FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,894
- 109,227
Kusini kawajengea hospitali mpya za rufaa, hakuna mwanafunzi anaekosa jwenda shule, kawafungulia masoko ya korosho, mbaazi na ufuta au upo Afrika Kusini?Huku kusini hatuna hamu na huyu samia kwakweli