Huyu mwanamke nimjibuje?

Huyu mwanamke nimjibuje?

DEO pole sana ndugu yangu usimjibu chochote maana ameshafanta maamuzi.

USHAULI
kama ulimpenda sana huyu demu nakuomba usiwe unaangalia movie za kizungu kwa muda maana utashindwa kumove on.. utakuwa unamkumbuka huyo demu....
 
Umeachwa WhatsApp noma sanaaa bola ungeachwa kwa txt za kawaida damn dude angalia tu usije ukatumia vile vi emoji vya kulia , then futa namba yake fanya Mambo yako tena ili kupunguza stress kua na videm vingi kwa sasa fumua mpaka brain yako itakapo kaa sawa
 
Nlivo-analyse texts za demu, inaonekana ww mtoa mada ni nice guy, na ulikuwa unampenda demu, kuliko demu anavokupenda ww, kwahiyo sasa hivi labda demu kapata mwanaume mwingine ambae anamwona ni bora kuliko ww (Alpha male) in terms of looks or money... Sorry bro BILGERT
The myth is... madem katika ujana wao. Huwa hawataki nice guys, hata kama wanapesa huwa wanawatema.
Then ikifika umri wa kuolewa wanawataka nice guys kwa ajili ya ndoa.

Women are so confusing.
 
Mkuu hongera kw kumilik demu wa kizungu sema nin we potezea 2 ucjb kit subr tigo pesa isipokuja nayo endlea na maixh 2
Videmu vya sekondari ndio vilivyo. Hapo kameshapata babu wa kukapa midako ya shopping na butters huku kikipewa maagizo kimtose jamaa upesi mno, hataki kuona mwamba anasumbua na simu zake za story kila saa wakiwa pamoja.
 
Mku huyo demu kakuacha kizungu... Wazungu hawana neno ukitaka mzigo unamuomba anakupa wakati ukiendelea kumsaka demu wa kiafrica
 
Pole sana kaka, Muombe Mungu atakusaidia. Nakumbuka ex wangu nilimchangia hela ya registration chuo aliposajiliwa akanambia it is over
Hahah kumaninx walai, hilo lilikuwa pigo haswaa.Pole mkuu!
 
Nikweli , lkn bila shaka mwanzo walikua naraha......sasa nn kimebadilika?? Kama mwanaume nilazima uchukue jukumu la kutafuta shida ipo wapi.

There must be something wrong!! Tatizo siku izi mnawaacha waishi wanavyotaka.

Mind you mwanamke nikiumbe anayetakiwa kukumbushwa na kufundishwa kila leo ,!!!
Si mpaka umpate muelewa, mwanamke mjinga atakwambia unaongea sana...una gubu au unalalamika sana. Ilihali anafanya upuuzi ule ule uliomkataza juzi!
 
Mshukuru kwa muda aliokupa, muombe radhi kwa mabaya ulomtendea kipindi mpo pamoja, mshukuru kwa mazuri alokutendea, muache aende.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] sa hii huwa simwamini mwanamke asee...lile darasa nimelifuzu vizuri.. lilikuwa ni funzo
ikiwa una nia njema naye huna budi kumwamini, isipokuwa kunahitaji akili ya ziada kuishi nao.
hawa viumbe wakipenda, wamependa lkn wakigeuka nao hawatakuacha salama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom