Huenda adui Mkuu wa utawala wa Rais Samia akawa ni Spika Ndugai?

Walio karibu na spika Ndugai wanadai kuwa kauli ile ulimuudhi na kumkasirisha spika Ndugai, na ipo siku atatapika nyongo.
Ukipita mle mle mkuu. Hongera kwa maono.

Spika Ndugai ataendelea kukwamisha harakati zozote za utendaji wa mama Samia. Tayari Spika Ndugai anajua wazi hatakiwi kwenye hicho kiti na utawala wa mama Samia na ili kujipanga vyema kulinda himaya hiyo ameanza mkakati wa kutaka kuonyesha anawajali sana wabunge wanawake.
Aisee! Ulipiga kwenye mshono. Nitaanza kukufuatilia nyuzi zako zote
 
Nimeona niliandike hili sasa hapa JF na kwa uwazi ili kutoa angalizo mapema kwa mwelekeo wa siasa za Tanzania huko tuendako.

Watanzania kwa sasa wametega macho na masikio kuona ni namna gani Rais mpya wa Tanzania, mama Samia Suluhu anaweza kuivusha Tanzania inayopitia kwenye mikwamo mikubwa wa kiuchumi, kidiplomasia na kisiasa iliyotengenezwa na mtangulizi wake.

Mama Samia bila woga na kificho aliweka wazi kabisa kuwa haridhishwi na mwenendo wa utendaji wa bunge la sasa, na kwa maneno yake ililiita bunge letu ni Dhaifu (halina afya) na limejaa wacheza ngoma (linadamka). Wachambuzi wanasema kauli ile ililenga zaidi kiti cha spika. Watu waliopo karibu na Spika Ndugai wanadai kuwa kauli ile ulimuudhi na kumkasirisha spika Ndugai, na ipo siku atatapika nyongo.

Sasa ngoja tuweke ukweli hapa, na tuuseme jinsi ulivyo kama unavyonong'onwa nyuma ya pazia.

Wachambuzi kadhaa wanasema huenda miongoni mwa watu wa juu kabisa ambao hawakutaka au hawakufurahi kuona mama Samia Suluhu anaupata urais wa Tanzania walikuwa Dkt. Bashiru Ally na Spika Ndugai (Hakuna uthibitisho kamili mpaka sasa, ila huko mbele ya safari ukweli mwingi utaibuliwa).

Viongozi hao wanadaiwa kufanya mawasiliano na mipango ya chini kwa chini kuratibu mkakati wa kisiasa ili kumkwamisha mama Samia kupata nafasi ya kuwa urais wa Tanzania muda mfupi baada ya Rais Magufuli kuwa amefariki dunia huku umma wa watanzania ukiwa bado umefichwa. Lolote lingeweza kutokea.

Kwa sasa mama Samia anapambana kwa hali na mali kuwavuta wawekezaji na wahisani (mabeberu!) ili wamwage pesa zao hapa Tanzania ili kunusuru athari za mdororo wa kiuchumi kwa Tanzania. Na moja ya kikwazo kikuu anachokumbana nacho ni sharti la wahisani kuona mihimili mikuu ya bunge na mahakama ikiwa huru zaidi kujiendesha. Habari zisizo rasmi zinadai tayari hoja ya kuwatema wabunge wa Covid 19 iko mezani kwa mama Samia.

Alichokifanya Nape ilikuwa ni kuamsha agenda kimakusudi (Pre empty) na anachokifanya Ndugai ni kutaka kupimana ubavu na mama Samia kwa mtindo huo huo. Inadaiwa mjadala ndani vikao vya juu vya CCM ulifikia hatua ya kuona kuendelea kuwakumbatia wabunge wa Covid 19 hakuna faida tena kwa sasa, kwa kuwa mazingira ya kisiasa yameshabadilika na kunachafua vibaya taswira ya utawala mpya wa mama Samia.

Ukiacha zile taarifa za uwepo wa mkakati wa kichini chini na kimakusudi uliolenga kutumia bunge na wabunge kujenga hoja ya kutokuwa na imani na Rais ili achunguzwe na kicha kuwekwa pembeni (jambo ambalo kikatiba linawezekana kwa 100%), kuna mambo mengine kadhaa yanaelezwa kuendelea kufanyika ili kumkwamisha mama Samia.

Moja ya mkakati usio rasmi unaoendelea kwa sasa miongoni mwa wabunge kadhaa ndani ya CCM ni kuhakikisha kiti cha spika ajae kinakaliwa na mwanamke (Dr. Tulia?) ikiwa Spika Ndugai ataendelea kukwamisha harakati zozote za utendaji wa mama Samia. Tayari Spika Ndugai anajua wazi hatakiwi kwenye hicho kiti na utawala wa mama Samia na ili kujipanga vyema kulinda himaya hiyo ameanza mkakati wa kutaka kuonyesha anawajali sana wabunge wanawake.

Muda ni mwalimu mzuri kwenye kila jambo. Tusubiri, tujipe muda na tutazame yatakayojiri.
Watu mna data + info haya uzi umeishi yametimia .
 
Nimeona niliandike hili sasa hapa JF na kwa uwazi ili kutoa angalizo mapema kwa mwelekeo wa siasa za Tanzania huko tuendako.

Watanzania kwa sasa wametega macho na masikio kuona ni namna gani Rais mpya wa Tanzania, mama Samia Suluhu anaweza kuivusha Tanzania inayopitia kwenye mikwamo mikubwa wa kiuchumi, kidiplomasia na kisiasa iliyotengenezwa na mtangulizi wake.

Mama Samia bila woga na kificho aliweka wazi kabisa kuwa haridhishwi na mwenendo wa utendaji wa bunge la sasa, na kwa maneno yake ililiita bunge letu ni Dhaifu (halina afya) na limejaa wacheza ngoma (linadamka). Wachambuzi wanasema kauli ile ililenga zaidi kiti cha spika. Watu waliopo karibu na Spika Ndugai wanadai kuwa kauli ile ulimuudhi na kumkasirisha spika Ndugai, na ipo siku atatapika nyongo.

Sasa ngoja tuweke ukweli hapa, na tuuseme jinsi ulivyo kama unavyonong'onwa nyuma ya pazia.

Wachambuzi kadhaa wanasema huenda miongoni mwa watu wa juu kabisa ambao hawakutaka au hawakufurahi kuona mama Samia Suluhu anaupata urais wa Tanzania walikuwa Dkt. Bashiru Ally na Spika Ndugai (Hakuna uthibitisho kamili mpaka sasa, ila huko mbele ya safari ukweli mwingi utaibuliwa).

Viongozi hao wanadaiwa kufanya mawasiliano na mipango ya chini kwa chini kuratibu mkakati wa kisiasa ili kumkwamisha mama Samia kupata nafasi ya kuwa urais wa Tanzania muda mfupi baada ya Rais Magufuli kuwa amefariki dunia huku umma wa watanzania ukiwa bado umefichwa. Lolote lingeweza kutokea.

Kwa sasa mama Samia anapambana kwa hali na mali kuwavuta wawekezaji na wahisani (mabeberu!) ili wamwage pesa zao hapa Tanzania ili kunusuru athari za mdororo wa kiuchumi kwa Tanzania. Na moja ya kikwazo kikuu anachokumbana nacho ni sharti la wahisani kuona mihimili mikuu ya bunge na mahakama ikiwa huru zaidi kujiendesha. Habari zisizo rasmi zinadai tayari hoja ya kuwatema wabunge wa Covid 19 iko mezani kwa mama Samia.

Alichokifanya Nape ilikuwa ni kuamsha agenda kimakusudi (Pre empty) na anachokifanya Ndugai ni kutaka kupimana ubavu na mama Samia kwa mtindo huo huo. Inadaiwa mjadala ndani vikao vya juu vya CCM ulifikia hatua ya kuona kuendelea kuwakumbatia wabunge wa Covid 19 hakuna faida tena kwa sasa, kwa kuwa mazingira ya kisiasa yameshabadilika na kunachafua vibaya taswira ya utawala mpya wa mama Samia.

Ukiacha zile taarifa za uwepo wa mkakati wa kichini chini na kimakusudi uliolenga kutumia bunge na wabunge kujenga hoja ya kutokuwa na imani na Rais ili achunguzwe na kicha kuwekwa pembeni (jambo ambalo kikatiba linawezekana kwa 100%), kuna mambo mengine kadhaa yanaelezwa kuendelea kufanyika ili kumkwamisha mama Samia.

Moja ya mkakati usio rasmi unaoendelea kwa sasa miongoni mwa wabunge kadhaa ndani ya CCM ni kuhakikisha kiti cha spika ajae kinakaliwa na mwanamke (Dr. Tulia?) ikiwa Spika Ndugai ataendelea kukwamisha harakati zozote za utendaji wa mama Samia. Tayari Spika Ndugai anajua wazi hatakiwi kwenye hicho kiti na utawala wa mama Samia na ili kujipanga vyema kulinda himaya hiyo ameanza mkakati wa kutaka kuonyesha anawajali sana wabunge wanawake.

Muda ni mwalimu mzuri kwenye kila jambo. Tusubiri, tujipe muda na tutazame yatakayojiri.
GT, I second you.
 
Nimeona niliandike hili sasa hapa JF na kwa uwazi ili kutoa angalizo mapema kwa mwelekeo wa siasa za Tanzania huko tuendako.

Watanzania kwa sasa wametega macho na masikio kuona ni namna gani Rais mpya wa Tanzania, mama Samia Suluhu anaweza kuivusha Tanzania inayopitia kwenye mikwamo mikubwa wa kiuchumi, kidiplomasia na kisiasa iliyotengenezwa na mtangulizi wake.

Mama Samia bila woga na kificho aliweka wazi kabisa kuwa haridhishwi na mwenendo wa utendaji wa bunge la sasa, na kwa maneno yake ililiita bunge letu ni Dhaifu (halina afya) na limejaa wacheza ngoma (linadamka). Wachambuzi wanasema kauli ile ililenga zaidi kiti cha spika. Watu waliopo karibu na Spika Ndugai wanadai kuwa kauli ile ulimuudhi na kumkasirisha spika Ndugai, na ipo siku atatapika nyongo.

Sasa ngoja tuweke ukweli hapa, na tuuseme jinsi ulivyo kama unavyonong'onwa nyuma ya pazia.

Wachambuzi kadhaa wanasema huenda miongoni mwa watu wa juu kabisa ambao hawakutaka au hawakufurahi kuona mama Samia Suluhu anaupata urais wa Tanzania walikuwa Dkt. Bashiru Ally na Spika Ndugai (Hakuna uthibitisho kamili mpaka sasa, ila huko mbele ya safari ukweli mwingi utaibuliwa).

Viongozi hao wanadaiwa kufanya mawasiliano na mipango ya chini kwa chini kuratibu mkakati wa kisiasa ili kumkwamisha mama Samia kupata nafasi ya kuwa urais wa Tanzania muda mfupi baada ya Rais Magufuli kuwa amefariki dunia huku umma wa watanzania ukiwa bado umefichwa. Lolote lingeweza kutokea.

Kwa sasa mama Samia anapambana kwa hali na mali kuwavuta wawekezaji na wahisani (mabeberu!) ili wamwage pesa zao hapa Tanzania ili kunusuru athari za mdororo wa kiuchumi kwa Tanzania. Na moja ya kikwazo kikuu anachokumbana nacho ni sharti la wahisani kuona mihimili mikuu ya bunge na mahakama ikiwa huru zaidi kujiendesha. Habari zisizo rasmi zinadai tayari hoja ya kuwatema wabunge wa Covid 19 iko mezani kwa mama Samia.

Alichokifanya Nape ilikuwa ni kuamsha agenda kimakusudi (Pre empty) na anachokifanya Ndugai ni kutaka kupimana ubavu na mama Samia kwa mtindo huo huo. Inadaiwa mjadala ndani vikao vya juu vya CCM ulifikia hatua ya kuona kuendelea kuwakumbatia wabunge wa Covid 19 hakuna faida tena kwa sasa, kwa kuwa mazingira ya kisiasa yameshabadilika na kunachafua vibaya taswira ya utawala mpya wa mama Samia.

Ukiacha zile taarifa za uwepo wa mkakati wa kichini chini na kimakusudi uliolenga kutumia bunge na wabunge kujenga hoja ya kutokuwa na imani na Rais ili achunguzwe na kicha kuwekwa pembeni (jambo ambalo kikatiba linawezekana kwa 100%), kuna mambo mengine kadhaa yanaelezwa kuendelea kufanyika ili kumkwamisha mama Samia.

Moja ya mkakati usio rasmi unaoendelea kwa sasa miongoni mwa wabunge kadhaa ndani ya CCM ni kuhakikisha kiti cha spika ajae kinakaliwa na mwanamke (Dr. Tulia?) ikiwa Spika Ndugai ataendelea kukwamisha harakati zozote za utendaji wa mama Samia. Tayari Spika Ndugai anajua wazi hatakiwi kwenye hicho kiti na utawala wa mama Samia na ili kujipanga vyema kulinda himaya hiyo ameanza mkakati wa kutaka kuonyesha anawajali sana wabunge wanawake.

Muda ni mwalimu mzuri kwenye kila jambo. Tusubiri, tujipe muda na tutazame yatakayojiri.
Muda ndiyo jibu na jibu limepatikana. Hongera Zanzibar-ASP kwa maoni yako. Wewe ni Great thinker
 
Muda ndiyo jibu na jibu limepatikana. Hongera Zanzibar-ASP kwa maoni yako. Wewe ni Great thinker
“Sasa 2025 mtaamua mkitoa waliopo nayo sawa waje watakaokuwa kazi yao kwenda kukopa, endapo hiyo namna ya ku-run nchi (kuongoza nchi) hivi sasa deni letu ‘seventy trilioni’ (Sh70 trilioni). hivi nyinyi si wasomi ‘is that healthy’ (hiyo ni afya). Kuna siku nchi itapigwa mnada hii,” alihoji Ndugai kwenye mkutano huo wa kimila wa kabila la Wagogo
 
Nimeona niliandike hili sasa hapa JF na kwa uwazi ili kutoa angalizo mapema kwa mwelekeo wa siasa za Tanzania huko tuendako.

Watanzania kwa sasa wametega macho na masikio kuona ni namna gani Rais mpya wa Tanzania, mama Samia Suluhu anaweza kuivusha Tanzania inayopitia kwenye mikwamo mikubwa wa kiuchumi, kidiplomasia na kisiasa iliyotengenezwa na mtangulizi wake.

Mama Samia bila woga na kificho aliweka wazi kabisa kuwa haridhishwi na mwenendo wa utendaji wa bunge la sasa, na kwa maneno yake ililiita bunge letu ni Dhaifu (halina afya) na limejaa wacheza ngoma (linadamka). Wachambuzi wanasema kauli ile ililenga zaidi kiti cha spika. Watu waliopo karibu na Spika Ndugai wanadai kuwa kauli ile ulimuudhi na kumkasirisha spika Ndugai, na ipo siku atatapika nyongo.

Sasa ngoja tuweke ukweli hapa, na tuuseme jinsi ulivyo kama unavyonong'onwa nyuma ya pazia.

Wachambuzi kadhaa wanasema huenda miongoni mwa watu wa juu kabisa ambao hawakutaka au hawakufurahi kuona mama Samia Suluhu anaupata urais wa Tanzania walikuwa Dkt. Bashiru Ally na Spika Ndugai (Hakuna uthibitisho kamili mpaka sasa, ila huko mbele ya safari ukweli mwingi utaibuliwa).

Viongozi hao wanadaiwa kufanya mawasiliano na mipango ya chini kwa chini kuratibu mkakati wa kisiasa ili kumkwamisha mama Samia kupata nafasi ya kuwa urais wa Tanzania muda mfupi baada ya Rais Magufuli kuwa amefariki dunia huku umma wa watanzania ukiwa bado umefichwa. Lolote lingeweza kutokea.

Kwa sasa mama Samia anapambana kwa hali na mali kuwavuta wawekezaji na wahisani (mabeberu!) ili wamwage pesa zao hapa Tanzania ili kunusuru athari za mdororo wa kiuchumi kwa Tanzania. Na moja ya kikwazo kikuu anachokumbana nacho ni sharti la wahisani kuona mihimili mikuu ya bunge na mahakama ikiwa huru zaidi kujiendesha. Habari zisizo rasmi zinadai tayari hoja ya kuwatema wabunge wa Covid 19 iko mezani kwa mama Samia.

Alichokifanya Nape ilikuwa ni kuamsha agenda kimakusudi (Pre empty) na anachokifanya Ndugai ni kutaka kupimana ubavu na mama Samia kwa mtindo huo huo. Inadaiwa mjadala ndani vikao vya juu vya CCM ulifikia hatua ya kuona kuendelea kuwakumbatia wabunge wa Covid 19 hakuna faida tena kwa sasa, kwa kuwa mazingira ya kisiasa yameshabadilika na kunachafua vibaya taswira ya utawala mpya wa mama Samia.

Ukiacha zile taarifa za uwepo wa mkakati wa kichini chini na kimakusudi uliolenga kutumia bunge na wabunge kujenga hoja ya kutokuwa na imani na Rais ili achunguzwe na kicha kuwekwa pembeni (jambo ambalo kikatiba linawezekana kwa 100%), kuna mambo mengine kadhaa yanaelezwa kuendelea kufanyika ili kumkwamisha mama Samia.

Moja ya mkakati usio rasmi unaoendelea kwa sasa miongoni mwa wabunge kadhaa ndani ya CCM ni kuhakikisha kiti cha spika ajae kinakaliwa na mwanamke (Dr. Tulia?) ikiwa Spika Ndugai ataendelea kukwamisha harakati zozote za utendaji wa mama Samia. Tayari Spika Ndugai anajua wazi hatakiwi kwenye hicho kiti na utawala wa mama Samia na ili kujipanga vyema kulinda himaya hiyo ameanza mkakati wa kutaka kuonyesha anawajali sana wabunge wanawake.

Muda ni mwalimu mzuri kwenye kila jambo. Tusubiri, tujipe muda na tutazame yatakayojiri.
Jf ni kiboko
 
Ni jambo la furaha kuona mashetani yote ya uchafuzi mkuu yakipotea kwenye ramani za kisiasa
 
Amepoa sana Ndugai ipo siku atasema......ana wazee washauri wengi ...msikivu mgogo wa watu ila nae kuna wakati alijisahau madaraka matamu banaa
 
38 Reactions
Reply
Back
Top Bottom