Huyu mwanamke nimjibuje?

Huyu mwanamke nimjibuje?

Sio biashara mkuu, kuna kiasi nilimpa akisave. Sio kikubwa saana, ni around 1M
we unampaje kahhaba pesa akutunzie ulishindwa nn kuweka hata kwenye M-PAWA?au benki za ovyo ovyo kama posta au fnd ambazo utaratibu wa kutoa hela unasumbua hivyo pesa zako zingekuwa safe
 
Pole sana mkuu najua huenda maumivu uliyoyapata bado hayajaisha ila kuwa na moyo mkuu yatapita na utazoea na utapata mwingine zaidi yake najua ulimpenda sn lkn huwenda ameona hawezi kujenga future na ww pengine kwa sababu amepata ambaye ana kipato kikubwa au umekuwa na wivu sn wakati pengine hutoshelezi mahitaji yake usifwatilie sn kwanini amekuacha kwasababu utaumia zaidi najua ulimpa mda wako mwingi lkn ni wakati mzuri sasa wa ww kuutumia mda wako mwingi kuboresha maisha yako, ukipata hela isiyo ya mawazo utawakimbia vumilia kiume.
 
Imenikumbusha miaka ya nyuma nikiwa na mchumba ambaye nimeshamtambulisha home.

Ghafla akakata mawasiliano. Ukituma msg hajibu, ukipiga simu hapokei.
Akipokea anakujibu "ntakupigia baadaye".
Ndio basi tena.

Siku moja nikapata msg " am sorry dear, just move on. Nimeamua kuolewa na mwanaume mwingine! Samahani kwa kutokutaarifu mapema"

Nilitamani dunia iishie pale tuhukumiwe tu.!!
Hawa wanawake we ukipata nafasi watumie effectively, wala hata sio wa kuwafikiria vile tunafikiri
 
Imenikumbusha miaka ya nyuma nikiwa na mchumba ambaye nimeshamtambulisha home.

Ghafla akakata mawasiliano. Ukituma msg hajibu, ukipiga simu hapokei.
Akipokea anakujibu "ntakupigia baadaye".
Ndio basi tena.

Siku moja nikapata msg " am sorry dear, just move on. Nimeamua kuolewa na mwanaume mwingine! Samahani kwa kutokutaarifu mapema"

Nilitamani dunia iishie pale tuhukumiwe tu.!!
Hawa wanawake we ukipata nafasi watumie effectively, wala hata sio wa kuwafikiria vile tunafikiri
,vipi wazazi uliwaambiaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom