Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Nabii ODM nahitaji maombezi hali yangu si shwari....
Jiandae kwa maombi binafsi. Nikukute without tafazali.
Nabii ODM nahitaji maombezi hali yangu si shwari....
ha ha ha..... asante mtume na nabii nitafanya hivyo mana si unajua hizi ni nyakati za mwisho basi waumini tunatafuta kwenye miujiza zaidi na uponyaji
shukuru siku hizi umbea nimeacha taarifa ingekua imefika saa nyingi sana
Angelicious, mambo!??
Mama Kijacho cant wait see you
Ina maana ushamsainisha?
Sasa kazi kwake , Eiyer unaitwa kwenye mkesha huko ukatoe upweke maana si vema kukaa peke yako ilihali kuna sehemu waweza piga pambio mpaka kunakucha. usisahau kwenda na dawa ya mbu si unajua malaria haichezi mbali.Ablessed pale parokiani maombi ni 24/7
hata asiponikuta mie kuna watumishi wengine tuu
Mentor neringo maka mhyaAngelicious, mambo!??
Niaje kaka Mkubwa? Ni matumaini yangu kuwa wote hawajambo kabisa home
HAlafu wewe Nicas Mtei nina kesi na wewe No yangu kwenye simu yako sio mapambo kama huioni vaa mawani ya mao uwe unaiona au kama haina maana kwako uiondoe kwenye simu yako uifanye kitu inaitwa DELETE
Wako salama kabisa mkuu Nicas Mtei tunapambana na mwanzo wa mwaka huu
Heri ya Mwaka Mpya
Kweli kabisa akikutana na ubavu wake maneno yote yataisha aisee. Hapo ndipo penye shida wanaume wanaona wanawake pasua kichwa na wanawake wana mtazamo huo huo sijui kama hawa vijana watafika waendako wakati mwingine inafaa kujilipua tu liwalo na liwe lkn at your own risk.
Natamani sana ningekuwa nayo kaka. Majanga yaliyonikuta basi huna budi kunisamehe bure kaka. Ila mimi nawe udugu wetu hauwezi kwisha
Mungu yu mwema kaka. Salamu zangu ziwafikie wote.
Angelicious, mambo!??