Hospitali ya Mzena inamilikiwa na nani? Kwanini iitwe Mzena?

Tunaomba ajira basi jamani uzoefu wooote huu tulio nao unateketea wabafaidu wazungu tu
 
Ni hospitali muhimu kwa viongozi wa kitaifa ..

Pia kwa usalama wa taifa , wao na watoto wao

Imepewa jina hilo , kuenzi kazi kubwa aliyofanya mzee kuijenga taasisi ya usalama wa taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee alikuwa mnoko hadi hospitali ikapewa jina lake.

Wahehe na wakurya ndio waliotibua mapinduzi ya Mwl. Nyerere. Sasa adhabu yao watakufa maskini.
 
Ndio iko pale ukipita barabarani unaona getini askari wenye nguo za mabakamabaka....
 
Back
Top Bottom