mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,296
- 44,880
Ndio ni muhimbili,,mzena ni jina la zamani,kabla ya uhuru
Iko Makumbusho. Emilio Mzena. Kuna mdau kaielezea vyema huko juuhyo si ipo makumbusho na muhimbili wapi na wapi au Ni tawi?
Au unataka kusema dada Yake mloganzila
Iko Makumbusho. Emilio Mzena. Kuna mdau kaielezea vyema huko juu
Zinaelewaka ni namba plate za hapahapa Tanzania 😁Labda ana maanisha Ni dada yake mloganzira maana zote NI za serikali.
Makumbusho kwa wale jamaa wa vioo vyeusi plate namba hazieleweki za nchi gani.
Haihusiani na yoyote hapo Mkuu. Yenyewe inajitegemea yenyewe kama yenyewe na wala hakuna nyingine. Iko ndani kabisa humo kwa wasiojulikana. Na usitegemee kutibiwa humo kama huusiki. Ila endapo ikatokea umo humo ndani na ukaumwa basi hawatokutupa utapata huduma ikibidi bure kabisa kama huna bima na kama huusiki kabisa maana Afya ya Mtu ndio kila kitu.Labda ana maanisha Ni dada yake mloganzira maana zote NI za serikali.
Makumbusho kwa wale jamaa wa vioo vyeusi plate namba hazieleweki za nchi gani.
Zinaelewaka ni namba plate za hapahapa tz
Ok!Ni hospitali muhimu kwa viongozi wa kitaifa ..
Pia kwa usalama wa taifa , wao na watoto wao
Imepewa jina hilo , kuenzi kazi kubwa aliyofanya mzee kuijenga taasisi ya usalama wa taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wao wenyewe wanakuwa hawana uhakika hii ni ya ubalozi au imevuka mpaka na kuingia nchini? Akichekecha lugha kichwani anaona ikitokea mtu anamwaga kizungu nitaongea nae nini kabla ya kufanya maamuzi gari linakuwa limeshatokomeaZile namba zao unaweza ukasema akikutana na trafiki hatoboi.
Cha kushangaza trafiki hata habari nae hanaa.
Plate Number zao nizakiraia kabisa,sema wewe unawafananisha na polisi,labda kama ungesema unakuta gari la zamani lakini number ni mpya,au gari mpya lakini number za zamani,mfano gari imeingia kwetu mwaka jana, lakini number yake ni A au gari imeingia miaka 5 iliyopita number yake ni D
Huwa wana namba za kawaida tu mkuu. Ni chache sana ikitokea..na mbona pia kama we ni mtundu na mdadisi unazijuaZile namba zao unaweza ukasema akikutana na trafiki hatoboi.
Cha kushangaza trafiki hata habari nae hanaa.
Umesomeka vyema.muulize Andrew Nyerere ndio anapotibiwa
ThubutuuuuNasikia matibabu yao ni mazuri sana na kuna madaktari bingwa wa kutosha. JE naweza kutibiwa hapo kama ilivyo Lugalo?
Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena? Sijawahi isikia.
Ipo wapi
Nani mmiliki
Ubora ukoje
Hakuna uwezekano wa mtu wa kawaida kutibiwa? Maaana kwa nilivyosoma sifa zake basi ni hospitali nzuri na bora sana.Huyo Mzena ni Mfugale wa zama hizo
Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena? Sijawahi isikia.
Ipo wapi
Nani mmiliki
Ubora ukoje