:coffee::coffee::coffee::welcome:
Amekwisha potea..amekwisha potea....apotea mtoto mzuri kwa ku... (crying)
Kaka?????heheheNaam, ni kweli babu!!!!
Nikutakieni kila la kheir...!!!!!
Hahahahaah........... Mimi na wewe hatujakutana barabarani......:hungry:
Ni kweli kabisa haya uliyoandika manake upendo wa kweli hufunika yote hasa mapungufu yetu kama vitabu vya dini vinavyozungumza juu ya upendo Yaani upendo haujivuni , hautafuti mambo yake na palipo na pendo kuna kuheshimiana, kujaliana bahati mbaya wengi hawaamini kama upendo wa kweli bado unaexist. Jambo la msingi ni kumwendea muumba na kumweleza haja ya moyo wako.
cc Eiyer
Nale mhola mwanike
Kinehe kunuko?
Ale mhola o nsumba?
Utamanile nsumba??
Ateho?
Ale hale??