Huu upweke huu

Huu upweke huu

Usimpe shetani utukufu. njoo nikufanyie maombi. Natangulia kwenye inbox ya PM. usichelewe tafazali.

lol... sikujua hilo, kumbe na wewe baba paroko utaweza maombi yangu lakini? mana me napenda maombi ya wawili tu halafu iwe usiku
 
Hivi mwanaume anaweza kuwa mpweke?
R.I.P Me 🙁
 
lol... sikujua hilo, kumbe na wewe baba paroko utaweza maombi yangu lakini? mana me napenda maombi ya wawili tu halafu iwe usiku

Usidhani kila kinachoota shambani ni mahindi
Shauri yako ......!!!!!!!!!!
 
Usijali mkuu ngoja niangalie kama nitapata wa kinitolea huu upweke ....!!!!

tatizo lako Eiyer unahold negative attitude against women na una msimamo mkali dhidi ya masuala ya ndoa iko siku utauona ukweli kwenye mwanga mweupe mkuuna utapata wa kukuondolea upweke
 
Last edited by a moderator:
bado tu? Na stress remover (jinsia kinzani) wote waliopo jf na duniani?
 
tatizo lako Eiyer unahold negative attitude against women na una msimamo mkali dhidi ya masuala ya ndoa iko siku utauona ukweli kwenye mwanga mweupe mkuuna utapata wa kukuondolea upweke

Mkuu haya makitu inatakiwa uwe na msimamo kama wa Ghadafi
Hebu ngoja huenda nikampata mmoja...!!!!!!!!!!!!!!
 
bado tu? Na stress remover (jinsia kinzani) wote waliopo jf na duniani?

Nashangaa siwaoni aiseeeee ...!!!!!!!!!!
Ngoja nikachinje ka kondoo labda !!!!!!!!
 
Mkuu haya makitu inatakiwa uwe na msimamo kama wa Ghadafi
Hebu ngoja huenda nikampata mmoja...!!!!!!!!!!!!!!

Eiyer simba ni mkali sana akiwa porini na kwenye himaya yake na hata simba ambaye sio wa kundi lao akiingia kwenye himaya yake wanapambana nae hata kumuua
Simba jike ni mkali ila linapokuja swala la kuwa anahitaji kwenza wa kuwa nae ukali wote unawekwa pembeni na anakuwa mpole na kukukubali simba dume
Ukali wote wa kiume sometime inabidi uwe pembeni then unamkubali kiumbe wa jinsia ya kike kukuondolea upweke na usipokuwa down to earth na ukaendelea na ukali wako wa kiGadaffi mkuu upweke utakukaa sana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom