Huyu mwanamke nimjibuje?

Huyu mwanamke nimjibuje?

Dah usiombe uachwe na dem anaejua english inauma sana.mpaka nimetoa machozi kuona hzo text nimekumbk mbali mno mkuu pole sana achana nae tafuta pesa .
Ila maneno ya hiyo dem kam unampenda hutoysahau
Ngj nimalize kulia nitarudi
Hahah noma mdau anapitia kipindi kigum sana.

But mimi,hiyo text ya pili ningemwambia tu "usichelewe kutuma hizo hela zangu maana nna kazi nazo" full stop,maana ni ujinga ameshanipa za uso kisha nianze tena kujikomba komba kwake.
 
Dah usiombe uachwe na dem anaejua english inauma sana.mpaka nimetoa machozi kuona hzo text nimekumbk mbali mno mkuu pole sana achana nae tafuta pesa .
Ila maneno ya hiyo dem kam unampenda hutoysahau
Ngj nimalize kulia nitarudi

Machozi tena Mkuu Mobutu?
 
Moja kwa moja niende kwenye mada,

Kipenzi changu alianza kubadilika ghafla yapata wiki moja iliyopita. Tumekuwa kwenye sintofahamu. Sikuelewa mwenzangu alipatwa na nini, SMS hajibu kwa wakati na pia kila nikimuuliza alikuwa anajibu jeuri, sikuelewa amepatwa na nini.

Niliamua kuwa mvumilivu ili nione labda atabadilika. Ila nimeshangaa kanitumia SMS usiku huu, kama screenshot inayvoonekana hapo chini.

Hii ina maana gani? Nimjibu au nimpotezee?

Ushauri wenu tafadhari, maana nahisi tumbo Joto.

View attachment 836200

Mkuu!
If people can walk away from you... let them walk... let them go man!
Your destiny is not tied to her! Thats why anaondoka ... Let her walk away in peace.
 
usijaribu kujibu hiyo msg, nakuhakikishia baada ya siku mbili au tatu atakutafuta. Ukijibu na kuanza kulia lia hiyo ndio furaha yake.

hata akikutafuta usijibu labda akutafute kama mara 10 hivi ndio umjibu napo kwa malingo sana.

Kuna jamaa aliachwa na mwanamke na akaondoka kabisa nyumbani kwake.

Jamaa baada ya kuona kaondoka, akaenda kariakoo akanunua nguo za kike kama gauni, pichu, etc.

basi kila siku akawa anafua zile nguo na kuzianika nje,

kumbe yule mwanamke alikua anapita kuchungulia kama jamaa kapata mwanamke mwingine.

Basi kila akipita anakuta nguo zimeanikwa, siku ya kwanza akajikaza, ya pili , ya tatu baada ya wiki yule mwanamke uvumilivu ukamshinda ikabidi amtolee uvivu yule mwanaume. akawahi asubuhi sana akamkuta jamaa yule nje, akaanza kuwaka " unadhani naliogope hilo limwanamke lako bonge" jamaa akawa anacheka tuu..

sometimes wanawake wanafanya mambo kutujaribu na furaha yao ni kuona tunateseka kiasi gani kutokana na maamuzi yao, ila katika mambo ambayo huwaumiza wanawake ni kuona yule aliye mwacha anaendea vizuri na hata shida kabisa na amependwa na mwanamke mwingine.

Endelea na maisha yako bro, atakutafuta.
 
I feel u man but only JESUS can heal You take time ni yamuda mfupi
Futa hizo txt na picha na kila kilicho chake ondoa ni mwanzo wako mpya i pray for u man!
 
usijaribu kujibu hiyo msg, nakuhakikishia baada ya siku mbili au tatu atakutafuta. Ukijibu na kuanza kulia lia hiyo ndio furaha yake.

hata akikutafuta usijibu labda akutafute kama mara 10 hivi ndio umjibu napo kwa malingo sana.

Kuna jamaa aliachwa na mwanamke na akaondoka kabisa nyumbani kwake.

Jamaa baada ya kuona kaondoka, akaenda kariakoo akanunua nguo za kike kama gauni, pichu, etc.

basi kila siku akawa anafua zile nguo na kuzianika nje,

kumbe yule mwanamke alikua anapita kuchungulia kama jamaa kapata mwanamke mwingine.

Basi kila akipita anakuta nguo zimeanikwa, siku ya kwanza akajikaza, ya pili , ya tatu baada ya wiki yule mwanamke uvumilivu ukamshinda ikabidi amtolee uvivu yule mwanaume. akawahi asubuhi sana akamkuta jamaa yule nje, akaanza kuwaka " unadhani naliogope hilo limwanamke lako bonge" jamaa akawa anacheka tuu..

sometimes wanawake wanafanya mambo kutujaribu na furaha yao ni kuona tunateseka kiasi gani kutokana na maamuzi yao, ila katika mambo ambayo huwaumiza wanawake ni kuona yule aliye mwacha anaendea vizuri na hata shida kabisa na amependwa na mwanamke mwingine.

Endelea na maisha yako bro, atakutafuta.
shukrani saana Kwa ushauri wako mkuu.
 
I feel u man but only JESUS can heal You take time ni yamuda mfupi
Futa hizo txt na picha na kila kilicho chake ondoa ni mwanzo wako mpya i pray for u man!
Ahsante saana mkuu. Ubarikiwe
 
Dah usiombe uachwe na dem anaejua english inauma sana.mpaka nimetoa machozi kuona hzo text nimekumbk mbali mno mkuu pole sana achana nae tafuta pesa .
Ila maneno ya hiyo dem kam unampenda hutoysahau
Ngj nimalize kulia nitarudi
😛🙂😀U MADE MY DAY
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom