Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,857
- 89,745
Ngoma kali sna inanimate vibe la kulewa mbaya
Yeap hasa alipoimba Bien
Ngoma kali sna inanimate vibe la kulewa mbaya
Mimi linalonishangaza zaidi kwa Wakristo hata Zumaridi na So called Nabii Titto Wana wafuasi wengi tena ni Loyal supporters .Na ukitaka kujua wajinga hawajawahi kuisha toka dunia iumbwe ndio kama hivo, kuna waumini huwambii lolote kuhusu mchungaji wao.
Ngoma ni tamu sana mimi naisikiliza mda wote napenda kula pombe huku napata nyimbo kama hizi😊Yeap hasa alipoimba Bien
Lamo kana lomooo😆😁😁😁😁Aandae siku ya kutujazia gesi mitungi imeisha huku majumbani aache ngebe…!!
Hii ngoma naipenda mno🤣🤣🤣,Nimetoka isikiliza hiyo😁mie na mziki,,moto huu hapa💥View attachment 3436057
Eeeh ngoma tamu.Hii ngoma naipenda mno
Na Salio Kwa yule nabii anagawa pesa,anaitwaje sijui🤣Ukitaka kujua akili za mtu muulize anasali wapi...
Wapi huko twende...Na Salio Kwa yule nabii anagawa pesa,anaitwaje sijui🤣
Sisi wafuasi wa mfalme zuma, hatukusamehi🤣🤣🤣🤣Yaani wafuasi wa makanisa uchwara type ya mwamposa, Tony, mwakasege, suguye, zumaridi, nick shaboka,
Sijui nawaonajee vilee, km wendawazimu.
Watanisamehe kwa kweli, 😂😂😂😂😂😂
Nimesahau jina but anagawa pesa, now Tv nimestaafu,,,,,,anakuwepo change ten plus live j,pili,Wapi huko twende...
Makerubi na Zuma wao, watanisamehe tyuu, hakuna namna hapo.Sisi wafuasi wa mfalme zuma, hatukusamehi🤣🤣🤣🤣
God exist but religious is scam❌Dini zote zimejaa uongo hakuna dini ya kweli .
God exist but religious is scam
Yaani wafuasi wa makanisa uchwara type ya mwamposa, Tony, mwakasege, suguye, zumaridi, nick shaboka,
Sijui nawaonajee vilee, km wendawazimu.
Watanisamehe kwa kweli, 😂😂😂😂😂😂