Huu ukimya wa Comrade Polepole siyo kawaida. Yuko salama kweli ?

Huu ukimya wa Comrade Polepole siyo kawaida. Yuko salama kweli ?

BLUE DOG

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
971
Reaction score
1,547
Comrade PolePole popote ulipo tunaomba upunge lau mkono ili sis wana CCM wenzako wenye uchungu kama wewe mioyo yetu ipate kutulia

Yaani tokea Yule Samia kachukua Form pale idodomya upo kimya sana, sasa tunaingiwa na wasiwasi kuhusiana na usalama wako.

Tafadhali Ndugu, Polepole Jitokeze Manake Wahuni tuna wasiwasi nao sana isije ikawa washapita na wewe

Au kama kuna mwana CCM mwenzetu mwenye Taarifa za Ndugu Polepole atujuze
 
Copy of CCM BANNERS OFFICIAL _20250813_072600_0000.png
 
Comrade PolePole popote ulipo tunaomba upunge lau mkono ili sis wana CCM wenzako wenye uchungu kama wewe mioyo yetu ipate kutulia

Yaani tokea Yule bibi kachukua Form pale idodomya upo kimya sana, sasa tunaingiwa na wasiwasi kuhusiana na usalama wako.

Tafadhali Ndugu, Polepole Jitokeze Manake Wahuni tuna wasiwasi nao sana isije ikawa washapita na wewe

Au kama kuna mwana CCM mwenzetu mwenye Taarifa za Ndugu Polepole atujuze
Tumuombee sana
 
Comrade PolePole popote ulipo tunaomba upunge lau mkono ili sis wana CCM wenzako wenye uchungu kama wewe mioyo yetu ipate kutulia

Yaani tokea Yule Samia kachukua Form pale idodomya upo kimya sana, sasa tunaingiwa na wasiwasi kuhusiana na usalama wako.

Tafadhali Ndugu, Polepole Jitokeze Manake Wahuni tuna wasiwasi nao sana isije ikawa washapita na wewe

Au kama kuna mwana CCM mwenzetu mwenye Taarifa za Ndugu Polepole atujuze
Atajitokeza tu, husiwaze.
 
Kila anachokipinga kinafanikiwa tu, labda amepata frastresheni kaamua kususa kuhoji.
Kimsingi CCM anayoitaka haipo.
 
Back
Top Bottom