BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,532
- 11,028
- Thread starter
- #81
Shukrani saana kwa ushauri wako mkuu.Mpaka sasa WANAUME wote wamekushauri jambo moja tu la kukaa Kimya basi,na Kifupi unapaswa umshukuru Sana Mungu wako kwa kukuonyesha hili mapema,kwa maelezo yako ya hadi kumuachia pesa akutunzie inaonyesha una malengo nae ya kufika mbali kitu ambacho kingekuja kukuCost Kama sio Kulia na kusaga meno hivyo Shukuru hili limetokea mapema