Huyu mwanamke nimjibuje?

Huyu mwanamke nimjibuje?

Hahaaaa!!! Mi ningekamata ningetandika vibao
Mkuu sikutaka kupambana na mwanamke.
Alikuwa Mwanza Mimi Dar.

Ilinichukua muda kukaa sawa lakini nilikuja kuwa sawa tu..

Unfortunate siku moja nikiwa maeneo ya kazi mzee wake akawa na shida na mtoa huduma ndio mimi.
Nilimhudumia vizuri mzee wa watu.
Alivyokuja kujua alinitafuta, akaniomba samahani na kunishukuru.
Mpaka leo naamini ni ndugu zako tu ndio mnaweza kuwa pamoja.
Hawa wanawake ni unfortunate tu ilitokea tukubali kuishi na strangers kwa kweli
 
Mkuu sikutaka kupambana na mwanamke.
Alikuwa Mwanza Mimi Dar.

Ilinichukua muda kukaa sawa lakini nilikuja kuwa sawa tu..

Unfortunate siku moja nikiwa maeneo ya kazi mzee wake akawa na shida na mtoa huduma ndio mimi.
Nilimhudumia vizuri mzee wa watu.
Alivyokuja kujua alinitafuta, akaniomba samahani na kunishukuru.
Mpaka leo naamini ni ndugu zako tu ndio mnaweza kuwa pamoja.
Hawa wanawake ni unfortunate tu ilitokea tukubali kuishi na strangers kwa kweli
Hahaa ,mbaya zaidi ulimtambulisha kabisa
 
Moja kwa moja niende kwenye mada,

Kipenzi changu alianza kubadilika ghafla yapata wiki moja iliyopita. Tumekuwa kwenye sintofahamu. Sikuelewa mwenzangu alipatwa na nini, SMS hajibu kwa wakati na pia kila nikimuuliza alikuwa anajibu jeuri, sikuelewa amepatwa na nini.

Niliamua kuwa mvumilivu ili nione labda atabadilika. Ila nimeshangaa kanitumia SMS usiku huu, kama screenshot inayvoonekana hapo chini.

Hii ina maana gani? Nimjibu au nimpotezee?

Ushauri wenu tafadhari, maana nahisi tumbo Joto.

View attachment 836200

Pole mkuu, she isn’t on ur side anymore! Let it go
 
Dah usiombe uachwe na dem anaejua english inauma sana.mpaka nimetoa machozi kuona hzo text nimekumbk mbali mno mkuu pole sana achana nae tafuta pesa .
Ila maneno ya hiyo dem kam unampenda hutoysahau
Ngj nimalize kulia nitarudi
Mwanaume unatoa machozi kisa mwanamke?
 
Hahaa ,mbaya zaidi ulimtambulisha kabisa
Kwanza pole,Maneno yake yako wazi brother she dont need you anymore,shukuru amekwambia ukweli anajiona hakufai lakini iangalie tafsiri ya picha shortly ni mtu alieamua kuwa na mtu mwingine thus is about the picture kama unaelewa lugha rahisi aliyotumia kwenye picha aliyoished.
Subiri akutumie kama kweli atafanya hivyo hiyo pesa aliyokuahidi as long hujamuomba akurudishie na kama asipofanya hivyo do'nt bother then move on brother maisha lazima yaendelee.
 
Ila cha kumjibu ili ajue umekubaliana nae mjibu either thank you, or OK... Half achana nae, usimblock popote, ila namba yake futa. Wanawake wapo wengi sana na amini yupo bora zaidi yake ila kikubwa refresh your mind na usianzshe mahusiano mengine. Ht akijirudi usimsamehe, huwa naogopa sana wanawake wanaokuacha hujawafanya kitu, huenda ana MTU nje ndo maana anakukosea Mara kwa Mara. Na kingine usimwamini mwanamke hvyo mpk kumpa akutunzie pesa. Mwamini u're mom only. AKILI ZA WANAWAKE WANAZIJUA WENYEWE, nshatendwa na wanawake hivyo, ila kwa badae walinitafuta, na MTU mwngne nnae huwa naishia kuwachezea tu


Kutomsamehe sawa, ila sio kukataa kumla akirudi.
 
Moja kwa moja niende kwenye mada,

Kipenzi changu alianza kubadilika ghafla yapata wiki moja iliyopita. Tumekuwa kwenye sintofahamu. Sikuelewa mwenzangu alipatwa na nini, SMS hajibu kwa wakati na pia kila nikimuuliza alikuwa anajibu jeuri, sikuelewa amepatwa na nini.

Niliamua kuwa mvumilivu ili nione labda atabadilika. Ila nimeshangaa kanitumia SMS usiku huu, kama screenshot inayvoonekana hapo chini.

Hii ina maana gani? Nimjibu au nimpotezee?

Ushauri wenu tafadhari, maana nahisi tumbo Joto.

View attachment 836200
Aise una bahati sana .huyo Dada pia muungwana sana .amekuambia ukweli mapema tofauti na wengine angekutesa tu .mwelewe tafadhali
 
Hivi mpaka mwanamke anapata wazo, anapanga na kupata ujasiri wa kukuacha wewe upo tu hata usimwahi ukammwaga wewe. Kinachouma ni kuachwa.

Wewe wa kiume una kura ya veto kulivunja bunge kabla halijakupigia kura ya kutokuwa na imani na wewe.
Next time be sharp and the first one to press the break button.
 
Hivi mpaka mwanamke anapata wazo, anapanga na kupata ujasiri wa kukuacha wewe upo tu hata usimwahi ukammwaga wewe. Kinachouma ni kuachwa.

Wewe wa kiume una kura ya veto kulivunja bunge kabla halijakupigia kura ya kutokuwa na imani na wewe.
Next time be sharp and the first one to press the break button.
Nimekusoma mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom