afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,728
unalialia na hiyo sms tu unataka na ushauri kweli duh..udhaifu huu
Du likes za kufa mtu ndo first time naona mtu anagonga likes za kutoshaDah usiombe uachwe na dem anaejua english inauma sana.mpaka nimetoa machozi kuona hzo text nimekumbk mbali mnomkuu pole sana achana nae tafuta pesa .
Ila maneno ya hiyo dem kam unampenda hutoysahau
Ngj nimalize kulia nitarudi
aisee!Mkuu unatakiwa kuwa Mtu wa kisasi kurudisha hadhi ya kiume tafuta either dada yake au mama yake mega kwa sauti hadi ajue kuhusu kumjibu sms achana nae fanya vitendo
aisee!
watu hamna huruma kabisa
Ungemsikiliza Jose..labda yasingetokea hayaMoja kwa moja niende kwenye mada,
Kipenzi changu alianza kubadilika ghafla yapata wiki moja iliyopita. Tumekuwa kwenye sintofahamu. Sikuelewa mwenzangu alipatwa na nini, SMS hajibu kwa wakati na pia kila nikimuuliza alikuwa anajibu jeuri, sikuelewa amepatwa na nini.
Niliamua kuwa mvumilivu ili nione labda atabadilika. Ila nimeshangaa kanitumia SMS usiku huu, kama screenshot inayvoonekana hapo chini.
Hii ina maana gani? Nimjibu au nimpotezee?
Ushauri wenu tafadhari, maana nahisi tumbo Joto.