Kweli kabisa akikutana na ubavu wake maneno yote yataisha aisee. Hapo ndipo penye shida wanaume wanaona wanawake pasua kichwa na wanawake wana mtazamo huo huo sijui kama hawa vijana watafika waendako wakati mwingine inafaa kujilipua tu liwalo na liwe lkn at your own risk.
Inavyoelekea kila akikutana na mtu inakuwa ni majanga ni shidaa na hajawahi kukutana na true love kutoka kwa hao wanaomwambia wanampenda na ndo maana amekuwa na hizo attitude za kuwachukia kila mara
Muhimu ni kumpata mtu ambaye ana real love na anajua thamani ya pendo lako kwake na anayejua nini maana ya kupenda na nini maana ya kuumizwa kwenye mapenzi
Ndoa ni nzuri sana pale unapompata yule ambaye mnasikilizana na mnaelewana na yule ambaye yuko tayari msolve matatizo yenu kabla giza halijaingia na ambaye ana hofu ya Mungu ndani yake
Ndoa sio ngumu kihivyo na vijana wanaogopa kwa kuwa wanayoyasikia kutoka kwa watu kama Eiyer ni mabaya tuu kuhusu ndoa na hawajawahi sikia another side of the story kuwa ndoa ikoje
Last edited by a moderator: