Huu upweke huu

Unasema????

Fuata ushauri wa Mr Rocky bana uoe....wacha uoga wako! umri mkuuubwa unaogopa nini sasa!??? OA KAKA Eiyer WADOGO ZAKO HATUTAKI KULETA MBUZI...
Ni mimi tu nimebakia, ni mimi tu kuwaletea habari...........:lalala::lalala::playball::playball::focus:

Babu yangu Asprin, mdogo wangu huyu msameheee!

Nenda kwa hao wengine....la sivo nitakuitia MWIZI!
 
Last edited by a moderator:
Fuata ushauri wa Mr Rocky bana uoe....wacha uoga wako! umri mkuuubwa unaogopa nini sasa!??? OA KAKA Eiyer WADOGO ZAKO HATUTAKI KULETA MBUZI...

Kuoa nitaoa na sio kwamba sitaoa au naogopa
Hapana

Nahitaji anaefaa kwa kiasi kwa sababu najua hakuna anaefaa kabisa yaani hakuna anaefaa kwa 100% ....!!!!
 
Kuoa nitaoa na sio kwamba sitaoa au naogopa
Hapana

Nahitaji anaefaa kwa kiasi kwa sababu najua hakuna anaefaa kabisa yaani hakuna anaefaa kwa 100% ....!!!!


Sasa mbona hao wapo wengi!??

Bado naona visingizio...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom