa mfano hapa unajenga chuki ya nje kumuonyesha jamaa kuwa huwezi kushuka chini..lkn hiyo chuki ya nje uliyoijenga inakuumiza mwenyewe...jitahidi kutafuta amani ktk kila jambo ili kujipa furaha...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waacheni waachane tu wakuu

We achana nae bhana coz ukiweza kumjibu utakavyo Leo akikuoa he is balaa. Tafta mtaendana. Ushaambiwa too much ego. Kula jeuri yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom