Naughty girl
Member
- Aug 5, 2017
- 95
- 231
- Thread starter
- #41
I don't think so!Km he ate that P thrice n yet hutak kuonyesha unampenda somethng z wrng wit u
I don't think so!Km he ate that P thrice n yet hutak kuonyesha unampenda somethng z wrng wit u
Thank mumy nitajitahidi niweke mahusiano vizuri na huyu sitaki kuhangaika tenaKama tatizo lako umelijua,jitahidi mahusiano yajayo ubadilike
Ama kama unaweza kumrudia huyu unayempenda sasa hivi mrudie alafu ubadilike
Alafu seriously utaachana na wangapi mamaa..
Mpo wengi wa aina yako, dawa ni kubadilisha msimamo. Mapenzi ni kama maua, yahitaji kumwagiliwa, na kuwekewa mbolea ndipo yakue na kuchanua. Kujishusha kunahitajika mno ktk tasnia ya mapenzi.Za usiku.
Naomba nisiwachoshe sana,kuna kaka tuseme nilikuwa kwenye mahusiano nae kama kuelekea miezi 3 i think coz am not sure na miezi precisely ni mingapi.Kiukweli ninampenda i can't deny my feeelings kwake though kuna muda uwa namjibu vile navosijikia mimi kumjibu cha kusikitisha i can say ni kwamba huyu kaka haniamini kabisa ananiona mimi ni mtu wa mambo mengi na muongo hata nikimuambia ukweli vipi hawezi kuniamini na mimi pia namuona ni mtu wa kupenda wasichana ingawa sijawahi kumuona nao ila hisia zangu zinaniambia hivo.
Mpaka nakuja kuandika hapa ni kwamba leo nimegombana nae tena kiasi cha kufikia tumeamua kuachana mbaya zaidi tunatumiana texts ambazo hazifurahishi na mimi imefikia stage nimeanza kumtumia message ambazo kwa kweli nikiziangalia naumia mwenyewe maana namjibu vibaya sana na kumdanganya zaidi ili anione sijali hata nilivoachana nae na yeye ananijibu vibaya pia kuonesha kama hanijali na hata tukiachana hataumia.
Nilichogundua ni kwamba nampenda ila sitaweza kumwambia hata iweje maana sipendi kujishusha hasa kwa mwanaume anione mimi nampenda sana mwisho wa siku aje kuniumiza ila nikifikiria kwa upande wa pili nawaza nitakuwa na wanaume wangapi maana kila mtu akinikera kidogo tu ninaamua kumuacha,nimejikuta hata nikiachana na mtu uwa sijutii kabisa nachukulia kawaida
Naombeni msaada wenu katika hili jambo
Nimekuelewa asanteMdada usiteme bigjii kwa karanga za kuonjeshwa jishushe tu na pia omba msama pale unapokuwa wrong usje juta badae mamy
Asante sana kwa ushauri wako,nitaufanyia kaziWakati wa uchumba ni wakati wa msichana kujiishushaaaa yani shukaaaa hata na yy hatakua na sbb ya kukukwaza ndo wkt mwanaume anapenda na mara nyingi hulinganisha ww na mtu mwingine so ukileta ngebe anakuona wa nini ndo kwanzaa asubui kisa cha kumwekea giza??? Anasepa. So ushauri acha kuleta kiburi
Nashukuru kwa ushauri wako nitaufanyia kaziYalaaaaa umenitoneshaaa! Tabia zako hazitofautian na aliyekuwa mchumba wangu ...alikuwa anafanya utoto mbaya zaid alikuwa ana approach 30.
Ushaur wangu:tulia;jiheshimu,mweshim mpenz wako,tumia akili yako vizur alikupa Mungu,kubali kutii na kujishusha,kuwa mwepesi kuomba msamaha na kuwa mwepes kusahau, haya kwa kifupi yanaweza kukusaidia,vinginevyo utaishia pabaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Una Tatizo LA Uoga WA Mahusiano.Za usiku.
Naomba nisiwachoshe sana,kuna kaka tuseme nilikuwa kwenye mahusiano nae kama kuelekea miezi 3 i think coz am not sure na miezi precisely ni mingapi.Kiukweli ninampenda i can't deny my feeelings kwake though kuna muda uwa namjibu vile navosijikia mimi kumjibu cha kusikitisha i can say ni kwamba huyu kaka haniamini kabisa ananiona mimi ni mtu wa mambo mengi na muongo hata nikimuambia ukweli vipi hawezi kuniamini na mimi pia namuona ni mtu wa kupenda wasichana ingawa sijawahi kumuona nao ila hisia zangu zinaniambia hivo.
Mpaka nakuja kuandika hapa ni kwamba leo nimegombana nae tena kiasi cha kufikia tumeamua kuachana mbaya zaidi tunatumiana texts ambazo hazifurahishi na mimi imefikia stage nimeanza kumtumia message ambazo kwa kweli nikiziangalia naumia mwenyewe maana namjibu vibaya sana na kumdanganya zaidi ili anione sijali hata nilivoachana nae na yeye ananijibu vibaya pia kuonesha kama hanijali na hata tukiachana hataumia.
Nilichogundua ni kwamba nampenda ila sitaweza kumwambia hata iweje maana sipendi kujishusha hasa kwa mwanaume anione mimi nampenda sana mwisho wa siku aje kuniumiza ila nikifikiria kwa upande wa pili nawaza nitakuwa na wanaume wangapi maana kila mtu akinikera kidogo tu ninaamua kumuacha,nimejikuta hata nikiachana na mtu uwa sijutii kabisa nachukulia kawaida
Naombeni msaada wenu katika hili jambo
Nina experience tayariUnfortunately sina namna ya kukuelewesha zaidi ya kuacha time na experience ikufundishe/ikusaidie mkuu, being a kid has nothing to do with being childish. take or leave it madam.
Nashukuru kwa ushauri wakoMpo wengi wa aina yako, dawa ni kubadilisha msimamo. Mapenzi ni kama maua, yahitaji kumwagiliwa, na kuwekewa mbolea ndipo yakue na kuchanua. Kujishusha kunahitajika mno ktk tasnia ya mapenzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa sanaUna Tatizo LA Uoga WA Mahusiano.
Linatokana na historia mbaya(Bad experience) iliowahi kukukuta ama kusikia wengine imewakuta.
Hili linakufanya hau-Enjoy mahusiano na Boyz.
Sio ajabu hata kwenye sita kwa sita Hau enjoy kiviiile.
Badilika namna unavyofikiri.
Fikra zako ndio adui yako.
Sikuzote Mwanaume ni zaidi yako. Hata kama hana Pesa wala kazi.Weka hii akilini. Kujishusha ni 'Pi"
Sent using Jamii Forums mobile app
HayaAcha Kujikwaza na Ugari wa Mama Yako Nyumbani Hapo..Sina Mengi!Pambana Na Hali yako
Sent using Jamii Forums mobile app