Si kweliKila Imani isio yako ni utapeli
KETA SYAKO
....Na Wanamshangilia kabisa !.. 😏😏😏Na ukitaka kujua wajinga hawajawahi kuisha toka dunia iumbwe ndio kama hivo, kuna waumini huwambii lolote kuhusu mchungaji wao.
Ahahahahah we jau ukute ulivaa kanzu au unafuga ndevu mkuuPentecostal wanazingua sana mkuu 😂 😂 ety ananiita unaonekna kobazi kabisa
Shetani adhihakiwiHello
Waumini wa huyu pastor wenu pitozi anaitwa PT.
Sijui Tony wa Kapola naombeni mjitathmini sana.
Sipo hapa kumsema Wala kupinga huduma yake
Ila kwanini muda mwingi wa mahubiri yake umekuwa ni wa majingambo kujisifu juu ya kumiliki magari hela na nyumba Kali.
Lakini akisahau waumini wake kwa asilimia kubwa ni Wanachuo wenye maisha magumu walipigika na maisha wameamua kusali kwake kupata faraja ila mwisho wameishia kuchambwa kuanzia mchungaji na mke wake.
Kiukweli kwenye biblia Mungu alituachia neno lake na inatupasa kuliamini.
Ila asitumie madhabahu kama sehemu ya mipasho na majigambo.
Mimi nimeomba Huyu Tony kapola ajifunze kwa wakina mwakasege.
Kama juzi amepaniki kwenye sakata lake la muujiza wa gas.
Wakati watu wengi wanajua yeye tapeli na motivation speaker aliyechangamka.
Kuna kanisa morogoro mkuyuni amelitelekeza.
Vijana wa kanisa lake anawafanyisha kazi bila malipo Wala posho.
Malaya wa kutupwa anatongoza sana waumini wake
Ila waumini wake wamekuwa kama mataira.
Wewe umechoka kula ugali,imeandikwa msiwaguse masiha wa Bwana,ukiambiwa useme utapeli wa Mwakasege utasema ulitapeliwa nini?gusa pengine usiguse watumishi wa Mungu wa kweli.Mwakasege nae tapeli tu ila ni mtu mzima utapeli wake una hekima kubwa
Sasa je, nimepiga kanzu, sandals plus mawani anashangaa tuu ety we kobazi yule mamaAhahahahah we jau ukute ulivaa kanzu au unafuga ndevu mkuu
Acha mazereu jombaaHalafu unakuta natuma ngoma humu , ila mtu anaisikiliza kwa music system ya laki 2 halafu anasema ngoma mbaya🤣🤣🤣🤣
Hapo kwenye miwani ni mimi kabisa kubabek zako 😂😂😂😂Sasa je, nimepiga kanzu, sandals plus mawani anashangaa tuu ety we kobazi yule mama
Hahahaha mawani tamu sana 😂 asikwambie mtu mzee, kuna fremu nikipata mpunga nikaichonge nikae kinyamweziHapo kwenye miwani ni mimi kabisa kubabek zako 😂😂😂😂
Unasali wapi nije?Yaani wafuasi wa makanisa uchwara type ya mwamposa, Tony, mwakasege, suguye, zumaridi, nick shaboka,
Sijui nawaonajee vilee, km wendawazimu.
Watanisamehe kwa kweli, 😂😂😂😂😂😂
Sio sasa ndio ukalewee zote!Mashirimaa wewe ukinisachi kuna shida gani kwani?
Hii picha imenifanya nicheke sana kwa leo, nilikuwa na huzuni lakini basi!! Ha ha ha ha ha ha ha hatareee!!Mpumbavu sana huyo pastor
View attachment 3436158
Otawa bado yupo?Nenda kasali uchukue nafasi ya mtunza fedha
Mh!ona sasa mtu hadi anapokonywa Ubingwa
Mi navaa kwa sababu ya matatizo ya macho ujue... Wewe unataka kuvaa for swaga tatizo ahahahHahahaha mawani tamu sana 😂 asikwambie mtu mzee, kuna fremu nikipata mpunga nikaichonge nikae kinyamwezi