Huu upweke huu

Huu upweke huu

Poyeee,,we're sailing in the same boat..naona I'm lonely n sad..yani na hizi siku tatu za mapumziko ndo bas tena,,,I feel sick &weak

Yaani we acha tu ....!!!!!!!!
 
Hapa jee???

images

Miye sina makuu hata hapo patafaa, tena huu ndo muda muafaka fanya twende nishaweka kitu roho inapenda basi mambo swadakta!!!
 
ndo upoje huo....
Ok hapa baba paroko anaweza kutiririka zaidi kwa kuwa ni mzoefu wa mawaidha ktk nyanja tofauti ngoja aje kunisaidia na na ya kukurudishia furaha ya moyo wako ili 2014 iende poa, usione ya kashindwa yake ukamchukulia poa, mganga hajigangi we msikilize,
 
images
images
images
images


Yaani basi tu ...........!!!!!!!

Leo kazi haziendi kabisa........

Sijui nikalale????

Damn ...........!!!!!!

Pole sana. Ila raha jipe Mwenyewe. Nobody has the right to make you unhappy, without your consent.

 
Huyo hawezi kukuitikia nilikuwa nae kwenye maombi kachokajeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

if wishes cud be horses!
daaadek utamchora chini!
Ennie eh twenzetu kukakabidhi makabrasha ya BRN wachana na huyu paroko wa kigangoni.
 
Last edited by a moderator:
Hakika ulikuwa mpweke,
Hiyo siyo namba yangu kabisa,
Nitakupa namba tukikutana kwenye mazoezi ya kwaya.

Ngoja nikupigie unielekeze maana umehama kule nilikokuwa nakujua
Namba yako si ile ile ??

Mi naijua hii 0711 883 776
Au umeshabadili??
 
Mkuu chaguo toka miongoni mwa wanaokuvutia. Nategemea si swali la kichokozi,

Mkuu sio swali la kichokozi hilo
Sasa huenda anaenivutia ana mtu tayari,what can i do??
 
Miye sina makuu hata hapo patafaa, tena huu ndo muda muafaka fanya twende nishaweka kitu roho inapenda basi mambo swadakta!!!

Dah!
Jana luku iliisha vipi ahadi bado ipo??
 
Back
Top Bottom