Hizo pesa mlizotumia kuna na kufanya mikutano ingeweza kusaidia wananchi, Sasa mikutano ya kisiasa wakati watu hawana semu za kulala.
Badala ya kuona mahema, vyakula tunaona watu wamependeza wanakuja na magari ya VX , mashati ya vijani watu wa kawaida wanajali maisha yao ya kila kitu badala ya kulazimisha siasa kwenye mambo kama haya.
Jeshi kuu liko Mondoli tu lakini jeshi hatuoni linafanya nini hasa badala media imekalia siasa tele. Aibu kubwa sana kwa Raisi Samia na viongozi wako wa kisiasa.
View: https://www.youtube.com/live/xrxEdRgzROs?si=uSqanhbdrEJD0BdN
Badala ya kuona mahema, vyakula tunaona watu wamependeza wanakuja na magari ya VX , mashati ya vijani watu wa kawaida wanajali maisha yao ya kila kitu badala ya kulazimisha siasa kwenye mambo kama haya.
Jeshi kuu liko Mondoli tu lakini jeshi hatuoni linafanya nini hasa badala media imekalia siasa tele. Aibu kubwa sana kwa Raisi Samia na viongozi wako wa kisiasa.
View: https://www.youtube.com/live/xrxEdRgzROs?si=uSqanhbdrEJD0BdN