KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,213
- 33,241
Sasa kama muda wa kazi umekwisha na huna dharula yoyote ya kikazi kwanini usipaki gari la serikali.......kuna ugumu gani kulielewa hili......??
Hebu jenga kama ni gari lako....baadae ya muda wa kazi kuisha utamuachia tu dereva azurure nalo tu bila kuwa na sababu za msingi.......mimi sioni haja ya malalamiko ukizingatia hayo magari ndio yanayokamatwa kwenye mambo haramu
Hebu jenga kama ni gari lako....baadae ya muda wa kazi kuisha utamuachia tu dereva azurure nalo tu bila kuwa na sababu za msingi.......mimi sioni haja ya malalamiko ukizingatia hayo magari ndio yanayokamatwa kwenye mambo haramu