Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,400
Ila kweli acha nipambane huku huku KKKT.Makerubi na Zuma wao, watanisamehe tyuu, hakuna namna hapo.
๐๐๐๐๐๐
Ila kweli acha nipambane huku huku KKKT.Makerubi na Zuma wao, watanisamehe tyuu, hakuna namna hapo.
๐๐๐๐๐๐
Basi sawaa, ๐๐๐๐๐Wafuasi wote wa kitabu kinachosema Nyoka anaongea ni wendawazimu
Pia na wafuasi wa kitabu kinachosema punda ana mabawa anapaa kwenda mbingu ya saba nao ni wendawazimu.
Hakuna wa kumcheka mwenzake. Wote matapeli tu.
Bora huko KKKT. Haya ya wachungaji uchwara hapanaa..Ila kweli acha nipambane huku huku KKKT.
๐๐๐๐God exist but religious is scamโ
God exists, but religion is a scamโ
Sasa ukasirike tena๐คฃ
View: https://youtu.be/04GKMWEwe98?si=mjM3ECJINix0UVuy kabisa madam nakula pombe na hii ngoma napaa kabisa yani๐๐๐
Shindii sikiliza hiyo ngoma na mziki wa pesa ya kueleweka , acha kulaumu pombe shindii wanguUmeoana na pombe๐คฃ๐คฃ
Lazima ni mimi๐คฃ๐คฃ.๐๐๐๐
Kulikua na Madame wa English, nikiwa o level, jamani sio kwa kukosoa kulee.
Au ni wee?
Kule Songea mbona wanajaa kwa Apostle Super ChargerYaani wafuasi wa makanisa uchwara type ya mwamposa, Tony, mwakasege, suguye, zumaridi, nick shaboka,
Sijui nawaonajee vilee, km wendawazimu.
Watanisamehe kwa kweli, ๐๐๐๐๐๐
Shindii unalewa na ninakudai๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธShindii sikiliza hiyo ngoma na mziki wa pesa ya kueleweka , acha kulaumu pombe shindii wangu
Super charger toka afirwe hana jipyaa, sahivi mambo yako kwa jirani angu Mbilinyi, hadi Alphard nyeusi kanunuliwa, na nyumba shule ya Tanga karibu inamalizika ahamie.Kule Songea mbona wanajaa kwa Apostle Super Charger
Shindii hivi hawaja kuambia mimi kulewa million tsh sio shida zangu ? Kwa siku??..?.๐คฃ๐คฃ๐คฃShindii unalewa na ninakudai๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Hatariiii, ๐๐๐๐Lazima ni mimi๐คฃ๐คฃ.
Nilikunyoosha eeh!!
Mbilinyi chepo (kanisa) yake ipo wapiSuper charger toka afirwe hana jipyaa, sahivi mambo yako kwa jirani angu Mbilinyi, hadi Alphard nyeusi kanunuliwa, na nyumba shule ya Tanga karibu inamalizika ahamie.
Huku wafuasi wake wakikesha madimbani luhira na nakarai.
๐๐๐๐๐๐๐
Ntamvizia.Nimesahau jina but anagawa pesa, now Tv nimestaafu,,,,,,anakuwepo change ten plus live j,pili,
Huwa naishiaga tu kucheka๐คฃ
Msamala - Miembeni, unashuka barabara mpyaa unateremka na njia inayokuja shuleni.Mbilinyi chepo (kanisa) yake ipo wapi
Songea Nako wameona Kwa kuchumia,maana Kuna vinabii uchwara๐Msamala - Miembeni, unashuka barabara mpyaa unateremka na njia inayokuja shuleni.
Ndo mitaa ya home kabisaa, ibada na makelele yote ya kanisani nayasikia.
๐๐๐๐๐๐
Ukija kulala jikoni, nitakusachi.Shindii hivi hawaja kuambia mimi kulewa million tsh sio shida zangu ? Kwa siku??..?.๐คฃ๐คฃ๐คฃ
aaah yule jamaa anazamiaga kwny maji kama kambale, yule anaitwa James NyakiaNimesahau jina but anagawa pesa, now Tv nimestaafu,,,,,,anakuwepo change ten plus live j,pili,
Huwa naishiaga tu kucheka
Mashirimaa wewe ukinisachi kuna shida gani kwani?Ukija kulala jikoni, nitakusachi.