Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,938
- 4,354
Jana nilikua nikitizama Clouds TV nikamuona Mchungaji ambaye anachipukia kwa umaarufu miongoni mwa vijana wa hapa mjini Dar es Salaam, Pastor Tony Kapola. Nilipigwq na butwaa kuona kwamba yeye ndo mwenyeji wa mchungaji muhuni na tapeli kutoka nchini Zimbabwe ajulikanae kama Uegbert Angel.
Nimeona yupo hapa nchini kwa shughuli za “Unabii” ila nimetilia mashaka sana safari yake hapa nchini. Ikumbukwe huyu mtu ni Mwanadiplomasia na ana “diplomatic pass” kwa maana kwamba akipita pale Airport hawezi kufanyiwa ukaguzi kama watumiaji wengine. Naomba huyu mtu afuatiliwe kwa umakini sana pamoja na mwenyeji wake.
Huyu Pastor Uegbert Angel hivi karibuni ameshushiwa shutma na kituo cha habari cha Al Jazeera kwa kijihusisha usafirishaji wa dhahabu kwa magendo mchini mwake Zimbawe.
1.
2.
Documentary nzima inapatikana huko Youtube kama GOLD MAFIA
Nimeona yupo hapa nchini kwa shughuli za “Unabii” ila nimetilia mashaka sana safari yake hapa nchini. Ikumbukwe huyu mtu ni Mwanadiplomasia na ana “diplomatic pass” kwa maana kwamba akipita pale Airport hawezi kufanyiwa ukaguzi kama watumiaji wengine. Naomba huyu mtu afuatiliwe kwa umakini sana pamoja na mwenyeji wake.
Huyu Pastor Uegbert Angel hivi karibuni ameshushiwa shutma na kituo cha habari cha Al Jazeera kwa kijihusisha usafirishaji wa dhahabu kwa magendo mchini mwake Zimbawe.
1.
2.
Documentary nzima inapatikana huko Youtube kama GOLD MAFIA