Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,737
- 18,922
Dem atakua ni mkenya pia itakua anagawa mbunye njeDeo uyo dem mzungu
Dem atakua ni mkenya pia itakua anagawa mbunye njeDeo uyo dem mzungu
KabisaHela uliyomhonga ni tofauti na uliyompa akutunzie.
Hiyo ya kukutunzia ni halali yako kuidai, mtumie sms kuulizia hela, mwambie hujaiona.
Sio biashara mkuu, kuna kiasi nilimpa akisave. Sio kikubwa saana, ni around 1Mmuulize pesa unatuma saa ngapi?.....sorry kuna biashara mlikuwa mnafanya pamoja? coz that bitch said atakurudishia!!!
Punyeto raha sana........huhongi,,,,huachwi.....no kalenda......popote ulipo ipo....
achana nayo.....worth nothing.......vipi fomu za chaputa nikutumie?Sio biashara mkuu, kuna kiasi nilimpa akisave. Sio kikubwa saana, ni around 1M
Mjibu hivi;-
"Ahsante bibie, but samahani unaweza kunitumia picha yako ili niweze kujua ni Dear yupi huyo?".
Then move on kama alivyokwambia.
Pole sana mkuu.



AhahhahahahhahahhHahahhahHhHH ahahahhahahahhaha Nimecheka kama mazuri!!Dah usiombe uachwe na dem anaejua english inauma sana.mpaka nimetoa machozi kuona hzo text nimekumbk mbali mnomkuu pole sana achana nae tafuta pesa .
Ila maneno ya hiyo dem kam unampenda hutoysahau
Ngj nimalize kulia nitarudi
Anataka akutumie hela ya nini? Ikatae hiyo hela, huo ndio UANAUME
Huna sababau ya kumjibu, sms imejitosheleza so wewe piga kimya endelea na maisha yako.Ingawa kama ulimpenda sio rahisi kumsahau haraka ila utamsahau tu na nina uhakika kama hujamkosea chochote cha kumfanya aondoke basi atarudi tu na atakaporudi ni wewe sasa kuamua kuendelea nae au kumpotezea mazima.Siku hizi watoto wa kike wamekua na tamaa sana na mwisho wa siku huangukia pua sababu ya tamaa zao.Ila hata akijirudisha huyo sio mtu sahihi kwako mana ataweza kukuletea hata magonjwa.Moja kwa moja niende kwenye mada,
Kipenzi changu alianza kubadilika ghafla yapata wiki moja iliyopita. Tumekuwa kwenye sintofahamu. Sikuelewa mwenzangu alipatwa na nini, SMS hajibu kwa wakati na pia kila nikimuuliza alikuwa anajibu jeuri, sikuelewa amepatwa na nini.
Niliamua kuwa mvumilivu ili nione labda atabadilika. Ila nimeshangaa kanitumia SMS usiku huu, kama screenshot inayvoonekana hapo chini.
Hii ina maana gani? Nimjibu au nimpotezee?
Ushauri wenu tafadhari, maana nahisi tumbo Joto.
View attachment 836200
The message itself explains each and every thing,just be silence,do not answer anything,somehow it SHALL teach her that in love there is disturbances that you need to endure for the betterment of the two sides.And so far this will help YOU to reduce or eliminate stress and fear on love.Be blessed.Moja kwa moja niende kwenye mada,
Kipenzi changu alianza kubadilika ghafla yapata wiki moja iliyopita. Tumekuwa kwenye sintofahamu. Sikuelewa mwenzangu alipatwa na nini, SMS hajibu kwa wakati na pia kila nikimuuliza alikuwa anajibu jeuri, sikuelewa amepatwa na nini.
Niliamua kuwa mvumilivu ili nione labda atabadilika. Ila nimeshangaa kanitumia SMS usiku huu, kama screenshot inayvoonekana hapo chini.
Hii ina maana gani? Nimjibu au nimpotezee?
Ushauri wenu tafadhari, maana nahisi tumbo Joto.
View attachment 836200