Huyu Tony Kapola amekuwaje?

Huyu Tony Kapola amekuwaje?

Na waamini au 🤔
Ndyo waumini, wamemnunulia gari, wamemjengea nyumba, wanamsomeshea watoto wake shule za private.

Na kila msimu wa mavuno, kila muumini anatoa kiasi cha mazao yake kwa mchungaji.
Fungu la 10 wanaita.
😂😂😂😂😂
 
Hello

Waumini wa huyu pastor wenu pitozi anaitwa PT.

Sijui Tony wa Kapola naombeni mjitathmini sana.

Sipo hapa kumsema Wala kupinga huduma yake

Ila kwanini muda mwingi wa mahubiri yake umekuwa ni wa majingambo kujisifu juu ya kumiliki magari hela na nyumba Kali.

Lakini akisahau waumini wake kwa asilimia kubwa ni Wanachuo wenye maisha magumu walipigika na maisha wameamua kusali kwake kupata faraja ila mwisho wameishia kuchambwa kuanzia mchungaji na mke wake.

Kiukweli kwenye biblia Mungu alituachia neno lake na inatupasa kuliamini.

Ila asitumie madhabahu kama sehemu ya mipasho na majigambo.

Mimi nimeomba Huyu Tony kapola ajifunze kwa wakina mwakasege.

Kama juzi amepaniki kwenye sakata lake la muujiza wa gas.

Wakati watu wengi wanajua yeye tapeli na motivation speaker aliyechangamka.

Kuna kanisa morogoro mkuyuni amelitelekeza.

Vijana wa kanisa lake anawafanyisha kazi bila malipo Wala posho.

Malaya wa kutupwa anatongoza sana waumini wake

Ila waumini wake wamekuwa kama mataira.
Huyo nae ni ndio nani huko daslamu?!
 
Ndyo waumini, wamemnunulia gari, wamemjengea nyumba, wanamsomeshea watoto wake shule za private.

Na kila msimu wa mavuno, kila muumini anatoa kiasi cha mazao yake kwa mchungaji.
Fungu la 10 wanaita.
😂😂😂😂😂
Jesuu kumbe sadaka tamu hv
 
Hello

Waumini wa huyu pastor wenu pitozi anaitwa PT.

Sijui Tony wa Kapola naombeni mjitathmini sana.

Sipo hapa kumsema Wala kupinga huduma yake

Ila kwanini muda mwingi wa mahubiri yake umekuwa ni wa majingambo kujisifu juu ya kumiliki magari hela na nyumba Kali.

Lakini akisahau waumini wake kwa asilimia kubwa ni Wanachuo wenye maisha magumu walipigika na maisha wameamua kusali kwake kupata faraja ila mwisho wameishia kuchambwa kuanzia mchungaji na mke wake.

Kiukweli kwenye biblia Mungu alituachia neno lake na inatupasa kuliamini.

Ila asitumie madhabahu kama sehemu ya mipasho na majigambo.

Mimi nimeomba Huyu Tony kapola ajifunze kwa wakina mwakasege.

Kama juzi amepaniki kwenye sakata lake la muujiza wa gas.

Wakati watu wengi wanajua yeye tapeli na motivation speaker aliyechangamka.

Kuna kanisa morogoro mkuyuni amelitelekeza.

Vijana wa kanisa lake anawafanyisha kazi bila malipo Wala posho.

Malaya wa kutupwa anatongoza sana waumini wake

Ila waumini wake wamekuwa kama mataira.
Nimesoma mstari wa mwisho tu 😀
Waumini ni walewale watanzania wanapata ugeni wa mwakilishi wao mara moja au mbili kwa miaka mitano halafu anakuja kwenye kampeni anagawa Tshirt na wanamkabidhi awamu mpya
 
Mpumbavu sana huyo pastor
IMG-20250808-WA0010.jpg
 
Niliwah kuhoji humu ndani week chache nyuma kuhusu akili za Kapola na Chawa wake watu mkasema ni mambo ya iman. Ona sasa alikofika saivi anapuliza mitungi na kutusi wanaopinga.
 
tunaomfahamu ,..tunacheka tu ,...dogo kazi yake kuu ni utakatishaji pesa,....mgonjwa
 
Msamala - Miembeni, unashuka barabara mpyaa unateremka na njia inayokuja shuleni.

Ndo mitaa ya home kabisaa, ibada na makelele yote ya kanisani nayasikia.
😂😂😂😂😂😂
Nenda kasali uchukue nafasi ya mtunza fedha
 
Back
Top Bottom