Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
January syndrome and phobiaπππππππππππππππππππUnaumwa nini kwanza?
January syndrome and phobiaπππππππππππππππππππUnaumwa nini kwanza?
Unaweza kutibiwa kwa ruhusa maalumHakuna uwezekano wa mtu wa kawaida kutibiwa? Maaana kwa nilivyosoma sifa zake basi ni hospitali nzuri na bora sana.
Ruhusa unamaanisha rufaa kutoka kwa daktari au ruhusa kutoka kwa uongozi wa usalama?Unaweza kutibiwa kwa ruhusa maalum
Huyo ni mfugale wa zama hizo, according to mwana jf mmojaHii hospitali inayoitwa Dr mzena iko wapi na inamilikiwa na nani na huyo Dr mzena ninani hasa? Yupo au alikuwa hospitali gani?
Buza kwa mpalange
Zamani Ikulu Dispensary.....Makumbusho/MigombaniHii hospitali inayoitwa Dr mzena iko wapi na inamilikiwa na nani na huyo Dr mzena ninani hasa? Yupo au alikuwa hospitali gani?
Mzee alikuwa mnoko hadi hospitali ikapewa jina lake.Ni hospitali muhimu kwa viongozi wa kitaifa ..
Pia kwa usalama wa taifa , wao na watoto wao
Imepewa jina hilo , kuenzi kazi kubwa aliyofanya mzee kuijenga taasisi ya usalama wa taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo makumbusho kwenye kota za usalama wa TaifaHospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena? Sijawahi isikia.
Ipo wapi
Nani mmiliki
Ubora ukoje
Hao ni polisi
Kwani mkuu unagonjweka CODIV?Nasikia matibabu yao ni mazuri sana na kuna madaktari bingwa wa kutosha. JE naweza kutibiwa hapo kama ilivyo Lugalo?
We Bwana wewe!! Shauri yako.Wanabodi habarini za masiku tele
Ninaomba kujuzwa Mzena Hospital iko wapi, inamilikiwa na nani na inahudumia watu wenye magonjwa yepi zaidi
Je nitaasis ya serikali?