Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,221
- 18,292
HahahahaHaswaaa, 😂😂😂😂
HahahahaHaswaaa, 😂😂😂😂
Noumaaa!!Hahahaha
Yqan hyo mmama akasema kabisa et "" weee kobazi poor brain""Juzi nimekutana na mmama mmoja akaniambia njoo nikasogea
Unaonekna wewe ni kobaz cc Poor Brain nikamjibu ndiyo
Ooh mpokee Yesu, chukua kitabu ukasome uokoke mm namtazama tuu huyo kasepa
Nikasema duuh nikatambikie mizimu ya kwetu
Kwanza siamini uwepo wa Mungu wala miujiza wanayoclaim kwaiyo nipo immune na upuuzi wao ndo maana nashangaa watanzania wengi keep falling for these nonsense. Hata km unaamini Mungu c uamini na umsalie yeye kuliko hawa intermediarries. Wewe kama unaamini na una ushahidi wako unamujitaji mtu km Tony cjui nani wa nn??? Wote mnaoenda kwa hawa watu ndo wapuuzi. Yule jamaa na mapastor wengi ni wafanya biashara tuHello
Waumini wa huyu pastor wenu pitozi anaitwa PT.
Sijui Tony wa Kapola naombeni mjitathmini sana.
Sipo hapa kumsema Wala kupinga huduma yake
Ila kwanini muda mwingi wa mahubiri yake umekuwa ni wa majingambo kujisifu juu ya kumiliki magari hela na nyumba Kali.
Lakini akisahau waumini wake kwa asilimia kubwa ni Wanachuo wenye maisha magumu walipigika na maisha wameamua kusali kwake kupata faraja ila mwisho wameishia kuchambwa kuanzia mchungaji na mke wake.
Kiukweli kwenye biblia Mungu alituachia neno lake na inatupasa kuliamini.
Ila asitumie madhabahu kama sehemu ya mipasho na majigambo.
Mimi nimeomba Huyu Tony kapola ajifunze kwa wakina mwakasege.
Kama juzi amepaniki kwenye sakata lake la muujiza wa gas.
Wakati watu wengi wanajua yeye tapeli na motivation speaker aliyechangamka.
Kuna kanisa morogoro mkuyuni amelitelekeza.
Vijana wa kanisa lake anawafanyisha kazi bila malipo Wala posho.
Malaya wa kutupwa anatongoza sana waumini wake
Ila waumini wake wamekuwa kama mataira.
ona sasa mtu hadi anapokonywa UbingwaNdiyo alifirwa na wajeda 3, baada ya fumanizi na mke wa mjeda m1, jamaa akawaalika wenzie 2, wakamla kiboga mchungaji,
Week 2 yuko hospital Peramiho,
Sijui walitumia kilainishi au kavuu, Dooh.
Alikimbilia Arushaa, kakaa huko, karudi ndo yuko hapo shule ya tanga, maana mwanzoni alikua anafanyia Bomba mbili.ona sasa mtu hadi anapokonywa Ubingwa
😂😂Lakini akisahau waumini wake kwa asilimia kubwa ni Wanachuo wenye maisha magumu walipigika na maisha wameamua kusali kwake kupata faraja ila mwisho wameishia kuchambwa kuanzia mchungaji na mke wake.
Mgonjwa wa nini?tunaomfahamu ,..tunacheka tu ,...dogo kazi yake kuu ni utakatishaji pesa,....mgonjwa
Sadaka ni ihari yako acha hizo wewePeleka sadaka yako ni muhimu
Huyo anajiita nabii wa ajabu! James nyakia, a typical scammer!Nimesahau jina but anagawa pesa, now Tv nimestaafu,,,,,,anakuwepo change ten plus live j,pili,
Huwa naishiaga tu kucheka🤣
Pentecostal wanazingua sana mkuu 😂 😂 ety ananiita unaonekna kobazi kabisaYqan hyo mmama akasema kabisa et "" weee kobazi poor brain""
Hilo jina kobazi mi ntakuja kupigana na watu humu ndani
Anafanya upasuaji bila mikasi😁Huyo anajiita nabii wa ajabu! James nyakia, a typical scammer!
Uko sahihi ila watu wana haki ya kuwakosoa na kuwasema hao matapeli wa kiimani madam hawavunji sheria za nchiNchi ina maelfu ya wainjilisti, mfuatilie unayemwamini, wengine hawakuhusu, kuna maelfu ya Imani za watu, fuata yako, acha kupinga ya wenzako maadam hawavunji Sheria za nchi au haki zako
KETA ISYAKO
Kila Imani isio yako ni utapeliUko sahihi ila watu wana haki ya kuwakosoa na kuwasema hao matapeli wa kiimani madam hawavunji sheria za nchi