min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,897
- 128,974
Unaniuliza ukiwa kama nani?Alikutapeli nini Mwakasege?
Unaniuliza ukiwa kama nani?Alikutapeli nini Mwakasege?
Acha upoyoyo wako kawatishe wajingaWewe umechoka kula ugali,imeandikwa msiwaguse masiha wa Bwana,ukiambiwa useme utapeli wa Mwakasege utasema ulitapeliwa nini?gusa pengine usiguse watumishi wa Mungu wa kweli.
Hii nimeichukuaUkitaka kujua akili za mtu muulize anasali wapi...
Baby na ada alipieGod exist but religious is scam❌
God exists, but religion is a scam✅
Sasa ukasirike tena🤣
Sina ninakosali mie.Unasali wapi nije?
Mtajuana wenyewe huko, 😂😂😂😂Aliekwambia Mwakasege ana kanisa nani? Hebu nioneshe hilo kanisa lilipo😂😂😂
Wafuasi wake sasa, mko winja winja, 😂😂😂😂Mimi tangu 2002. Baba wa watu hajawahi kuwa na shida na mtu
Alishajua waumini wake pamoja na usomi wao ni manyumbuHello
Waumini wa huyu pastor wenu pitozi anaitwa PT.
Sijui Tony wa Kapola naombeni mjitathmini sana.
Sipo hapa kumsema Wala kupinga huduma yake
Ila kwanini muda mwingi wa mahubiri yake umekuwa ni wa majingambo kujisifu juu ya kumiliki magari hela na nyumba Kali.
Lakini akisahau waumini wake kwa asilimia kubwa ni Wanachuo wenye maisha magumu walipigika na maisha wameamua kusali kwake kupata faraja ila mwisho wameishia kuchambwa kuanzia mchungaji na mke wake.
Kiukweli kwenye biblia Mungu alituachia neno lake na inatupasa kuliamini.
Ila asitumie madhabahu kama sehemu ya mipasho na majigambo.
Mimi nimeomba Huyu Tony kapola ajifunze kwa wakina mwakasege.
Kama juzi amepaniki kwenye sakata lake la muujiza wa gas.
Wakati watu wengi wanajua yeye tapeli na motivation speaker aliyechangamka.
Kuna kanisa morogoro mkuyuni amelitelekeza.
Vijana wa kanisa lake anawafanyisha kazi bila malipo Wala posho.
Malaya wa kutupwa anatongoza sana waumini wake
Ila waumini wake wamekuwa kama mataira.
Mi Pia Mwakasege nimemfahamu kitambo sana. Hana kanisa na sijawahi ona utapeli wake. Ila kuna watu wanabwatuka tu kutaja hovyo majina y’a watumishi wa MunguKwenye drama zote hizo naweza kumtetea Mwakasege tu. Nimemfahamu over 20 years na Mwakasege Hana kanisa.
Kuna watumishi matapeli ni kweli na Kuna Kuna watumishi wa Ukweli na hiyo pia ni Ukweli. Kwenye kundi la watumishi wa Ukweli kwa hapa Tanzania Mwl Mwakasege ndo anaongozaMi Pia Mwakasege nimemfahamu kitambo sana. Hana kanisa na sijawahi ona utapeli wake. Ila kuna watu wanabwatuka tu kutaja hovyo majina y’a watumishi wa Mungu
Huyo DR HAYA LAND 30 JR kingereza kilimkataa zamaniGod exist but religious is scam❌
God exists, but religion is a scam✅
Sasa ukasirike tena🤣
Hakika upo sahihiHuyo DR HAYA LAND 30 JR kingereza kilimkataa zamani
Nawe kikataeHakika upo sahihi
Hakika 👍🏼Nawe kikatae
Movie inapatikana plat form ipi? Nimejaribu kuitafuta onstream sijaionaUkitaka kujua kuwa hawa manabii yale mafuta ni ya nguvu za giza, na yana uwezo wa kumfanya mtu yoyote kugeuka zuzu, itafute movie inayoitwa "The perfume" utajua nguvu ya giza iliyopo nyuma ya mafuta ya upako. Kifupi ni uchawi mtupu!! We itafute hiyo movie, utakuja kusema kweli.
Kwa Mwakasege nakataa hao wengine design ya Kapola ni matapeli.Mimi tangu 2002. Baba wa watu hajawahi kuwa na shida na mtu
Uko sahihi kbs mkuuKwa Mwakasege nakataa hao wengine design ya Kapola ni matapeli.