Budelele Jr
Senior Member
- Jul 19, 2018
- 146
- 99
😂😂😂😂😂Ukiachwa na demu anayejua kiinglish inauma sana maana kila ukiona daily news au the gurdian mawazo yanarudi upyaaaaa.. MOVE ON
😂😂😂😂😂Ukiachwa na demu anayejua kiinglish inauma sana maana kila ukiona daily news au the gurdian mawazo yanarudi upyaaaaa.. MOVE ON
Dah usiombe uachwe na dem anaejua english inauma sana.mpaka nimetoa machozi kuona hzo text nimekumbk mbali mnomkuu pole sana achana nae tafuta pesa .
Ila maneno ya hiyo dem kam unampenda hutoysahau
Ngj nimalize kulia nitarudi
nimecheka kiinglish na mimiUnageuka wasio julikana Mzee Baba.Ww kama mm. Huwa sijibu hata sms. Na kuanzia hapo hatanisikia, kuniona, wala kujua niko wapi for the rest of remaining life.
And controversial as well.The myth is... madem katika ujana wao. Huwa hawataki nice guys, hata kama wanapesa huwa wanawatema.
Then ikifika umri wa kuolewa wanawataka nice guys kwa ajili ya ndoa.
Women are so confusing.
Kapata mwenye hela zaidiInauma saana wakuu, huyu mwanamke nilimuamini saana. Ilifikia kipindi nilimpatia kiasi changu cha ziada cha pesa ninacho pata anisevie... Kama umesoma vizuri hyo screenshot amesema atatuma with no time.. Hapo sijamuelewa kabisa
Mkuu Son of Gamba nashkuru saana Kwa ushauri wako Murua .Ntaufanyia kazii.Ubarikiwee.....hujanikosea but mm ndio nakukosea wewe.....Am truly sorry, I don't deserve you.. Please move on without me...
Mkuu BILGERT ukiona maneno kama hayo amekutumia mwanamke basi fahamu wazi kabisa kuwa tayari amepata mwanaume mwingine na kipindi chote mlipokuwa pamoja alikuwa anaku-cheat. Sasa kuna ahadi atakuwa amepewa kutoka kwa huyo "mume mwenzio" ndiyo maana ameamua kuuvunja uhusiano wenu ili yeye aendelee kwa uhuru zaidi na huyo jamaa yake.
Ushauri wangu kwako ni huu, kwanza usimjibu kitu chochote kile, wewe kaa kimya kama utaweza kuvumilia lakini. Pili usijaribu kuanza kufanya Zinaa hovyo hovyo ili kuondoa mawazo, tayari umeshaumizwa hisia zako na ZINAA, sasa ukiendelea kufanya zinaa utaumia zaidi.
Nasema zinaa sababu huyo "mwanamke" hakuwa mkeo wa ndoa, mlikuwa mnafanya uasherati tu, hivyo hayo maumivi unayopata sasa hivi ni matokeo ya Uasherati wenu. Mwache yeye aendelee na Uasherati wake, ikiwezekana wewe tulia kisha jipange upya kupata "Mke wa ndoa" na siyo "mwasherati" kama huyo aliyekuacha.
Deo mambo? Umeamua kuja humu kuomba ushauri?
Ur not a real man my dia
Nae wako alikuwa ametumia kiingereza mororo kama huyo wa mleta uzi??Dah nimekumbuk mbl nami niliwah ambiw hvy ckumjb kit ad leo ni miak ixhapt
Then 'move on'...... Heri kungekuwa rahisi kama kulitamka!Mjibu hivi;-
"Ahsante bibie, but samahani unaweza kunitumia picha yako ili niweze kujua ni Dear yupi huyo?".
Then move on kama alivyokwambia.
Pole sana mkuu.
umejibu Brilliantly!!!ushauri mwingi humu ni move on!
ukweli halisi unaujua wewe mwenyewe!
Kama unapenda kweli basi tafuta nini tatizo....pengine kanuna .....au anakujaribu ...anataka kupima unamjal au kumuhitaji kiasi
gani!
mapenzi yana tambo nyingi....
Pole sana kijana,tatizo nini?Inauma saana wakuu, huyu mwanamke nilimuamini saana. Ilifikia kipindi nilimpatia kiasi changu cha ziada cha pesa ninacho pata anisevie... Kama umesoma vizuri hyo screenshot amesema atatuma with no time.. Hapo sijamuelewa kabisa
ok, tusiite hongo tuiite TATU MZUKA!!Acheni ushauri wa kimaskini, hela alimpa atunze, so inatakiwa kurudishwa bila hata kupunguza shilingi.
Siyo hongo ile.