Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Wadau hamjamboni nyote?
Wapo watakaokubali na watakaopinga hoja hii ila ukweli halisi Rais Samia anastahili kabisa kupewa hadhi ya kuwa Profesa wa Demokrasia na Utawala Bora Afrika
Unapozungumzia Viongozi walioleta mabadiliko makubwa ya kisiasa kwenye nchi zao duniani nina hakika jina la Kiongozi wetu Rais Dkt Samia Suluhu Hassan litakuwa la kwanza
Rais Samia ameleta maridhiano makubwa ya Kitaifa na sasa Wapinzani kila kona ya nchi yetu wapo huru, wakifanya maandamano & mikutano ya hadhara kwa uhuru mkubwa bila kubughuziwa.
Rais Samia amefanya makubwa na ambayo hayakutarajiwa na wengi na hivyo tuna kila sababu ya kumpongeza na kumpa heshima anayostahili.
Hongera sana Rais Samia kwani wewe ndiye Profesa wa Demokrasia na Utawala Bora Afrika
KaziIendelee
Wapo watakaokubali na watakaopinga hoja hii ila ukweli halisi Rais Samia anastahili kabisa kupewa hadhi ya kuwa Profesa wa Demokrasia na Utawala Bora Afrika
Unapozungumzia Viongozi walioleta mabadiliko makubwa ya kisiasa kwenye nchi zao duniani nina hakika jina la Kiongozi wetu Rais Dkt Samia Suluhu Hassan litakuwa la kwanza
Rais Samia ameleta maridhiano makubwa ya Kitaifa na sasa Wapinzani kila kona ya nchi yetu wapo huru, wakifanya maandamano & mikutano ya hadhara kwa uhuru mkubwa bila kubughuziwa.
Rais Samia amefanya makubwa na ambayo hayakutarajiwa na wengi na hivyo tuna kila sababu ya kumpongeza na kumpa heshima anayostahili.
Hongera sana Rais Samia kwani wewe ndiye Profesa wa Demokrasia na Utawala Bora Afrika
KaziIendelee