Huyu mwanamke nimjibuje?

Huyu mwanamke nimjibuje?

Mbona amemaliza kila kitu wataka kujibu nini sasa?! Au unataka we ndio umuache?!
 
Inauma saana mkuu, Haya mambo yasikie tu
Kuna mtu kashauri uitumie SMS kama ushahidi wa yeye kuwa na pesa yako.

Hizi huruma kwenye mapenzi ifikie sehemu tuachane nazo, hela irudi.

Unapigwa chini, hela yako wanaitanua na mwanaume mwingine eti unasema Mungu atalipa, achana na hizo mambo.

Mtumie SMS kumuuliza hela anatuma saa ngapi?
 
Mkuu jiongeze tuu ndgu . Wewe pambana na maisha atatokea mwingine tuu. Na usiwe na wasiwasi Mungu atafungua njia. (we mwambie tuu ASANTE kwani amekuwa mkweli )
 
Use the tricks to gather evidence.

Yeye alisema ataituma in no time, mpaka masaa 12vyanapita na hajaituma ujue hana nia tena.

Ndo maana anakuja na vitisho vya "you are asking too much".

Cha kukushauri, usiandike amount kwenye hizo convo zenu, nenda naye hivyo hivyo.
 
Use the tricks to gather evidence.

Yeye alisema ataituma in no time, mpaka masaa 12vyanapita na hajaituma ujue hana nia tena.

Ndo maana anakuja na vitisho vya "you are asking too much".

Cha kukushauri, usiandike amount kwenye hizo convo zenu, nenda naye hivyo hivyo.
Shukrani saana mkuu, huyu binti nilimuamini saana. Kuliko hata ma ex zangu... But anyway hatujui siku wala saa
 
Aisee chalii angu kumbe ni mwalimu move on haraka sana ht huna haja ya kujibu ipo cku muda utaongea kapata mwingine huyo na inaonekana ana tamaa
Nashkuru Kwa ushauri wako mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom