Huu upweke huu

Huu upweke huu

Awae, haika san! Wandu wose wangekuwa kama wewe ama hakika mentor ningekuwa nakaribia sana kuingia chamani...nimeanza kupatamani sasa!



Swadakta, nitafute ujue vyote, na zaidi!!!

( Mr Rocky, jifanye hujaona hapa)

Hapo juu sijaona kabisa Mentor nimevaa miwani ya mbao
Aise lutafutane mambo yakiwa mazuri aise hiyo ni ahadi Mentor na usiache kuniambia bana
 
Last edited by a moderator:
Hilo ni tatizo kubwa sana na wanaposoma kwenye magazeti ya udaku mke wa fulani kafumaniwa au mume wa fulani kakamatwa kwenye nyumba ndogo na wakija kwenye mitandao ni malalamiko tuu ya ndoa imekuwa hivi na ndoa imekuwa vile hakuna story hata moja ya kuisifu ndoa lazima wakate tamaa na waone ndoa zote ziko hivyo. Kumbe hakuna kuna maisha ya ndoa ambayo ni raha na yana furaha baina ya wanandoa wawili na familia zao
Hakuna atakayeoa mtu ambaye ni kama malaika hana mapungufu ila mkishaingia kwenye ndoa hayo mapungufu yenu mnayaweka pembeni au mnayabeba kwa pamoja na kusaidiana kuyafunika yasionekane ndio maana ya upendo ila kila siku ukichukulia mwenzako ni mbaya au ana mapungufu haya na haya ni lazima utaishia kutompenda na utawaona hao wa nje ndo wazuri kumbe wale nao wanatafuta sana hiyo hiyo nafasi wakukamate na wakufaidi. Mungu akiwepo kati yenu hakuna litakaloshindikana
Ni kweli kabisa haya uliyoandika manake upendo wa kweli hufunika yote hasa mapungufu yetu kama vitabu vya dini vinavyozungumza juu ya upendo Yaani upendo haujivuni , hautafuti mambo yake na palipo na pendo kuna kuheshimiana, kujaliana bahati mbaya wengi hawaamini kama upendo wa kweli bado unaexist. Jambo la msingi ni kumwendea muumba na kumweleza haja ya moyo wako.

cc Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Kibichwa changu kama chako...ebu msaidie Eiyer na upweke wake.....au you are both in one chain
kibichwa??? kipi hicho?
siwezi kuwa wa msaada kwake labda nimpeleke hapa
bia.jpg bia2.jpg
 
Awae, haika san! Wandu wose wangekuwa kama wewe ama hakika mentor ningekuwa nakaribia sana kuingia chamani...nimeanza kupatamani sasa!



Swadakta, nitafute ujue vyote, na zaidi!!!

( Mr Rocky, jifanye hujaona hapa)

Huwezi nijuza hapa hapa jukwaani? Mpaka tutafutane? Basi huo mzigo si mchezo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sio swali la kichokozi hilo
Sasa huenda anaenivutia ana mtu tayari,what can i do??
Wanaume tutaendelea kuvutiwa cna na wanawake mbali2 iwe umeoa au la, mwanamke huyo awe ameolewa au la, swala ni kuwa 'how do you handle that atraction from super sexiest women??' So just find yours n control your emotions.
 
Back
Top Bottom