Mbowe na siasa zake za "I am the only negro incharge in here"

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,503
51,098
Hebu fikirieni hili suala:
Umma wa Tanzania umeanza kuamka, unakataa udalali wa rasilimali zao, unaanza polepole kukataa chapa waliyopigwa kwa muda mrefu kimkakati ya uoga, unaanza kuchukua hatua ya kupeleka Struggle katika hatua ya pili ya matendo badala ya maneno. Cha kusikitisha anatokea kiongozi mmoja wa Taasisi muhimu ya wananchi, ambaye kwa nafasi yake, na mizizi ya taasisi yake angeweza kusaidia pakubwa kuwatoa wananchi kutoka katika kongwa hili la kutochukua hatua yoyote ya kuiadabisha serikali yao kutokana na madudu makubwa inayofanya yeye anarudi nyuma, na matokeo yake kuisaidia CCM kuzima cheche ambazo zingesaidia kutengeneza moto mkubwa wa mabadiliko huko mbele. Ni ajabu sana!

1. Mbowe na siasa zake za ki "Uncle Tom"
Kipindi cha utumwa huko Marekani na Jim Crow, walikuwepo wamarekani weusi ambao kwa kuwa wao walikuwa na vijinafasinafasi katika mfumo wa Marekani, walikuwa wakipenda kujitapa kwa kauli za "I am the only negro working as an engineer here", "I am the first black clerk in here". Leo hii Huwezi kushangaa kumsikia Mbowe akijitapa na kauli yake maarufu ya siasa za nchi hii ni ya Farasi wawili, CCM na Chadema. Na hii Mentality ndiyo inayomsukuma kutaka alambwe miguu pale wananchi wanapotaka kusogeza struggle kwenda next level, Ili kuitia kibano serikali ya CCM katika suala la bandari na katiba mpya. Ndiyo maana Juzi huko Zanzibar, huku akisimama kwa kujitapa mbele ya wazee wa chama anahoji eti Chadema haikushirikishwa katika maandalizi ya mikutano na maandamano ya kuibana serikali ya CCM katika suala la katiba mpya na Bandari. Yaani anataka apigiwe magoti na wananchi kwenye struggle za kuitia kibano serikali, yeye nani, na kwa nini?!.

2. Mbowe amesaliti struggle za Watanzania kupeleka struggle next level
Sijui kama Mbowe na chawa wake ndani ya Chadema wanatambua athari za walichokifanya dhidi ya struggle za Watanzania katika kujikomboa kutoka katika minyororo ya Siasa chafu na uongozi mbovu wa CCM. Badala ya kuweka ego ya Kiuenyekiti, na ego ya uchama mbele, Mbowe alipaswa aangalie picha pana ya movement ya wananchi ya kutaka kuitia kibano Serikali ya CCM zaidi katika suala la bandari. Infact struggle hii inacompliment kabisa jitihada za chama cha Chadema za kudai katiba mpya. Badala ya Mbowe kuwapiga Rungu Sauti ya Watanzania, kama kweli angekuwa anahitaji mabadiliko ya kweli nchini, alipaswa aweke ego yake pembeni na kuwasaidia kadri inavyowezekana. Hii ingesolidify movement ya mabadiliko kutoka pande zote za kijamii na kisiasa za kuleta mabadiliko nchini. Lakini cha ajabu at the critical hour, Mwenyekiti kama kawaida yake ANABADILI GIA angani.

3. Jeuri ya Nyomi mikutanoni na kudhani Chadema haihitaji Sauti za mitandaoni
Inavyoelekea, wingi wa watu katika mikutano ya Chadema umeanza kuwapa kiburi viongozi wa Chadema na kudhani kuwa nyomi hilo linamaanisha kushinda chaguzi na labda eti hiyo ndiyo force pekee inayoweza kuipeleka Chadema mbele. Nataka nimwambie Mwenyekiti Mbowe na Chawa wake ndani ya Chama kuwa kudhani hivyo ni very naive, Maana hata kama hilo nyomi lote litaichagua Chadema, kama hakuna katiba mpya, tume huru ya uchaguzi ni kazi bure. Ndiyo maana ni ujinga mtupu kubeza cheche za struggle ambazo zitazaa moto wa mabadiliko ya kisiasa na kijamii nchini yatakayoisaidia hata Chadema yenyewe. Na mtu yeyote anayedharau kundi la wananchi ambalo liko "Enlightened" basi huyo hajielewi.

Na labda tu nimwambie Mbowe, kuwa pengine Nyomi la mikutano linamtia kiburi na kuamini kuwa Hakuna haja ya kuwaengage Watanzania wa mitandaoni. Asubiri aone kama CCM nao watapita katika kata hizohizo anazopita leo watu walewale waliojitokeza kumsikiliza kama hawatakwenda kuwasikiliza CCM pia. Ni Ujinga kudharau movement ya kundi dogo wenye uelewa ktk society

4. Akili za kuwaza ubunge, wingi wa ruzuku na kuendelea kuwa Mwenyekiti
Siyo siri, viongozi wengi ndani ya Chadema ya leo wanawaza ubunge tu mwaka 2025. Ni wachache sana miongoni mwao wanaowaza beyond ubunge. Na hii sauti ya waota ubunge ndani ya chama ni kubwa zaidi kuliko wale ambao Genuinely kabisa wanawaza mabadiliko ya kweli ya kimfumo nchini. Ukisikiliza kauli za viongozi wengi wa Chadema wako more worried na uchaguzi mkuu ujao, na ndiyo maana sasa wanazungumza habari za mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi. Hoja zilezile ambazo miaka mitatu iliyopita walikuwa wakiwatukana ACT kwazo, ndiyo hizohizo leo wanazileta kwetu kama eti ni maono ya hekima ya chama. Kama hekima zinapatika ndani ya miaka mitatu, basi maana yake huko nyuma hakuwa na hekima anyway.

5. Mbowe kama Gatekeeper
It seems Mbowe, hayuko tayari kwa massive action nchini. Yaani anadhani kuwa CCM itatuleta mabadiliko kwa kuombwa, kwa kujitungia sheria za kujidhibiti yenyewe, kwa kuombwa kuleta katiba ya kujimaliza yenyewe. Na CCM kwa kutambua udhaifu wa Mwenyekiti katika mambo makuu matatu, Mosi anautaka uenyekiti tena, Pili ni muoga wa kupush hard na Tatu ana maslahi nchini ambayo wanaweza kumblackmail nayo basi wako Comfortable kuwa Mwamba ataruka na chopa, ataongea rousy speeches lakini itakapokuja muda ambao Watu wanataka kuraise up, basi Mwenyekiti atatumia machinery ya chama chake kujiweka pembeni na kuwaacha wanaotaka kuraise wakiwa marginalized. Ni jukumu la Wanachadema kukifanyia review chama chao waone kuwa The same Old Mwenyekiti ana kipya au sasa ni time ya Change ili kupush mabadiliko ya kweli nchini.

6. Mwisho
Hapa nataka nitoe tahadhari kwa viongozi wa Chadema ambao wameanza kuwa arrogant kwa kudhani Chadema is too big, na hawahitaji kuchangamana na watanzania wengine hasa wa mitandaoni.

Iko hivi, ni sisi wananchi wa Mitandaoni tuliopiga presha mpaka Mbowe akaachiwa. Ni sisi wananchi wengine wengi tu tusio na vyama lakini tuliokuwa tukiichangia Chadema katika operesheni zake. Ni sisi ambao tumeipa moral support, kwa kauli na matendo Na infact ni sisi ndiyo tunaolipa kodi ambayo leo hii Chadema wanapata ruzuku. Hii arrogance ya kijinga ambayo kwa bahati mbaya naona mnayo kuwa Walioko mitandaoni hawana dili, itakuja kuwatokea puani pale sentiment zitakapoanza kuwa negative kwenu na chama chenu. Kama mnabisha kaiulizeni ACT kwa nini haitoboi Tanganyika. Kawaulizeni negative content inawaathiri vipi!. Sasa msitufikishe huko.

Kama kweli Chadema ni chama cha wananchi, basi hiyo Taasisi ifanye kazi ya wananchi. Tungeshukuru sana kama Ingeshirikiana na Sauti ya Watanzani kuibana CCM zaidi, Kuitia kibano zaidi CCM kwenye suala la bandari na katiba. Kinyume cha hapo ni kuipa life support CCM na huo ni usaliti.

Nawasilisha!
 
huyu mwamba nakumbuka alisema mwaka huu ataachia madaraka! sijui uchaguzi watafanya lini....

chama kinachotetea demokrasia kuwa na mwenyekiti mmoja kwa miaka zaidi ya 20 sio sawa, mbowe apumzike....

kama anaona hayupo wa kumwachia chama basi cdm wasishiriki uchaguzi mkuu (au wasiwe na mgombea uraisi), maana itakua ajabu ikiwa mbowe anaamini hayupo mtu sahihi wa kuongoza chama ila anakuja kutuambia kuna mtu sahihi toka chadema wa kuongoza nchi......!

baada ya kusema hayo mheshimiwa muanzisha uzi, naunga mkono hoja ulizoleta mezani....!
 
Hebu fikirieni hili suala:

Umma wa Tanzania umeanza kuamka, unakataa udalali wa rasilimali zao, unaanza polepole kukataa chapa waliyopigwa kwa muda mrefu, unaanza kuchukua hatua ya kupeleka Struggle katika hatua ya pili ya matendo badala ya maneno. Cha kusikitisha anatokea kiongozi mmoja wa Taasisi muhimu ya wananchi, ambaye kwa nafasi yake, na mizizi ya taasisi yake angeweza kusaidia pakubwa kuwatoa wananchi kutoka katika kongwa hili la kutochukua hatua yoyote ya kuiadabisha serikali yao kutokana na madudu makubwa inayofanya yeye anarudi nyuma, na matokeo yake kuisaidia CCM kuzima cheche ambazo zingesaidia kutengeneza moto mkubwa wa mabadiliko huko mbele.

1. Mbowe na siasa zake za ki "Uncle Tom".
Kipindi cha utumwa huko Marekani na Jim Crow, walikuwepo wamarekani weusi ambao kwa kuwa wao walikuwa na vijinafasinafasi katika mfumo wa Marekani, walikuwa wakipenda kujitapa kwa kauli za "I am the only negro working as an engineer here", "I am the first black clerk in here". Leo hii Huwezi kushangaa kumsikia Mbowe akijitapa na kauli yake maarufu ya siasa za nchi hii ni ya Farasi wawili, CCM na Chadema. Na hii Mentality ndiyo inayomsukuma kutaka alambwe miguu pale wananchi wanapotaka kusogeza struggle kwenda next level, Ili kuitia kibano serikali ya CCM katika suala la bandari na katiba mpya. Ndiyo maana Juzi huko Zanzibar, huku akisimama kwa kujitapa mbele ya wazee wa chama anahoji eti Chadema haikushirikishwa katika maandalizi ya mikutano na maandamano ya kuibana serikali ya CCM katika suala la katiba mpya na Bandari.

2. Mbowe amesaliti struggle za Watanzania kupeleka struggle next level
Sijui kama Mbowe na chawa wake ndami ya Chadema wanatambua athari za walichokifanya dhidi ya struggle za Watanzania kujikomboa kutoka katika minyororo ya Siasa chafu na uongozi mbovu wa CCM. Badala ya kuweka ego ya Kiuenyekiti, na ego ya uchama, Mbowe alipaswa aangalie picha pana ya movement ya wananchi ya kutaka kuitia kibano Serikali ya CCM zaidi katika suala la bandari. Infact struggle hii inacompliment kabisa jitihada za chama cha Chadema za kudai katiba mpya. Badala ya Mbowe kuwapiga Rungu Sauti ya Watanzania, kama kweli anahitaji mabadiliko ya kweli, alipaswa aweke ego yake pembeni na kuwasaidia kadri inavyowezekana. Hii ingesolidify movement ya mabadiliko kutoka pande zote za kijamii na kisiasa za kuleta mabadiliko nchini. Lakini cha ajabu at the critical hour, Mwenyekiti kama kawaida yake ANABADILI GIA angani.

3. Jeuri ya Nyomi mikutanoni na kudhani Chadema haihitaji Sauti za mitandaoni

Inavyoelekea, winginwa watu katika mikutano ya Chadema umeanza kuwapa kiburi vio gozi wa Chadema na kudhani kuwa nyomi hilo ndiyo kushinda chaguzi na ndiyo force pekee inayoweza kuipeleka Chadema mbele. Nataka nimwambie Mwenyekiti Mbowe na Chawa wake ndani ya Chama kuwa kudhani hivyo ni very naive, Maana hata kama hilo nyomi lote litaochagua Chadema kama hakuna katiba mpya, tume huru ya uchaguzi ni kazi bure. Ndiyo maana ni ujinga mtupu kubeza cheche za struggle ambazo zitazaa moto wa mabadiliko ya kisiasa na kijamii nchini yatakayoisaidia hata Chadema yenyewe. Na mtu yeyote anayedharau kundi la wananchi ambalo liko "Enlightened" basi huyo hajielewi.
Na labda tu nimwambie Mbowe, kuwa pengine Nyomi la mikutano linamtia kiburi na kuamini kuwa Hakuna haja ya kuwaengage Watanzania wa mitandaoni. Asu biri aone kama CCM nao watapita katika kaya hizohizo anazopita leo watu walewale waliojitokeza kumsikiliza hawatakwenda kuwasikiliza CCM. Ni Ujinga kudharau movement ya kundi dogo wenye uelewa ktk society

4. Akili za kuwaza ubunge, wingi wa ruzuku na kuendelea kuwa Mwenyekiti.

Siyo siri, viongozi wengi ndani ya Chadema ya leo wanawaza ubunge tu mwaka 2025. Ni wachache sana miongoni mwao wanaowaza beyond ubunge. Na hii sauti ya wawaza ubunge ndani ya chama ni kubwa zaidi kuliko wale ambao Genuinely kabisa wanawaza mabadiliko ya kweli ya kimfumo nchini. Ukisikiliza kauli za viongozi wengi wa Chadema wako more worried na uchaguzi mkuu ujao, na ndiyo maana sasa wanazungumza habari za mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi. Hoja zilezile ambazo miaka mitatu iliyopita walikuwa wakiwatukana ACT kwazo, ndiyo hizohizo leo wanazileta kwetu kama eti ni maono ya hekima ya chama. Kama hekima zibapatika ndani ya miaka mitatu, basi maana yake huko nyuma hakuwa na hekima anyway.

5. Mbowe kama Gatekeeper.

It seems Mbowe, hayuko tayari kwa massive action nchini. Yaani anadhani kuwa CCM itatuleta mabadiliko kwa kuombwa, kwa kujitungia sheria za kujidhibiti yenyewe, kwa kuombwa kuleta katiba ya kujimaliza yenyewe. Na CCM kwa kutambua udhaifu wa Mwenyekiti katika mambo makuu matatu, Mosi anautaka uenyekiti tena, Pili ni muoga wa kupush hard na Tatu ana maslahi nchini ambayo wanaweza kumblackmail nayo basi wako Comfortable kuwa Mwamba ataruka na chopa, ataongea rousy speeches lakini itakapokuja muda ambao Watu wanataka kuraise up, basi Mwenyekiti atatumia machinery ya chama chake kujiweka pembeni na kuwaacha wanaotaka kuraise wakiwa marginalized. Ni jukumu la Wanachadema kukifanyia review chama chao waone kuwa The same Old Mwenyekiti ana kipya au sasa ni time ya Change ili kupush mabadiliko ya kweli nchini.

6. Mwisho.
Hapa nataka nitoe tahadhari kwa viongozi wa Chadema ambao wameanza kuwa arrogant kwa kudhani Chadema is too big, na hawahitaji kuchangamana na watanzania wengine hasa wa mitandaoni.

Iko hivi, ni sisi wananchi wa Mitandaoni tuliopiga presha mpaka Mbowe akaachiwa. Ni sisi wananchi wengine wengi tu tusio na vyama lakini tuliokuwa tukiichangia Chadema katika operesheni zake. Ni sisi ambao tumeipa moral support, kwa kauli na matendo Na infact ni sisi ndiyo tunaolipa kodi ambayo leo hii Chadema wanapata ruzuku. Hii arrogance ya kijinga ambayo kwa bahati mbaya naona mnayo kuwa Walioko mitandaoni hawana dili, itakuja kuwatokea puani pale sentiment zitakapoanza kuwa negative kwenu na chama chenu. Kama mnabisha kaiulizeni ACT kwa nini haitoboi Tanganyika. Kawaulizeni negative content inawaathiri vipi!. Sasa msitufikishe huko.
Kama kweli Chadema ni chama cha wananchi, basi hiyo Taasisi ifanye kazi ya wananchi. Tunheshukuru kama Ingeshirikiana na Sauti ya Watanzani kuibana CCM zaidi, Kuitia kibado zaidi CCM kwenye suala la bandari na katiba. Kinyume cha hapo ni kuipa life support CCM na huo ni usaliti.

Nawasilisha!
Tayari umeandika hisia zako!
Tafuta nyingine, ila elewa ndie mpambanaji anae aminika kwa sie wapenda mabadiliko
Wakti ananyanyaswa n Serikali mpaka kuwekwa maabusu kuna mtu liandamana kuonesha mshikamano nae? Au wataka yeye tu asurubiwe nakukashifiwa familia yake?
Wacha afanye kwa wakati wake mpaka pale wabongo mtakapo jitambua
 
Ngoja chawa wake waje wakupopowe na mawe. Miongoni mwa viumbe vya ajabu duniani basi ni Wafuasi wa Mbowe au Chadema kwa ujumla. Wao wanaamini wako sahihi muda wote na wengine hawako sahihi. Wao wanaamini kila anayewakosoa ni CCM au ACT.Hii nchi kungekua na upinzani wa maana swala la Bandari na saizi umeme yalitosha kuitoa ccm madarakani au hata kuipa adabu tu CCM.Mbowe na genge lake wanawaza ubunge tu na sio kuleta mabadiliko yoyote Tanzania. Siasa zao ni za kujipendekeza kwa watawala angalau 2025 wawalegezee kwenye Ubunge. Wanafanya SIASA za kuogopa kuikwaza CCM wasije wapiga pini huko mbele.Hiki sio chama cha siasa bali genge la wahuni.
 
Hebu fikirieni hili suala:

Umma wa Tanzania umeanza kuamka, unakataa udalali wa rasilimali zao, unaanza polepole kukataa chapa waliyopigwa kwa muda mrefu, unaanza kuchukua hatua ya kupeleka Struggle katika hatua ya pili ya matendo badala ya maneno. Cha kusikitisha anatokea kiongozi mmoja wa Taasisi muhimu ya wananchi, ambaye kwa nafasi yake, na mizizi ya taasisi yake angeweza kusaidia pakubwa kuwatoa wananchi kutoka katika kongwa hili la kutochukua hatua yoyote ya kuiadabisha serikali yao kutokana na madudu makubwa inayofanya yeye anarudi nyuma, na matokeo yake kuisaidia CCM kuzima cheche ambazo zingesaidia kutengeneza moto mkubwa wa mabadiliko huko mbele.

1. Mbowe na siasa zake za ki "Uncle Tom".
Kipindi cha utumwa huko Marekani na Jim Crow, walikuwepo wamarekani weusi ambao kwa kuwa wao walikuwa na vijinafasinafasi katika mfumo wa Marekani, walikuwa wakipenda kujitapa kwa kauli za "I am the only negro working as an engineer here", "I am the first black clerk in here". Leo hii Huwezi kushangaa kumsikia Mbowe akijitapa na kauli yake maarufu ya siasa za nchi hii ni ya Farasi wawili, CCM na Chadema. Na hii Mentality ndiyo inayomsukuma kutaka alambwe miguu pale wananchi wanapotaka kusogeza struggle kwenda next level, Ili kuitia kibano serikali ya CCM katika suala la bandari na katiba mpya. Ndiyo maana Juzi huko Zanzibar, huku akisimama kwa kujitapa mbele ya wazee wa chama anahoji eti Chadema haikushirikishwa katika maandalizi ya mikutano na maandamano ya kuibana serikali ya CCM katika suala la katiba mpya na Bandari.

2. Mbowe amesaliti struggle za Watanzania kupeleka struggle next level
Sijui kama Mbowe na chawa wake ndami ya Chadema wanatambua athari za walichokifanya dhidi ya struggle za Watanzania kujikomboa kutoka katika minyororo ya Siasa chafu na uongozi mbovu wa CCM. Badala ya kuweka ego ya Kiuenyekiti, na ego ya uchama, Mbowe alipaswa aangalie picha pana ya movement ya wananchi ya kutaka kuitia kibano Serikali ya CCM zaidi katika suala la bandari. Infact struggle hii inacompliment kabisa jitihada za chama cha Chadema za kudai katiba mpya. Badala ya Mbowe kuwapiga Rungu Sauti ya Watanzania, kama kweli anahitaji mabadiliko ya kweli, alipaswa aweke ego yake pembeni na kuwasaidia kadri inavyowezekana. Hii ingesolidify movement ya mabadiliko kutoka pande zote za kijamii na kisiasa za kuleta mabadiliko nchini. Lakini cha ajabu at the critical hour, Mwenyekiti kama kawaida yake ANABADILI GIA angani.

3. Jeuri ya Nyomi mikutanoni na kudhani Chadema haihitaji Sauti za mitandaoni

Inavyoelekea, winginwa watu katika mikutano ya Chadema umeanza kuwapa kiburi vio gozi wa Chadema na kudhani kuwa nyomi hilo ndiyo kushinda chaguzi na ndiyo force pekee inayoweza kuipeleka Chadema mbele. Nataka nimwambie Mwenyekiti Mbowe na Chawa wake ndani ya Chama kuwa kudhani hivyo ni very naive, Maana hata kama hilo nyomi lote litaochagua Chadema kama hakuna katiba mpya, tume huru ya uchaguzi ni kazi bure. Ndiyo maana ni ujinga mtupu kubeza cheche za struggle ambazo zitazaa moto wa mabadiliko ya kisiasa na kijamii nchini yatakayoisaidia hata Chadema yenyewe. Na mtu yeyote anayedharau kundi la wananchi ambalo liko "Enlightened" basi huyo hajielewi.
Na labda tu nimwambie Mbowe, kuwa pengine Nyomi la mikutano linamtia kiburi na kuamini kuwa Hakuna haja ya kuwaengage Watanzania wa mitandaoni. Asu biri aone kama CCM nao watapita katika kaya hizohizo anazopita leo watu walewale waliojitokeza kumsikiliza hawatakwenda kuwasikiliza CCM. Ni Ujinga kudharau movement ya kundi dogo wenye uelewa ktk society

4. Akili za kuwaza ubunge, wingi wa ruzuku na kuendelea kuwa Mwenyekiti.

Siyo siri, viongozi wengi ndani ya Chadema ya leo wanawaza ubunge tu mwaka 2025. Ni wachache sana miongoni mwao wanaowaza beyond ubunge. Na hii sauti ya wawaza ubunge ndani ya chama ni kubwa zaidi kuliko wale ambao Genuinely kabisa wanawaza mabadiliko ya kweli ya kimfumo nchini. Ukisikiliza kauli za viongozi wengi wa Chadema wako more worried na uchaguzi mkuu ujao, na ndiyo maana sasa wanazungumza habari za mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi. Hoja zilezile ambazo miaka mitatu iliyopita walikuwa wakiwatukana ACT kwazo, ndiyo hizohizo leo wanazileta kwetu kama eti ni maono ya hekima ya chama. Kama hekima zibapatika ndani ya miaka mitatu, basi maana yake huko nyuma hakuwa na hekima anyway.

5. Mbowe kama Gatekeeper.

It seems Mbowe, hayuko tayari kwa massive action nchini. Yaani anadhani kuwa CCM itatuleta mabadiliko kwa kuombwa, kwa kujitungia sheria za kujidhibiti yenyewe, kwa kuombwa kuleta katiba ya kujimaliza yenyewe. Na CCM kwa kutambua udhaifu wa Mwenyekiti katika mambo makuu matatu, Mosi anautaka uenyekiti tena, Pili ni muoga wa kupush hard na Tatu ana maslahi nchini ambayo wanaweza kumblackmail nayo basi wako Comfortable kuwa Mwamba ataruka na chopa, ataongea rousy speeches lakini itakapokuja muda ambao Watu wanataka kuraise up, basi Mwenyekiti atatumia machinery ya chama chake kujiweka pembeni na kuwaacha wanaotaka kuraise wakiwa marginalized. Ni jukumu la Wanachadema kukifanyia review chama chao waone kuwa The same Old Mwenyekiti ana kipya au sasa ni time ya Change ili kupush mabadiliko ya kweli nchini.

6. Mwisho.
Hapa nataka nitoe tahadhari kwa viongozi wa Chadema ambao wameanza kuwa arrogant kwa kudhani Chadema is too big, na hawahitaji kuchangamana na watanzania wengine hasa wa mitandaoni.

Iko hivi, ni sisi wananchi wa Mitandaoni tuliopiga presha mpaka Mbowe akaachiwa. Ni sisi wananchi wengine wengi tu tusio na vyama lakini tuliokuwa tukiichangia Chadema katika operesheni zake. Ni sisi ambao tumeipa moral support, kwa kauli na matendo Na infact ni sisi ndiyo tunaolipa kodi ambayo leo hii Chadema wanapata ruzuku. Hii arrogance ya kijinga ambayo kwa bahati mbaya naona mnayo kuwa Walioko mitandaoni hawana dili, itakuja kuwatokea puani pale sentiment zitakapoanza kuwa negative kwenu na chama chenu. Kama mnabisha kaiulizeni ACT kwa nini haitoboi Tanganyika. Kawaulizeni negative content inawaathiri vipi!. Sasa msitufikishe huko.
Kama kweli Chadema ni chama cha wananchi, basi hiyo Taasisi ifanye kazi ya wananchi. Tunheshukuru kama Ingeshirikiana na Sauti ya Watanzani kuibana CCM zaidi, Kuitia kibado zaidi CCM kwenye suala la bandari na katiba. Kinyume cha hapo ni kuipa life support CCM na huo ni usaliti.

Nawasilisha!
It's time you guys realise kwamba Chadema ni private property ya Mbowe and family. Hamwezi kumpangia mwenye mali cha kufanya. Mwenzenu wa mitandao Maria kapost twira kwa Uchungu Leo...

Chadema siyo national party kama wengi mnavyodhani and that applies kwa ACT na vyama vingine mbadala.
 
Mbowe kwenye mkutano wa Juzi na wazee alishindwa kujenga HOJA zenye mashiko.

Akumbushwe CDM inapata support na wananchi pia wasio na vyama vya siasa.
Nimshangaa anavyojitapa kukwamisha jitihada za wananchi kuitia kibano serikali ya CCM kwenye ishu ya katiba mpya na bandari.

Badala awaone Sauti ya watanzania kama natural allies, yeye anaweka mbele ego yake tu ya uwenyekiti mbele.

OK sawa, wewe ni mwenyekiti so what?
 
LISSU YUPO WAPI?

Huyu anaangaliwa kwa jicho la wasiwasi na wasaka ubunge wa mwaka 2025 ndani ya CHADEMA. Wanaona misimamo yake itamkasirisha "mama". Na hawataki hilo mama asije akawafanya kitu mbaya kama JPM alivyofanya mwaka 2020.
Kundi hili la wasaka ubunge linapay lip service tu ya katiba mpya, lakini haliko interested nayo kiviiile!.
Wao ubunge ni kitu number one!
 
Hebu fikirieni hili suala:

Umma wa Tanzania umeanza kuamka, unakataa udalali wa rasilimali zao, unaanza polepole kukataa chapa waliyopigwa kwa muda mrefu, unaanza kuchukua hatua ya kupeleka Struggle katika hatua ya pili ya matendo badala ya maneno. Cha kusikitisha anatokea kiongozi mmoja wa Taasisi muhimu ya wananchi, ambaye kwa nafasi yake, na mizizi ya taasisi yake angeweza kusaidia pakubwa kuwatoa wananchi kutoka katika kongwa hili la kutochukua hatua yoyote ya kuiadabisha serikali yao kutokana na madudu makubwa inayofanya yeye anarudi nyuma, na matokeo yake kuisaidia CCM kuzima cheche ambazo zingesaidia kutengeneza moto mkubwa wa mabadiliko huko mbele. Ni ajabu sana!

1. Mbowe na siasa zake za ki "Uncle Tom".
Kipindi cha utumwa huko Marekani na Jim Crow, walikuwepo wamarekani weusi ambao kwa kuwa wao walikuwa na vijinafasinafasi katika mfumo wa Marekani, walikuwa wakipenda kujitapa kwa kauli za "I am the only negro working as an engineer here", "I am the first black clerk in here". Leo hii Huwezi kushangaa kumsikia Mbowe akijitapa na kauli yake maarufu ya siasa za nchi hii ni ya Farasi wawili, CCM na Chadema. Na hii Mentality ndiyo inayomsukuma kutaka alambwe miguu pale wananchi wanapotaka kusogeza struggle kwenda next level, Ili kuitia kibano serikali ya CCM katika suala la bandari na katiba mpya. Ndiyo maana Juzi huko Zanzibar, huku akisimama kwa kujitapa mbele ya wazee wa chama anahoji eti Chadema haikushirikishwa katika maandalizi ya mikutano na maandamano ya kuibana serikali ya CCM katika suala la katiba mpya na Bandari. Yaani anataka apigiwe magoti na wananchi kwenye struggle za kuitia kibano serikali, yeye nani?!

2. Mbowe amesaliti struggle za Watanzania kupeleka struggle next level
Sijui kama Mbowe na chawa wake ndani ya Chadema wanatambua athari za walichokifanya dhidi ya struggle za Watanzania katika kujikomboa kutoka katika minyororo ya Siasa chafu na uongozi mbovu wa CCM. Badala ya kuweka ego ya Kiuenyekiti, na ego ya uchama mbele, Mbowe alipaswa aangalie picha pana ya movement ya wananchi ya kutaka kuitia kibano Serikali ya CCM zaidi katika suala la bandari. Infact struggle hii inacompliment kabisa jitihada za chama cha Chadema za kudai katiba mpya. Badala ya Mbowe kuwapiga Rungu Sauti ya Watanzania, kama kweli angekuwa anahitaji mabadiliko ya kweli nchini, alipaswa aweke ego yake pembeni na kuwasaidia kadri inavyowezekana. Hii ingesolidify movement ya mabadiliko kutoka pande zote za kijamii na kisiasa za kuleta mabadiliko nchini. Lakini cha ajabu at the critical hour, Mwenyekiti kama kawaida yake ANABADILI GIA angani.

3. Jeuri ya Nyomi mikutanoni na kudhani Chadema haihitaji Sauti za mitandaoni

Inavyoelekea, wingi wa watu katika mikutano ya Chadema umeanza kuwapa kiburi viongozi wa Chadema na kudhani kuwa nyomi hilo linamaanisha kushinda chaguzi na labda eti hiyo ndiyo force pekee inayoweza kuipeleka Chadema mbele. Nataka nimwambie Mwenyekiti Mbowe na Chawa wake ndani ya Chama kuwa kudhani hivyo ni very naive, Maana hata kama hilo nyomi lote litaichagua Chadema, kama hakuna katiba mpya, tume huru ya uchaguzi ni kazi bure. Ndiyo maana ni ujinga mtupu kubeza cheche za struggle ambazo zitazaa moto wa mabadiliko ya kisiasa na kijamii nchini yatakayoisaidia hata Chadema yenyewe. Na mtu yeyote anayedharau kundi la wananchi ambalo liko "Enlightened" basi huyo hajielewi.
Na labda tu nimwambie Mbowe, kuwa pengine Nyomi la mikutano linamtia kiburi na kuamini kuwa Hakuna haja ya kuwaengage Watanzania wa mitandaoni. Asu biri aone kama CCM nao watapita katika kaya hizohizo anazopita leo watu walewale waliojitokeza kumsikiliza hawatakwenda kuwasikiliza CCM. Ni Ujinga kudharau movement ya kundi dogo wenye uelewa ktk society

4. Akili za kuwaza ubunge, wingi wa ruzuku na kuendelea kuwa Mwenyekiti.

Siyo siri, viongozi wengi ndani ya Chadema ya leo wanawaza ubunge tu mwaka 2025. Ni wachache sana miongoni mwao wanaowaza beyond ubunge. Na hii sauti ya waota ubunge ndani ya chama ni kubwa zaidi kuliko wale ambao Genuinely kabisa wanawaza mabadiliko ya kweli ya kimfumo nchini. Ukisikiliza kauli za viongozi wengi wa Chadema wako more worried na uchaguzi mkuu ujao, na ndiyo maana sasa wanazungumza habari za mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi. Hoja zilezile ambazo miaka mitatu iliyopita walikuwa wakiwatukana ACT kwazo, ndiyo hizohizo leo wanazileta kwetu kama eti ni maono ya hekima ya chama. Kama hekima zinapatika ndani ya miaka mitatu, basi maana yake huko nyuma hakuwa na hekima anyway.

5. Mbowe kama Gatekeeper.

It seems Mbowe, hayuko tayari kwa massive action nchini. Yaani anadhani kuwa CCM itatuleta mabadiliko kwa kuombwa, kwa kujitungia sheria za kujidhibiti yenyewe, kwa kuombwa kuleta katiba ya kujimaliza yenyewe. Na CCM kwa kutambua udhaifu wa Mwenyekiti katika mambo makuu matatu, Mosi anautaka uenyekiti tena, Pili ni muoga wa kupush hard na Tatu ana maslahi nchini ambayo wanaweza kumblackmail nayo basi wako Comfortable kuwa Mwamba ataruka na chopa, ataongea rousy speeches lakini itakapokuja muda ambao Watu wanataka kuraise up, basi Mwenyekiti atatumia machinery ya chama chake kujiweka pembeni na kuwaacha wanaotaka kuraise wakiwa marginalized. Ni jukumu la Wanachadema kukifanyia review chama chao waone kuwa The same Old Mwenyekiti ana kipya au sasa ni time ya Change ili kupush mabadiliko ya kweli nchini.

6. Mwisho.
Hapa nataka nitoe tahadhari kwa viongozi wa Chadema ambao wameanza kuwa arrogant kwa kudhani Chadema is too big, na hawahitaji kuchangamana na watanzania wengine hasa wa mitandaoni.

Iko hivi, ni sisi wananchi wa Mitandaoni tuliopiga presha mpaka Mbowe akaachiwa. Ni sisi wananchi wengine wengi tu tusio na vyama lakini tuliokuwa tukiichangia Chadema katika operesheni zake. Ni sisi ambao tumeipa moral support, kwa kauli na matendo Na infact ni sisi ndiyo tunaolipa kodi ambayo leo hii Chadema wanapata ruzuku. Hii arrogance ya kijinga ambayo kwa bahati mbaya naona mnayo kuwa Walioko mitandaoni hawana dili, itakuja kuwatokea puani pale sentiment zitakapoanza kuwa negative kwenu na chama chenu. Kama mnabisha kaiulizeni ACT kwa nini haitoboi Tanganyika. Kawaulizeni negative content inawaathiri vipi!. Sasa msitufikishe huko.
Kama kweli Chadema ni chama cha wananchi, basi hiyo Taasisi ifanye kazi ya wananchi. Tunheshukuru kama Ingeshirikiana na Sauti ya Watanzani kuibana CCM zaidi, Kuitia kibado zaidi CCM kwenye suala la bandari na katiba. Kinyume cha hapo ni kuipa life support CCM na huo ni usaliti.

Nawasilisha!
Mkiniambia CHADEMA walitakiwa kufuata ratiba isiyoandaliwa na Kamati Kuu nitawaelewa. Lakini kama CHADEMA yenyewe kama Taasisi inatakiwa kuandaa ratiba yake yenyewe basi hizi ulizoandika ni uchochezi ukidhani CHADEMA wataathirika kumbe wala haiwahusu. Lini CHADEMA imepitisha azimio la maandamano yasiyo na kikomo kuhusu Bandari? Je, kina Slaa walitangaza maandamano wakiitegemea CHADEMA bila kuishirikisha? Kama ni hivyo basi CHADEMA ni wa kuburuzwa tu hawana utashi.
 
Nimshangaa anavyojitapa kukwamisha jitihada za wananchi kuitia kibano serikali ya CCM kwenye ishu ya katiba mpya na bandari.

Badala awaone Sauti ya watanzania kama natural allies, yeye anaweka mbele ego yake tu ya uwenyekiti mbele.

OK sawa, wewe ni mwenyekiti so what?
Mimi wapinzani wote siwaamini, lakini Mbowe kidogo ana afadhali kuliko Slaa

Mbowe na wenzake walipokuwa wanakabiliwa na kesi kibao na kufungwa kipindi cha Magufuli, Slaa alikuwa anasemaje? Slaa alisema wazi wazi kuwa mikutano ya hadhara kuzuiwa ni sawa, Katiba mpya haina umuhimu, hata kesi walizobambikiwa wapinzani ni haki yao

Leo hii Slaa baada ya kupokonywa tonge anajidai kurudi? Na mnamuamini? Hivi kwa akili zenu mnadhani Samia akimpa cheo Slaa, ataendelea na hizi harakati zake uchwara?

Mdude naye ni mtu wa kuaminika kweli kwenye mkakati wowote?

Yaani kikundi cha Mdude, Slaa na Mwakubusi ndio mnakiamini kupanga maandamano eti kuitoa serikali? 😂😂😂
 
Mkiniambia CHADEMA walitakiwa kufuata ratiba isiyoandaliwa na Kamati Kuu nitawaelewa. Lakini kama CHADEMA yenyewe kama Taasisi inatakiwa kuandaa ratiba yake yenyewe basi hizi ulizoandika ni uchochezi ukidhani CHADEMA wataathirika kumbe wala haiwahusu. Lini CHADEMA imepitisha azimio la maandamano yasiyo na kikomo kuhusu Bandari? Je, kina Slaa walitangaza maandamano wakiitegemea CHADEMA bila kuishirikisha? Kama ni hivyo basi CHADEMA ni wa kuburuzwa tu hawana utashi.
Mbowe ningemdharau sana kama angeshiriki haya maandamano ya akina Slaa na Mdude, mtu yoyote mwenye akili aliyeona ile press conference yao ya kuipa serikali siku 30 angesema hawa watu ni vichaa
 
Inaonekana hujielewi.Harakati bila mipango ni vurugu.chadema na mbowe sio watu wakukimbizwa kimbizwa na mipango iliyoratibiwa na wengine alafu waidandie kwa mbele.Agenda za bandari na katiba mpya zilianzishwa na chadema mapema kabisa kabla ya hao unaowatetea hawajajitokeza.je kwanini wao hawakuungana na chadema kuke mwanzoni ili kuongeza nguvu badala yake watake wao kuongezewa nguvu baada yakuanzisha lakwao?.lakini pia kwani kuna ubaya gani kila mtu akapambana kwa wakati wake ikiwa lengo ni lile lile?.kwani ni lazima wote wawe jukwaa moja?.Nadhani ni busara tumwache mbowe aongoze chadema kwa jinsi anavyoona na nyie wengine mfanye mnayoyaona mwishoni wananchi watachuja pumba na mbivu.Kama mna hoja wansnchi watawaunga mkono mkiona mmpepuuzwa jua hamueleweki.Na hiyo ndiyo inayowafanya mnamshambulia mbowe kwasababu kaonyesha msimamo,nyie mlitaka muitumie chadema kwa mambo mliyoyapanga wenyewe,kitu ambacho mbowe kwaukomavu alionao kaukwepa.
 
Ngoja chawa wake waje wakupopowe na mawe. Miongoni mwa viumbe vya ajabu duniani basi ni Wafuasi wa Mbowe au Chadema kwa ujumla. Wao wanaamini wako sahihi muda wote na wengine hawako sahihi. Wao wanaamini kila anayewakosoa ni CCM au ACT.Hii nchi kungekua na upinzani wa maana swala la Bandari na saizi umeme yalitosha kuitoa ccm madarakani au hata kuipa adabu tu CCM.Mbowe na genge lake wanawaza ubunge tu na sio kuleta mabadiliko yoyote Tanzania. Siasa zao ni za kujipendekeza kwa watawala angalau 2025 wawalegezee kwenye Ubunge. Wanafanya SIASA za kuogopa kuikwaza CCM wasije wapiga pini huko mbele.Hiki sio chama cha siasa bali genge la wahuni.
Hayo ni mawazo yako.Usidhani watu wote hawana akili kama wewe.Mnafikiri kazi ya siasa kwenye hizi nchi nikama kwenda chooni kutoa haja.Wewe baki na mtazamo wako ila muda utakuja kukupa majibu ni nani yuko sahihi kati ya mbowe na wafuasi wake na wewe ambaye kauli zako zinaonyesha unatamani wakwame.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom